Great Thinkers

JF's Great Thinkers' home | If you want to be enrolled, contact us

JF Prefixes:

Wana JF, Ninaomba kuwashirikisha katika makala yangu hii kuhusiana na hali ya nchi yetu. Nimeandika kufuatia kauli ya Chiligati kuwa nchi ipo shwari na nini nimeona katika Mkoa wa Kwanza wa...
0 Reactions
85 Replies
13K Views
Uadui kwa taifa ni pamoja na kunyamaza wakati unajua ukimya wako unaangamiza wengi Watanzania, Ni siku nyingine tena ya kumshukuru Mwenyezi Mungu kwamba taifa bado ni moja na lina umoja ule...
2 Reactions
45 Replies
13K Views
Was Zitto wrong? By Sunday Citizen Team The Income Tax of 1973, which was amended in 2002, bears the controversial Clause that Minister for Energy and Minerals, Nazir Karamagi told the...
0 Reactions
60 Replies
13K Views
(picha toka blogu ya Zanzibar Daima) By. M. M. Mwanakijiji I have been looking for some words to adequately describe our political situation in the country; I have found none that are good...
5 Reactions
104 Replies
13K Views
Na. Martin M. Malima Tangazo la Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Zuberi Kabwe la kugombea Urais kama atapitishwa na Chama chake cha Chadema linaripotiwa na vyombo vya habari kuzua tafrani...
18 Reactions
115 Replies
13K Views
Kwa nyakati fofauti, wengi wetu tumejifunza katika historia ya nchi yetu kwamba moja ya sababu za msingi ambazo Mwalimu Nyerere alizitaja miaka 50 iliyopita kwamba ni kikwazo kwa Maendeleo ya...
21 Reactions
75 Replies
13K Views
Vita vya maneno kati ya JK na Kagame vinaasharia jinsi ambavyo Kagame haoni kama JK ana ushawishi au hata ufahamu wa historia ya Rwanda na hivyo kumkejeli jinsi ambavyo anaona inafaa. Kagame...
37 Reactions
63 Replies
13K Views
Elimu ya Ufundi Katika Utumishi wa Umma Serikali imeamua kutekeleza kwa vitendo uamuzi wake wa kutokuwa na watu wasio na elimu ya kutosha katika utumishi wa umma. Katika kutekeleza hilo, Serikali...
7 Reactions
10 Replies
13K Views
As much as I would like to appease Dr. Slaa's fanatical base that he is heading to Ikulu comes 2015 but the truth ought to be told much earlier …that they are merely pegging their...
20 Reactions
133 Replies
13K Views
Deni la Taifa letu linazidi kupaa. Kwa mujibu wa takwimu za hizi karibuni, Deni hili tayari limeshavuka dollar za kimarekani Billion kumi na tano, sawa na takribani shillingi trilioni ishirini na...
27 Reactions
65 Replies
12K Views
Umewahi kujiuliza kwa nini nchi za Ulaya zinaendelea kutajirika kila kukicha huku za kwetu zikiendelea Kumasikinika? Umewahi kujiuliza kwa nini wakati Life Expectancy kwao Ikiongezeka kwetu ndiyo...
18 Reactions
94 Replies
12K Views
Mambo mengi yamesemwa kuhusu tatizo la umeme nchini Tanzania, mimi nitaanza kwa kugusia mambo machache yanayoonyesha matatizo ya umeme yalivyokuwa makubwa ndani ya bara letu la Afrika...
6 Reactions
88 Replies
12K Views
TLDR; Watumishi wasio na vyeti vya ufaulu kidato cha nne, na hawajadanganya sifa zao, wengine wana sifa zilizozidi au zilizo sawa na cheti cha kidato cha nne kutokana na uzoefu na mafunzo mengine...
24 Reactions
0 Replies
12K Views
Mkapa ajuta • Ahuzunishwa wageni kuhodhi uchumi na Mwandishi Wetu | Tanzania Daima~Sauti ya Watu RAIS mstaafu, Benjamin Mkapa, amesema anajutia kitendo chake cha kuliingiza taifa...
1 Reactions
72 Replies
12K Views
..hii ni sehemu ya mahojiano ya Waziri Mkuu Mstaafu Sinde Warioba alipozungumza na gazeti la raia mwema. ..alianza hivi: "Mwaka 1985 hatukuwa na akiba ya fedha za kigeni. Tulikuwa...
2 Reactions
45 Replies
12K Views
Edward Lowassa is very ambitious man. He is believed to be very industrious. However, he has been very pushy, arrogant and seeks power at any cost. He behaves like a monster, walking like a...
0 Reactions
66 Replies
12K Views
SHERIA YA LESENI MIAKA 45 Kauli ya waziri wa ujenzi, uchukuzi na mawasiliano Mh Isack Kamwelwe kuhusu umri wa madereva kuendesha malori na vyombo vya abiria imepamba habari za wiki hii Ni...
9 Reactions
21 Replies
12K Views
Mjadala huu utakuwa na sehemu kuu NNE. SEHEMU YA KWANZA: Msingi Wa Mkataba Ulikiukwa, Woga Wa CCM Serikali Tatu. Mchakato wa Katiba Mpya ulitoa fursa pekee kwa CCM kurekebisha kasoro...
23 Reactions
47 Replies
12K Views
Kwa siku kadhaa nimekuwa nikisoma Kitabu cha Ujamaa cha Julius Nyerere, na ni mengi ninajifunza tena na kubaini kuwa Mwalimu aliandika vision ya kutujenga kama Taifa hata kabla ya Azimio la...
17 Reactions
20 Replies
12K Views
Heshima wanajamvi. Historia ya Tanganyika kabla ya uhuru na baada ya uhuru imeacha mambo mengi mazuri ambayo si vibaya tukajaribu kuyapitia kwa faida yetu na vizazi vijavyo. Ningependa kujuzwa...
3 Reactions
13 Replies
11K Views
Back
Top Bottom