jamani nisaidieni hawa madaktari wa Bugando wanaohusika na upasuaji wa watoto waliovimba vichwa wamejaa ubinafsi tu, kuna watoto wamelundikana katika vitanda wanalala 3 kila kitanda, wazazi...
Habar wanajf,ndugu yangu huwa anasumbuliwa sana na mafua hakila nyama au akipatwa na vumbi,sasa hv anaumwa mafua hakimeka yanatoka na damu na km vpande vya nyama vidogo,msaada plz
habari zenu za great thinkers!!!
naomba kujulishwa kuhusu hii kitu inaitwa kahawa,kuna jamaa yangu ambaye amenishauri nitumie kahawa kabla ya kuingia kwenye mechi kwani amedai hutoki uwanjani...
According to mythology, love goddess Aphrodite was known by her own formulated preparations and ointments that she gives to her lovers to increase their sexual power. This is the reason of why...
mwanangu alizaliwa kwa kuchelewa kabla ya mama kufanyiwa operetion
na baadae aliishiwa nguvu kiasi cha kulishwa kwa kumkamulia maziwa ya mama.
maendeleo yake kwa sasa, miaka2 inaonekana ni slow...
Wataalamu wa magonjwa ya ngozi nisaidieni kila saa nasikia harufu mbaya kwenye mapu__u nuumetumia deodorant nikawashwaz sikupona, Dr?linambia dawa ya fungus Hydrocotizone na nivae chupi safi na...
Heshima yenu wakuu,naombeni msaada wenu nina mtoto wa miaka minne anasumbuliwa na tatizo la kunuka pua japokuwa hana mafua .Yaani pua zake zinatoa harufu kali utandani kuna vidonda vilivyooza...
Mimi sio daktrari lakini nimejaribu kuuchunguza sana mwili wa binadamu unapotembea sehemu mbalimbali, milima mikali, miteremko,sehemu inayoteleza na zinginezo, swali ninalojiuliza hivi mwili wa...
Za leo wapendwa,
Jamani mimi napenda sana ngozi yangu iwe light na smooth, naona wanawake wengi wenzangu wanavutia sana... nimejaribu kutumia baadhi ya skin lightening cream ila naungua kwenye...
Wakuu, kuna maswali huwa yananisumbua sana kuhusu watu wanaoishi kama mke na mume, halafu mmoja kaathirika na mwingine mzima na wanawatoto ambao hawajaathirika, na mara nyingi mwanamke ndio...
Ndug wanabod nafikiri kama ni mara yako ya kwanza kuingia humu hutaelewa namanisha nini ninaposema sikuwah kunyongwa tena jf ni zaid ya uijuavyo ahsanten sana kwani sasa hivi niko huru...
Wakuu kwa yeyote anayeweza kunisaidia nikapata hizo dawa tafadhali nijulishe PM ambazo hazija expire nadhani pana nchi jirani bado wanazitumia unaweza kupata zawadi japo maji wa kunywa...
Hivi madoctor mwanamke anaruhusiwa kufanya mapenzi baada ya kujifungua? yaani kwa mwanamke aliyejifungua kwa njia ya kawaida na atajuaje kwamba amepona?
Ugonjwa wa asubuhi , (morning sickness kwa lugha ya Kiingereza) pia hujulikana kama kichefuchefu gravidarum , kichefuchefu , kutapika kwa mimba (emesis gravidarum au NVP) au ugonjwa wa mimba ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.