Rais wa Marekani, Donald Trump amefanya mkutano wake wa ufunguzi wa kampeni zake za uraia katika Jimbo la Orlando Jumamne ambapo Kamati Kuu ya Chama cha Republican (RNC) imesema amefanikiwa...
Ilikua Siku ya Jumapili,
Kaja kijana Dukani kwangu ambako ninauza mitungi ya gesi ya kupikia majumbani.
yule kijana alifika dukani hana mtungi wala hela ya gesi.
akamwambia kijana wangu wa dukani...
Polen na kazi,
Niende kwenye mada moja kwa moja.
Naomba kujua umeme ukishazalishwa ikitokea siku hiyo watumiaji ni wachache Mfano wakati wa usiku wa manane, Je ule umeme unaozid huenda wapi?
Je...
NI KIVIZIANA SASA NANI ATANZA SASA
Marekani yakiri ndege yake kutunguliwa na majeshi ya Iran yadai kuishambulia ndege ya kijasusi isiyo na rubani ya Marekani
Haki miliki ya pichaUS NAVY/KELLY...
Wiki nne zilizopita nilipata fursa ya kutembelea wenzangu Europe, na nikaondoka kule nikiwa na simanzi kuhusu hii mitandao yetu hapa Tanzania na huduma zao za Internet.
Kusema ukweli...
TISHIO LA UGAIDI MASAKI NA MKATABA WA VIENNA.
Jumatano Juni, 19, 2019 wananchi wengi wa Tanzania hasa Dar es Salaam walishikwa na taharuki kufuatia taarifa ya tishio la mashambulizi ya kigaidi...
Wana bodi wasalaaam,
nahitaji kufungua kampuni kwa kuunganisha majina yangu sijui kwa karne tulio nayo Kama bado yana ladha naomba kujua kirefu cha kampuni ya Patrick Ngiloi Olomi Panone
Haka kaadui chetu kadogo kanapenda kuuma mguu usikakanyage tu mkia kata force kakupandie juu karibia na goti.kanatutia hofu sema sio kesi Ni mbwembwe zake tu kizazi Chao kina mambo ya hovyo
Kwetu sie wa mtaani Kama jinsi tunavyoiona hali halisi ya mzunguko , pesa Hakuna ila vitu vipo, hivi kwanini tusifikirie plan B ya kuanza kubadilishana commodities?Mf chakula, Samani za ndani...
Mwanzoni wa mwaka huu mchezji Emiliano Sala alifariki katika ajali ya ndege aliyokodiwa. Yametokea mambo kadhaa ya kujifunza
Polisi na mamlaka zingine zilianza uchunguzi kutafuta kama kuna jinai...
Sumbawanga:
Kama kuna ujasiri, alichofanya Joyce Kalinda (32) mkazi wa kitongoji cha kalya kata ya kirando wilaya ya nkasi mkoa wa rukwa cha kujifanyia upasuaji mwenyewe na kutoa mtoto tumboni...
TBS NA 'BOMBA ZA UMEME'
Jumatano tarehe 19/06/2019 baada ya taarifa ya habari ya saa mbili usiku ITV alionekana mtaalamu wa TBS akiponda ubora wa alichoita 'bomba za umeme' kwamba zina mapungufu...
Na Mwanahabari Huru
Najua watu wengi hupenda kuzungukia mbuga za wanyama, kwa ajili ya kufanya Utalii na hata baadhi wamekuwa wakiniuliza baadhi ya maswali kwakuwa huona napost sana makala za...
Miongoni mwa visa vilivyosimuliwa na wanafalsafa wakubwa Duniani ni hiki kisa.
Ni kisa ambacho kinasadifu hali ilivyo na uhasama mkubwa uliopo kati ya ujinga na uelewa.
Ni dhahiri kabisa...
Wadau mnaokatwa deni la heslb fanyeni kucheck kwenye salary slip zenu za mwez April na May mwaka huu muone kwan deni halijapungua baada ya makato.
Je,hii hutokana na nini?
Au ndo 6% yenyewe hii??
Aliyewahi kuwa Waziri wa Michezo na Naibu Waziri Kiongozi katika Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Ali Juma Shamhuna amefariki dunia visiwani humo
Inna lilahi wainna ilayhi rajiun. Mh Ali Juma...
Bibilia ni maktaba jap wengi tunaiita kitabu.
Kwa utafiti wangu Binafsi ndio maktaba pekee ulimwenguni ambayo ikisomwa kwa tafakari na uchanya yenye uwezo wa kurudisha ustawi wa jamii katika...
The inaugural flight on the new Kigali-Guangzhou route had been fully booked by mid-day Monday. It had 234 passengers onboard, including State Minister for Transport Eng. Jean de Dieu Uwihanganye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.