Great Thinkers

JF's Great Thinkers' home | If you want to be enrolled, contact us

JF Prefixes:

Katika mijadala mingi inaonyesha, inaonyesha kuwa watanzania wengi wanakubaliana kuwa chanzo cha matatizo ya nchi yetu ni uongozi. Wengine wanasema kuwa ni nchi inaongozwa bila dira. Wengine...
12 Reactions
173 Replies
16K Views
Mojawapo ya hoja ambazo hatuzikii mara nyingi kwa wale ambao wanambebesha Nyerere lawama na mzigo wa taifa letu kuwa ni yeye ndiye aliyelivuruga ni kuwa Nyerere alipokea taifa lenye hali gani ile...
14 Reactions
154 Replies
16K Views
MBUNGE wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema Kwa ufupi Katika shauri hilo namba 84 la mwaka 1980 lililofunguliwa na William Bakari na mwenzake dhidi...
12 Reactions
164 Replies
15K Views
Our annual revenues out of mining sector (Diamond, Gold, Tanzanite, etc) which contibutes to national GDPis 1.9%! This was declared recently to Taifa. So I wonder when Ashanti, Barrick...
0 Reactions
101 Replies
15K Views
Jana nimejiuliza sana kwa nini Tanzania tunahangaika na ukosefu wa umeme kila mwaka na hata kuzorotesha uchumi n kukua kwa maendeleo? nikajiuliza ni mvua, mabwawa au mitambo? Nikapata tamati kuwa...
1 Reactions
109 Replies
15K Views
Nakala hii imebeba mambo matano makubwa 1. Historia ya daraja la kigamboni 2. Ufisadi 3. Uwezo na tabia ya magufuli 4. NSSF na kutoa misaada 5. UUzwaji wanyumba za serikali Update: 1...
12 Reactions
141 Replies
15K Views
Rejea thread ya Roulette ya tarehe 19 mwezi huu (Link) kua leo kutakua na mjadala kati ya Matola na zomba kuhusu tathmini ya utawala wa Rais Kikwete tokea aingie madarakani mwaka 2005 hadi sasa...
32 Reactions
103 Replies
15K Views
Na. M. M. Mwanakijiji Utangulizi Tatizo la upungufu wa nishati nchini linatafutiwa kisingizio. Naam, limetafutiwa kisingizio na kisingizio hicho kinazidi kukuzwa mbele ya macho yetu na kufanywa...
25 Reactions
147 Replies
15K Views
KWA NINI WAISLAMU HAWANA IMANI NA VITENGO VINAVYOHUSIKA NA TAKWIMU? Hili ni suala muhimu kulipatia jibu na kulifahamu kwa kina sisi kama Waislamu. Wengi wana maoni kuwa kitendo cha Waislamu...
18 Reactions
61 Replies
15K Views
Kuna Wawakilishi na Wabunge ambao wamekuwa wakitoa lugha ya kuonesha kuchoshwa na Muungano na bila ya shaka wanazo sababu ambazo wanaamini zinawapa haki ya kutoa hisia hizo. Lakini wapo wengine...
15 Reactions
152 Replies
14K Views
Nianze na swali: Hivi unaweza kupeperusha bendera ya taifa mahali uishipo hata ikiwa wewe si kiongozi mtaani? Nakumbuka wimbo ufuatao tuliimba chekechea, ile iliyoko pale karibu na 'Holofea'...
30 Reactions
7 Replies
14K Views
TOFAUTI KATI YA WANAZUONI (INTELLECTUALS)NA WASOMI (INTELLECTS) Mwanazuoni ni nani? Je, kuna tofauti kati ya mwanazuoni(intellectual) na msomi (intellect worker/intelligentsia)? Ndiyo, ipo...
13 Reactions
2 Replies
14K Views
MZALENDO au NDUMILA KUWILI? Tuwangalie kwa jicho angavu Ni tatizo tusilolijua Pande mbili za mheshimiwa na tusiyoyakumbuka Wanajamvi tutakuwa na sehemu I-III kuhusiana na mwenyekiti wa bunge la...
18 Reactions
57 Replies
14K Views
Nimeshindwa kuelewa niiweke wapi thread hii baada ya kusoma makala moja pale Mwanachi kuhusu mada ambayo imekuwa inakera akili yangu muda mrefu sana. Thread ingeweza kuwa siasa, uchumi au kwenye...
3 Reactions
22 Replies
14K Views
  • Closed
Buzwagi saga Minister Karamagi makes confession By Sunday Citizen Team Minister for Energy and Minerals Nazir Karamagi has officially admitted that he deleted from the proposed Buzwagi...
1 Reactions
40 Replies
14K Views
My verdict of the 27 ward by-election results: CCM is stabilising, CHADEMA is shrinking and CUF is disappearing Dr Kitila Mkumbo In November 2012 I wrote an article entailing my assessment of...
27 Reactions
51 Replies
14K Views
Tanzania tunaomba mfundishe coding kwenye mashuleni na kama hatuna walimu wa kutosha tuombe msaada kwa India. Kazi nyingi zijazo hasa kwenye engineering, design, accounting ... na ubunifu...
21 Reactions
34 Replies
14K Views
ZANZIBAR INAJIBANZA KWA MGONGO WA MUUNGANO MTANGANYIKA ANALIPA KWA KILE ASICHOTUMIA ZIGO LA UENDESHAJI WA SMZ NI LA MTANGANYIKA Sehemu ya I Wanajamvi Katika mambo yasiyozungumzwa au kugusiwa...
8 Reactions
79 Replies
14K Views
Ningependa kujua ni sababu gani iliyomfanya Nyerere ajikite zaidi katika juhudi za ukombozi wa bara la Afrika kiasi cha kumfanya atumie muda mwingi, rasilimali za Taifa na maisha ya Watanzania...
5 Reactions
32 Replies
13K Views
Nilitarajia Operesheni sangara ingeingia kila Wilaya na Mkoa si kujiuza kuhusu CHADEMA na kupiga vita CCM na kuioanisha na UFISADI, bali ni kuwatikisa Wabunge na Serikali za Wilaya. Naangalia...
0 Reactions
120 Replies
13K Views
Back
Top Bottom