Wanajamvi
Huu ni mwendelezo wa uzi wa https://www.jamiiforums.com/great-thinkers/308989-duru-za-siasa-matukio-20.html
Tutaangalia matukio mbali mbali yanayotokea nchini na dunia kwa nyakati...
Mwaka 2015 sio mbali, na kwa mara nyingine tena watanzania tutapata fursa ya kutumia haki yetu ya kikatiba kumchagua mtu mmoja ambae tunaamini kwamba ndiye atakaefaa kutuongoza kama taifa katika...
Kesho ndio lile sekeseke la kumpata Rais Bora wa Afrika, wastaafu, linaanza rasmi. Index inatangazwa kesho 25th Sept.
Habari nilizo nazo za ndani kabisa ni kuwa ushindani mkali upo kati ya Rais...
ZANZIBAR INAJIBANZA KWA MGONGO WA MUUNGANO
MTANGANYIKA ANALIPA KWA KILE ASICHOTUMIA
ZIGO LA UENDESHAJI WA SMZ NI LA MTANGANYIKA
Sehemu ya I
Wanajamvi
Katika mambo yasiyozungumzwa au kugusiwa...
Waziri Membe atangaza kutogombea Ubunge tena
History has a penchant of repeating itself in the strangest of circumstances: Who would have known neither Malecela nor Kolimba will be in the...
Ifuatayo ni sehemu ya hotuba maarufu aliyoitoa Bw. Oscar S. Kambona ambaye alikuwa ni Katibu Mkuu wa Chama cha TANU na Waziri katika Baraza la Nyerere. Hotuba hii ilitolewa Bungeni (Dar) na...
You know what, I think this guy will be fit to be the President of Tanzania. He is a savvy, efficient and cunning! If he is the brain wizard who lifted CCM to where it is today by being teh force...
Kwa nyakati fofauti, wengi wetu tumejifunza katika historia ya nchi yetu kwamba moja ya sababu za msingi ambazo Mwalimu Nyerere alizitaja miaka 50 iliyopita kwamba ni kikwazo kwa Maendeleo ya...
For a political party to be successful it needs to position itself to assume power. For this reason it requires what I would call as the Triangle of Political Victory. In this triangle there are...
Mkapa ajuta
• Ahuzunishwa wageni kuhodhi uchumi
na Mwandishi Wetu | Tanzania Daima~Sauti ya Watu
RAIS mstaafu, Benjamin Mkapa, amesema anajutia kitendo chake cha kuliingiza taifa...
SEHEMU YA KWANZA
Mabadiliko ya uongozi ndani ya CCM yaliyotokea hivi karibuni yameleta matumaini kwa baadhi ya watanzania kwamba – ujio wa Mangula utarudisha imani na uhai wa CCM kwa umma...
Ni miaka miwili na miezi kumi tangu ndugu John Joseph Pombe Magufuli aapishwe kuwa Rais wa Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ni mengi ya kutafakarisha yametokea tangu Magufuli awe Rais, na...
Sehemu ya I
Ndugu wana Duru, Tunaomba tuweke rekodi vema kuhusu katiba mpya.
Kuanzia mwanzo hadi sasa msimamo wa duru ni katiba mpya itakayoandikwa na wananchi haitapatikana.
Utaratibu...
Ndugu zangu,
Tarehe kama hii mwaka jana nilitoa hoja Bungeni kuhusu Mkataba wa Buzwagi uliosainiwa kifisadi huko Uingereza.
Mengi yametokea katika Taifa letu toka Agosti mwaka 2007. Hebu...
Kumfahamu mtu yeyote ni lazima utazame historia yake ya utotoni aliosoma nao, aliocheza nao... walimu wake... walezi wake, majirani na kadhalika...
Sasa sisi Tanzania ni nadra sana kusikia...
Kuna dadangu mdogo mmoja anataka kuja kusomea mambo hayo ya forensics (nadhani amekuwa kiangalia CSI na NCSI too much) na sasa anataka kujifunza mambo hayo ili kusaidia katika mambo ya kupambana...
Edward Lowassa is very ambitious man. He is believed to be very industrious.
However, he has been very pushy, arrogant and seeks power at any cost. He behaves like a monster, walking like a...
Uzi utakuwa maalum kwa matukio mchanganyiko yanayojiri katika dunia yetu
Matukio ya kijamii, kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni. Ni katika kupashana habari na matukio
Hili ni jambo ambalo hunisumbua sana akilini mwangu, na ninaoma tulijadili kwa usikivu bila mipasho na ushabiki, ikiwezekana. Unaweza kuingia ofisini kwa mtu ukamkuta anaongea mambo ya kiumbea na...
Wakuu Great thinkers, napenda mijadala ya kwenye jukwaa hili maana wachangiaji na wakosoaji wanaotumia hoja na busara kuchangia, kukosoa, kushauri na kurekebisha. Watunga sera makini wanafuatilia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.