Habari wana JF,
Kama tulivyoahidi tarehe 19/11/2012 katika Jukwaa la Siasa (katika thread hii), leo tumemkaribisha Mhe. Mbunge wa Kigoma Kaskazini kupitia CHADEMA, Zitto Zuberi Kabwe kama mgeni...
Habari za wakati huu mabibi na mabwana, waungwana wote kwa ujumla, wale tulio kwenye mfungo, hongereni kwa hilo na natanguliza kheri na salamu za sikukuu ya Idi.
Itakumbukwa kuwa Jumanne ya...
COVID-19 is historical in Tanzania: Why don't USA, UK, EU and others copy from TZ how to fight against Coronavirus?
Basically the title: Here in Tanzania, COVID-19 is spoken about by using...
Dr Kitila Mkumbo anakula matapishi yake
ACT kuvuruga juhudi za katiba ya Wananchi
CCM yapumua, ujio wa ACTkupunguza nguvu za upinzani
Wanajamvi,
Siku za karibuni chama kipya cha ACT(Alliance...
Wanajamvi
Uchaguzi wa US umekamilika jana baada ya D.J Trump kuwa Rais wa 45
Leo ilikuwa siku ya kwanza kamili ya Trump kama Rais wa US
Uzi utakuwa utaangalia serikali mpya na mwelekeo wa siasa...
MWANZO
HAPA KAZI, MATARAJIO NA MATUMAINI YA WANANCHI
DHANA YA 'MABADILIKO' DHIDI YA KIU YA WANANCHI
Awamu ya 5 na miezi 2. Ni muda mfupi kutathmini utendaji/ufanisi ikizingatiwa changamoto...
Sehemu ya I
MABADILIKO YA MWENENDO WA SIASA ZA NCHI
CCM WATUA, CDM/UKAWA WABEBA. LOWASSA 'FACTOR'
Mchakato wa wagombea Urais ndani ya CCM umebadili mwenendo wa siasa nchini
Kukatwa kwa jina la...
Uchaguzi Marekani
UCHAGUZI MKUU WA MAREKANI
Baada ya kumalizika chaguzi za ndani ya vyama, kilichopo ni uchaguzi mkuu wa Marekani
Wagombea ni Donald Trump wa Republican na Hillary Clinton wa...
YALIYOJADILIWA
CCM na waraka wa rasimu ya katiba #2 86Uzao wa mtoto familia ya Malkia #26
Lipumba akutana na rais JK #255
Uvamizi nyumbani kwa Mbowe #241
Kilichomsibu Morsi na somo kwa...
HISIA ZAJITOKEZA, UTAIFA WATAWALA ''WATANGANYIKA WAKITOA YA MOYONI HAPAKALIKI' WAZANZIBAR WATAWANYIKA, HAWANA KAULI, SASA NGUMI MKONONI
SEHEMU YA I
Ndugu wanaduru Bunge la katiba la CCM au...
Waungwana,
Ni nani na ni misingi gani ya utashi iliyojijenga kwenye akili za Julius Kambarage wa Nyerere kutuletea Ujamaa na Kujitegemea na hata Azimio la Arusha?
Wengi tunadhania kuwa ni...
ELECTION NIGHT IN AMERICA
Ref: Duru za siasa: Uchaguzi Mkuu USA
H.CLINTON (DEM) VS D.TRUMP (GOP)
Wanajamvi
Miaka , miezi, siku na ni masaa machache tu uchaguzi wa Marekani utakamilika...
Wanajamvi, uzi huu utakuwa endelevu ukizijadili siasa za Marekani kuelekea uchaguzi
Tumefanya hivyo chaguzi zilizopita na tunaendelea ingawa tumechelewa kidogo
Siasa za ndani ya nchi zimechukua...
MBINU ZIMEKWISHA, SASA NI UPOTOSHAJI
WALENGWA NI VIJANA NA WANANCHI WA KAWAIDA MITAANI NA VIJIJINI
Bunge la katiba linaendelea Dodoma kukiwa na msuguano mkubwa ndani ya CCM.
Nje ya CCM kuna...
Kuna baadhi ya watu ambao wanataka tuamini kuwa siku Tanzania ikichukuliwa na wapinzani basi matatizo yote ya Tanzania yatatoweka kama ukungu! Baadhi ya watu hawa, hawaishi kuonesha udhaifu wa...
CCM MAJI YA SHINGO,AIBU YATAWALA, BUNGE LAVUNJIKA KIAINA
WAGAWE UWATAWALE, MBINU INAYOPIKWA DHIDI YA UKAWA
UKAWA KUREJEA MAKOSA YA SIKU ZA NYUMA (JUISI NA CHAI IKULU)
Sehemu ya I
Ndugu wana...
Utangulizi
Serikali ya awamu ya Tano chini ya Rais J.P.Magufuli (CCM) imeanza kuwatumikia wananchi kwa kipindi cha (2015-2020) kwa mujibu wa katiba ya JMT(1977).
Vipaumbele vikuu vya serikali...
Well, heshima mbele sana JF,
- Ninaomba kusema tena na tena, we were Dead wrong na idea za Azimio La Arusha, infact ndilo limetufikisha hapa tulipo yaani tumekwama hili taifa, hatujui...
Nimeona ni vyema kuanzisha mada hii kwa ajili ya haya yaliyojiri bungeni kuhusu Afisa mtendaji mkuu wa TANROADS,Epharaim Mrema ilipostiwa mahali ambako nadhani isingepata attention inayostahili...
UTANGULIZI
Joto la uchaguzi 2015 linapanda kwa kasi.
Tofauti na nyuma,mwaka huu kutakuwa na mitazamo tofauti baina ya vyama na ndani ya vyama
CCM ikitaka kuendeleza utawala wa miaka 50...
MKAKATI WA MABADILIKO 2013
UTANGULIZI:
Taasisi tunayoizungumzia ilisajiliwa rasmi mwezi January 1993 na tokea wakati huo imeongozwa na wakuu wa taasisi wapatao wawili na aliyepo kwa sasa ni wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.