Habari za wakati huu mabibi na mabwana, waungwana wote kwa ujumla, wale tulio kwenye mfungo, hongereni kwa hilo na natanguliza kheri na salamu za sikukuu ya Idi.
Itakumbukwa kuwa Jumanne ya...
Habari wana JF,
Kama tulivyoahidi tarehe 19/11/2012 katika Jukwaa la Siasa (katika thread hii), leo tumemkaribisha Mhe. Mbunge wa Kigoma Kaskazini kupitia CHADEMA, Zitto Zuberi Kabwe kama mgeni...
Kumekuwepo na mjadala mpana sana kuhusu mantiki mbili za maendeleo kwenye mitandao ya kijamii, nami ningependa kutoa maoni yangu kuhusu jambo hili, Kuhusu maendeleo ya watu na maendeleo ya vitu...
Baada ya kufutwa Kikokotoo kipya na kurudishwa vile vya zamani, nini matokeo yake? Tuangalie kigezo kimoja tu: asilimia ya kwenye mkupuo.
A: Kikokotoo Kilichofutwa
MFUKO...
Matokeo ya kidato cha nne yameacha kujadiliwa, kama kawaida waandishi wameripoti bila kwenda kiundani zaidi kusema matokeo haya yana maanisha nini kwa jamii. Hata hivyo kuna mtu ndani ya JF...
Achana na maandamano ya CHADEMA, miaka kadhaa iliyopita kulikuwa na maandamano ya wamachinga. Mtu mmoja ambaye alitajwa kuwa msemaji wa wamachinga alirekodiwa akiwataka watu wengine wasiandamane...
Nchi kadhaa zimekuwa na mijadala juu ya ukomo wa umri ambao rais anatakiwa kutovuka ili kuendelea kutawala. Hata hivyo, baadhi ya marais wamekuwa wakibadili katiba zao ili kuhakikisha wanabaki...
I was unable to post this thread in the sports forum because of its wide reaching theme(in my view).
In recent years, Olympic games have been the one venue that brings together people from all...
Ni wazi matokeo ya uchaguzi mdogo (Ule wa udiwani na sasa wa Jimbo Kalenga)
umeacha maswali mengi sana vichwani mwa wapenda mabadiliko. Whether CHADEMA has gained popularity or not remain unclear...
Angalizo: Uzi huu ulishatumwa kwenye majukwaa mengine ya JF kwa kichwa cha habari tofauti kidogo.
Karibu
UTANGULIZI
Umewahi kujiuliza kwanini watu hugombana katika mijadala? Kwanini kuna...
Kwanza ningependa kumshukuru mungu muumba kunipa nafasi hii ya kuandika waraka huu kwenu ndugu zangu. Namuomba anielekeze fikra nilizonazo zitoke kama ninavyokusudia kutoka kichwani kwangu na...
In a country of "Haves"; a "saw" is one-sided sharp
Hello wana-JF again,
I hardly post this frequent but i just couldn't hold water and keep quiet anymore with the current updates on the...
Possible Antidote for the V-Serum and the Current Spike Protein Contagion
Dr. Judy Mikovits (1 min. MP4 is attached) has revealed that the medical establishment has known all along about the...
Shetani Kwa asili yake siyo mbunifu hata kidogo, sisi ndiyo tunampa nguvu kwa kutengeneza mapepo wenyewe "inverting demons". Kipindi tunajitengenezea taswira na picha za uongo shetani hujificha...
Serikali ya nchi zilizoendelea zina mipango na miongozo maalumu kabisa ya kuwatambua na kuwatumia watu wao walio katika taasisi za juu za elimu.
Watu hawa ni ma Professa pamoja na wanafunzi wao...
Mwenye busara hutumia hekima kwanza kabla ya nguvu. Faida ya kutumia hekima kabla ya nguvu uwapa ufahamu wale wanaotakiwa nguvu itumike kwao ili wajielewe.
Na kujielewa ni jambo ambalo taifa...
HARD TALK:HADITHI YANGU.
''WENZETU WANATUTHAMINI SANA ''.
Na Andrew Nkumbi
MAFANIKIO YA MWAKA MMOJA TANGU KUJA KWA RAIS WA CHINA NCHINI TANZANIA.
Kwa mujibu wa Wizara ya mambo ya nje na...
What I'm about to say will be very unpopular among JF members especially those expecting change in this years elections. We have become like a young basketball player who is excited about the...
Wakuu habari
Kuna hii shida ya bidhaa kutoka nje kukosa maelezo ya mtumiaji kwa lugha ya kiswahili. Mi utakuta umenunua dawa lakini ina maelezo ya kiarabu, kifaransa kiingereza, kirusi nk lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.