Kuna dadangu mdogo mmoja anataka kuja kusomea mambo hayo ya forensics (nadhani amekuwa kiangalia CSI na NCSI too much) na sasa anataka kujifunza mambo hayo ili kusaidia katika mambo ya kupambana...
Ni miaka miwili na miezi kumi tangu ndugu John Joseph Pombe Magufuli aapishwe kuwa Rais wa Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ni mengi ya kutafakarisha yametokea tangu Magufuli awe Rais, na...
Wakubwa salaam,
Ninawaletea hotuba yangu jimboni Kigoma. Asante
HOTUBA YA MBUNGE WA KIGOMA KASKAZINI NDUGU ZITTO ZUBERI KABWE KWENYE UFUNGUZI WA MKUTANO MKUU WA CHADEMA UCHAGUZI JIMBO LA...
Tumeshaelewa hoja ya Lowassa, nadhani sasa ni wakati wa kuelekeza juhudi zetu katika kutafuta ufumbuzi wa kudumu; Ni muhimu tukampongeza Lowassa kwa kuwa kiongozi wa kwanza nchini kulipa suala...
Kesho ndio lile sekeseke la kumpata Rais Bora wa Afrika, wastaafu, linaanza rasmi. Index inatangazwa kesho 25th Sept.
Habari nilizo nazo za ndani kabisa ni kuwa ushindani mkali upo kati ya Rais...
YATAKAYOJIRI HOTUBA YA JK KESHO
Sehemu ya I
Hali ya taharauki imetanda Dodoma. Wabunge wakitishiwa kwa kamera 13 ndani ya ukumbi na viongozi 4 wa kundi linalompinga Sitta kukiuka taratibu...
Ifuatayo ni sehemu ya hotuba maarufu aliyoitoa Bw. Oscar S. Kambona ambaye alikuwa ni Katibu Mkuu wa Chama cha TANU na Waziri katika Baraza la Nyerere. Hotuba hii ilitolewa Bungeni (Dar) na...
Maswali yamebaki bila majibu kwa muda mrefu sasa lakini cha kushangaza ni jinsi taarifa zinavyobadilika kila siku kuhusiana na nini kimetokea kwa ndege hii.
Jambo la kwanza ilisemekana ndege...
TAARIFA za kiintelijensia zimebaini kuwa CHADEMA ndio wamesababisha mgomo wa madaktari, mgomo ambao umeendelea kwa siku kadhaa sasa na umehatarisha maisha ya wagonjwa wengi na umesababisha hata...
Wanajamvi;
Wiki chache zilizopita za Saudi Arabia, UAE, Bahrain na washirika wengine waliamua kuvunja uhusiano na Qatar wakiinyooshea kidole kwa kuunga mkono makundi ya kigaidi. Hatua...
It is time for Mr. Rostam Aziz to resign. It is time for him to call quit all his political posts within the ruling party including resigning as the current MP for Igunga. I for one have had...
MAPENDEKEZO YA MUUNDO WA BARAZA LA MAWAZIRI 2010- NA SABABU ZAKE
Na. M. M. Mwanakijiji
Ni mara chache sana katika kipindi cha utawala tunaweza kupata nafasi ya kutoa mawazo juu ya muundo wa...
Habari wana JF,
Hali ya nchini kwetu Tanzania hadi hapa tulipofika kwa sasa haijalishi kuwa tunaenda wapi mana tayari tumefika pabaya… Kwa kundi ama hali yoyote ile ifikapo pabaya dawa...
Ili Chadema kiweze kuwa Chama mbadala, kinahitaji major overhaul ya kiuongozi na utendaji. Matokeo ya uchaguzi mkuu wa 2010, yamoenyesha wazi kuwa safari ya Chadema kuinga Ikulu na kushika hatamu...
Leo ningependa tujiulize wote kwa pamoja ni nini haswa maana ya elimu ? Tujiulize, tutafakari, tujaribu kupata majibu, ni nini haswa maana ya elimu? Na kwanini watu wanapelekwa shule ? Na...
Tanzanians are notorious for political rhetoric and obsession at the expense of economic value. This habit has now evolved into a ‘culture'. The Tanzanian Parliament is actively legislating...
Napendekeza nadharia tete (Hypotheses) zifuatazo, lengo kuu ikiwa ni kutupa sote nafasi ya kuzipima nadharia hizi tete, kwa kutumia uzoefu wetu na uelewa wetu juu ya utamaduni wa CCM, hasa kwa...
US President in 2021
False Fraud Allegations
True Fraud Allegations
Remarks
President Biden
Jamii itawaona chama cha Republican na Rais Trump ni ving'ang'anizi...
The Beautiful Young African Woman And The Old White Lover-A Sickening Trend?
Have you taken a quiet stroll through the priced restaurants in town on a good day or night? Especially the Accramall...
Mwaka 2015 sio mbali, na kwa mara nyingine tena watanzania tutapata fursa ya kutumia haki yetu ya kikatiba kumchagua mtu mmoja ambae tunaamini kwamba ndiye atakaefaa kutuongoza kama taifa katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.