Habari vipi wakuu,
Najua katika maisha ya vijana hua kuna mitazamo tofauti ya mfumo wa maisha mtu atakavyo kuishi sina nyumba naishi nimepanga hapa Dar, lakini nina kiwanja Mbezi.
Mpango wangu...
Heshima kwenu wakuu,
Mwili wa Mwenyekiti na Mkurugenzi wa Makampuni ya IPP Reginald menfi umeshawasili Nchini na sasa upo Mochwari ya Hospital ya Jeshi Lugalo.
Kwa upande wa kijijini mwili...
Wakuu.
Hizi sheria za mirathi zinabagua sana, naona umefika wakati mwanamke akikuacha alazimike pia kukulipa kwa kukupotezea muda wako.
Mwanaume akimwacha mwanamke unakuta tunalazimika kuwalipa...
Wakuu Nimepita Barabara Ya Ally Hassan Mwinyi Hapa Dar Es Salaa Na Kuona Kuna Ujenzi Unaendelea Ila Hakuna "Bango" La kuonesha Mradi Gani Unaoendelea
Karibuni Wenye Kufahamu
Habarini wana-jamiiforum!
Hivi umeshawahi kujutia kumsaidia mtu,awe ndugu,rafiki au jamaa?
Binafsi nakumbuka tangu shule ya msingi nilikua na mshkaji alimizidi miaka ya kutosha tu so ni kama...
Haloo wanajamvi,..
Mimi ninahitaji kujiunga na kusoma Law School of Tanzania. Hata hivyo nina changamoto ya kifedha kidogo hivyo nilikuwa nafikiria kuomba mkopo Bodi ya Mikopo kwa Wanafunzi wa...
Barabara hii imejifunga kwa muda, mvua ya usiku huu imesababisha mti kuanguka katikati ya barabara maeneo TRA na kufunga barabara, kesho asubuhi msijichanganye kupita huku
Usiku wa saa 6 kuna jambo lilinitokea la ajabu sana, nikiwa nimemaliza kuomba nikalala lakini sikuwa na usingizi nikahisi kama kuna mtu amesimama kitandani ghafla nikahisi uzito wa mwili na macho...
Ni mwezi wa toba na kumrudia mwenyezi Mungu kwa ndugu zetu waislam... Tuwaombee na kuwatakia toba na mfungo wenye kheri
Tusiwakwaze... Tusiwashawishi... Tusiwatie majaribuni...
Hail ya hewa huku...
Habarini watanzania wote wapenda maendeleo n.k
Msaada tutani,kuna instrumental flani kama3 hupigwa radio tumaini mfano kipindi cha kumbukumbu, sasa natafuta kujua namna ya kuzipata nizipakue kwa...
Kama inavyofahamika katika kanisa la Kiinjili la kilutheri Tanzania ,ndoa inayotambulika ni moja tu hadi kifo kitakapowatenganisha.
Mzee Mengi ambaye alikuwa ni muumini wa kanisa la kilutheri...
Sijawahi ona tangazo bayaaa kama hili la wembe mr kick yaani halina hata mvuto wameshindwa hata kutafuta hata jezi zisizo na nembo ya man city na fly emirates
linanikera mno hili tangazo
Najaribu kulinganisha msiba wa huyu boss wa IPP Mzee Mengi, na ule msiba wa boss wa clouds media marehemu Ruge nashangaa huku wasanii hawana nafasi kubwa kama kipindi kile ambapo bwana Diamond...
Ni hivi siku ya jumamosi nilikuwa mahali fulani ambapo wakati nataka kuondoka nirudi nyumbani nikaita Bolt.
Cha ajabu wakati nafika akaniambia natakiwa kulipa 19,000 na kwakuwa nilikuwa nimechoka...
Kwamba polisi au dola wanadai hawahusiki na hawa wanaoteka watu,wala hawawajui,inawezekana ni kweli,je serikali iko tayari kuruhusu wananchi wafanye wafanyalo pindi WASIOJULIKANA wanapoteka mtu,au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.