SERIKALI imewataka wafugaji na wakulima kuhakikisha kuwa wanazingatia
matumizi bora ya ardhi,ikiwa ni pamoja na kuepukana na uharibifu wa
mazingira unasababishwa na shughuli za kibinadamu kwa...
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania upo kwenye majadiliano ya bajeti ya 2019/20 na bado Mhe. Waziri wa Fedha na Mipango hajawasilisha bajeti ya Serikali kwa mwaka 2019/20 mbele ya Waheshimiwa...
Mtandao wa kijamii wa Instagram umezindua akaunti mpya ya @shop maalum ili kuwahudumia watumiaji wake wanaopendelea kufanya manunuzi mtandaoni.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na mtandao huo...
Katika maisha kuna pande mbili Leo unaamkia nyumbani na kesho waweza kuamkia gerezani si ajabu.Sasa hoja yangu ni "TUFANYE NINI KUYABORESHA MAGEREZA YETU?"
Bila shaka wengi wetu tumewahi...
Daladala zinazofanya safari kati ya mwanza mjini hadi kijiji cha Ilalila/Isela kupitia Buswelu katika manispaa ya Ilemela jijini Mwanza zimegoma tangu Jana na kupelekea kero ya usafiri
Chanzo cha...
Mbarali. Jeshi la Polisi limesema limemkamata mganga wa jadi anayedaiwa kuhusika na mauaji ya Rose Nguku, mtoto wa miaka sita anayedaiwa kuuzwa na baba yake na baadaye kuuawa kwa kunyongwa na...
Wengi hawafahamu kwamba Misri ni miongoni mwa Mataifa ya dunia yaliyowahi kuwa na nguvu kubwa ya uchumi na maarifa ukiachilia mbali dola zinazosifika na kufahamika zaidi kwenye historia ikiwemo...
Nilimsikia naibu waziri wa mabo ya ndani akisema sheria inakataza kuwapiga watuhumiwa wakati wa kuwakamata au wakiwa kituo cha polisi, sasa hivi hawa wanaopigwa na askari wakati wakikamatwa, na...
"CCM ina sifa ya Patasi ambayo ili ifanye kazi ni mpaka igongwe kwa nyuma, ni kazi ya vyama vya upinzani na asasi zingine za kiraia kuhakikisha CCM inafanya kazi ipasavyo na wasipofanya hivyo...
Wakuu maiti hupakwa dawa kuzuia kuoza na kuwekwa kwenye jeneza.
Je, mtu hawezi athirika kwa maradhi kwa kubusu maiti iiyopakwa dawa ya maiti wakati akiaga mwilii wakati wa kutoa heshima za...
Habarini wana JF!
Naifikiria Tanzania ambayo itakuwa na midahalo ya majibu zaidi ya malalamiko!
Kwenye daladala pazungumziwe utatuzi wa uchafuzi wa mazingira katika mitaa yetu! N.k
Kwenye...
Taarifa kwa umma
Kampuni ya UDA-RT inautaarifu umma kuwa huduma za mabasi yaendayo haraka jijini Dar es Salaam, imesitisha huduma zake kati ya Kimara - Kivukoni, Kimara - Gerezani, Morroco -...
Wafariki Wakisubiri Mwisho wa Dunia..!!!
Waumini watano wanaotambulika chini ya mwamvuli wa imani ya Voodoo nchini Benin wamefariki dunia baada ya kuamuliwa kukaa kwenye chumba maalumu na...
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Atashasta Nditiye amelieleza Bunge leo Jumanne Mei 14, 2019 kuwa kituo cha televisheni cha Azam jana Jumatatu kimepokea leseni ya kuonyesha chaneli...
kutokana na kuongezeka kwa uhitaji wa hii huduma miongoni mwa watu waishio maeneo ya mbali ya jiji hili
ni wakati sasa hawa bodi ya maktaba kuanza kufungua maktaba kila wilaya ya jiji hili
ili...
Siku nne tu baada ya Mh Tundulisu (mb) KUSHAMBULIWA kwa RISASI zaidi ya Arobaini (40),MSITAAFU huyu ilisemekana kuwa nae alishambuliwa na RISASI na Watu wanaosadikika kuwa hawajulikani,
Mkuu huyu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.