Tupo Watanzania wengi wazalendo tutamsaidia kutimiza ndogo zake,ndani ama nje ya Tanzania.Mungu anajua hatima yake wala binadamu yeyote kwa hila hawezi zuia mpango wa Mungu.
Habari wanaJF,
Nimekuja kwenye jamvi hili kujaribu kufikisha ujumbe kwa Secretariati ya Ajira (PSRS),kuna usaili wa AFISA USTAWI WA JAMII DARAJA LA II ulifanyika tarehe 02/12/2017 wa mchujo pale...
Ukweli ni kwamba halmashauri nyingi haziwezi haziwezi kulipa stahiki, isipokuwa mshahara, kama paid vacation, sickness.....kwa wakati.
Muda umefika wa kuondoa likizo za malipo kwa waalimu...
Inasemekana alikamtwa na Polisi kwa kosa la uzururaji,
Mabomu yanarindima kuwatawanya vijana wenye hasira muda huu
======
Kijana Allen mkazi wa Kata ya Iyela, alikamatwa juzi akiwa na...
Mwanadada mmoja wa Kimarekani aitwae Erin Hester aliyekuwa ndani ya Gari lake aliweza kumuona Mwanajeshi mmoja akifanya Kitendo ambacho ni adimu na nadra sana kukiona kwa Wanajeshi pale ambapo...
Wengi tulikuwa tunalalamika haki itendeke kwa marehemu aqulina...
Kumbe kimya kingi kina mshindo..
Hatimaye watuhumiwa wa maandamano batili wako mbele ya mahakama...
Na huko mahakamani haki...
Kwa mujibu wa kitabu cha Jaji Barnabas A. Samatta kiitwacho “Uhuru wa mahakama” anasema, chombo cha utoaji haki yaani mahakama kinapaswa kuwa huru na kifanye kazi yake kwa misingi ya uadilifu...
Huyu bwana sniper ni mystery sijui siyo mystery..agh awamu ya tano inachekesha sana
baada ya issue ya nape na waziri kusema huyu jamaa kapatikana,Igp kusema anatafutwa,Rpc wa kinondoni kusema...
Maana yake "Taifa linapokuwa katika hali ya vita, walevi na machangudoa huendelea kunywa na kufanya ngono kwenye mabaa na makasino"
Katika mantiki ya kifalsafa msemo huu hauwahusu walevi wa pombe...
Nakumbuka hizi nyimbo ziliibwa zamani sana lakini je ingekuwaje hizi nyimbo zingekuwa ndo zinatoka kipindi hiki .
Nyimbo zenyewe kama zifuatazo.
Juma nature hii hali sasa imekuwa ngumu...
Serikali na Wcb yamekwisha...
Lazima watz tutambue imefika wakati sasa hivi tz ukimgusa diamond kwa vyovyote jua umeigusa bongo flavour....
So chibu hawezi kushuka not easy hivo....
Kitu tunachotakiwa kujua
1.Maaskofu ni Watanzania
2.Ni raia wa Tanzania
3.Ni viongozi wa maadili ya Imani na kibianadamu
4.Ni viongozi pia katika taifa na maeneo yetu hasa katika imani
Pale...
Baada ya Uongozi Wa WCB kukaa kikao na wizara ya sanaa (Mwakyembe &Juliana shonza) na BASATA kwa muda Wa masaa 3. Wakijadili suala la maadili katika kazi za wasanini
Wizara imeona kuizifungia...
Ni huko afrika ya mashariki katika nchi ya TZ, ambapo msanii aliyeimba wimbo wenye fumbo tata (kibamia)amefungiwa pamoja na wimbo wake kuzuiwa kwa kukosa maadili lakini msanii WEMA sepetu amecheza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.