Hii ni habari nzito iliyokuwa inasubiriwa...
Kwa kuwa tumekuwa na matatizo sana kwenye mikataba, sijui na mradi huu utasalimika!
Ni kampuni ile ile walioshinda tenda zamani wakanyimwa ikawa...
Nimeonelea nianzishe hii section ili watu tuwe tunapeana maneno ya hekima. Huu ni mwanzo na ruksa kuendeleza thread (mada) hii ili mradi uwe umejisajili. You may use any of the two official...
Kuna mtu anayejua mshahara wa raisi wa Tanzania ni kiasi gani?
Kuna mtu kaniambia ni $200,000 na kitu kwa mwaka...sikuamini lakini akanihakikishia kuwa taarifa zake ni za uhakika.
Bado ninasita...
Nimesikia kuwa hivi karibuni, nchi zote za Afrika ya Mashariki zitatumia sarafu moja. Nimekuwa natafiti pole pole kutafuta picha za pesa tulizowahi kutumia hapa kwetu, nikaona nizitundike hapa...
Wiki chache zilizopita niliwaletea historia ya fedha ya sarafu hapa nchini kwetu nikaahidi kumalizia na historia ya noti. Kwa bahati mbaya majukumu yamenizidi nikashindwa kupata nafasi ya...
Freemasonry is a fraternal organisation. Arising from obscure origins (theorised to be anywhere from the time of the building of King Solomon's Temple to the mid-1600s), it now exists in various...
UNAPOSIKIA maneno “nafsi” na “roho,” wewe unawaza kuwa ni nini? Wengi wanaamini kama maneno hayo yanamaanisha kitu fulani kilicho ndani ya mutu, na kitu hicho hakiwezi kufa wala hakionekani...
Miaka 35 baada ya operation opera … ambapo majeshi ya Israel yalishambulia na kuteketeza kinu cha saddam Hussein cha kufulia nyuklia huko Osirak. Mwanajesh mstaafu wa IAF na MOSSAD anaamua kuweka...
Habari za wakati huu ndugu zangu watanzania na wasio watanzania, Mlioko ndani ya mipaka ya kisiwa Cha Amani au Nje ya Kisiwa Hiki.
Nianze na musema poleni kwa msiba wa Kiongozi wetu pendwa...
René AbandiSuppose the civilians killed by the DRC Govt in Rumangabo were Killed in Goma by the M23.
CONGODRC NEWS
Why? Why? Why this Injustice in Congo? Every one must check this
Massacre...
Gideon's Spies: The Secret History of the Mossad.
Nahitaji msaada, jinsi ya kupata hiki kitabu katika mfumo wa Pdf/Docx.Au link ambayo
ninaweza kupakua hiki kitabu.
Mnamo mwaka 1998 Jan Koum [Kulia kwenye picha ] alikutana kwa mara ya kwanza kabisa na Brian Acton [ Kushoto ] wote wakiwa wafanyakazi katika shirika la Yahoo. Walifanya kazi hapo kwa miaka 9...
Zombie Apocalypse: US Army has Plan to Stop Attacks by the Undead
By Ludovica Iaccino | IB Times Wed, May 14, 2014
The US military has prepared a defence plan in case of a zombie attack.
A...
Wanasayansi watafiti wa Italy kwa mara ya kwanza wamegundua ziwa kubwa la chini ya ardhi(underground lake) katika sayari ya Mars.
Ziwa hilo lenye upana wa Kilometer 20 kutoka ukingo mmoja kwenda...
Familia ya Rothschild ni familia yenye matajiri ikishuka kutoka chini ya Mayer Amschel Rothschild mwenyewe, kutokana na sababu za kisheria kwa Landgraves ya Ujerumani ya Hesse-Kassel katika Jiji...
Mara nyingi michango ya wanawake katika sekta muhimu kama Teknolojia na sayansi haionekani lakini historia inaonesha jinsi gani wanawake walivyotoa mchango mkubwa hasa katika karne ya mapinduzi ya...
F-35 ni mradi wa nchi mbalimbali zilizoshirikiana kuitengeneza hii ndege ndo maana ukiachana na Israeli, Japan pia atauziwa hizi ndege, Wingereza, Australia, Canada pia alikua na mpango kuzinunua...
Heri ya X-Max na Mwaka Mpya Ndugu zang wa JF 🙌🎄🥂,
Maana Ya Global Crypto Adoption Index.
Hiki ni kipimo kimevumbuliwa na kampuni ya utafiti wa sarafu mtandao Ulimwenguni uitwao Chainalysis. Lengo...
Nyota
Nyota kwa lugha ya kawaida ni nuru ndogo zinazoonekana angani wakati wa usiku.
Nyota ni magimba makubwa
Kwa kutumia darubini na vifaa vya kisasayansi imegunduliwa ya kwamba ni magimba...
Dunia imejawa na kila aina ya mambo. Usimuone mtu ni tajiri au maarufu ukatamani utajiri wake au umaarufu wake pasipo kujua anapitia nini au alifanya nini mpaka kufikia hapo alipo.
Simaanishi...
Habarini wakuu. Leo ningependa tuone nchi zenye watu wenye asili ya Afrika wengi nje ya afrika katika mitazamo miwili.
Kwa uwingi pekee
Hapa namaanisha idadi yao jumla katika nchi husika hata...
ISI, Pakistan
Established in 1948, Pakistan's Directorate for Inter-Services Intelligence (ISI) is one of the most notorious secret service agencies in the world. Officially, the ISI is...
Kama ilivyo CIA, KGB (imekuwa FSB kuanzia 1995)shirika la kijasusi la USSR sasa URUSI limewahi kuhusika katika operation hatari sana maeneo mbalimbali Duniani. Kilele cha operation hizo ilikuwa...
Habarini za asubuhi wanaJF, natumaini mko wazma sana na Pole ziende kwa wagonjwa. Leo Naomba nilete uzi huu wenye mada ya magereza matano duniani yenye hatari yake kwenye uzuri wa miundombinu...
Habari ya mchana ndugu mpendwa mfuatiliaji wa makala zetu mablimbali zenye kukupa ufahamu juu ya maradhi mbalimbali yanayoizunguka jamii yetu,iwe ni maradhi yanayotokana na nmazingira...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.