Habari wana JF,
Kama tulivyoahidi tarehe 19/11/2012 katika Jukwaa la Siasa (katika thread hii), leo tumemkaribisha Mhe. Mbunge wa Kigoma Kaskazini kupitia CHADEMA, Zitto Zuberi Kabwe kama mgeni...
Habari za wakati huu mabibi na mabwana, waungwana wote kwa ujumla, wale tulio kwenye mfungo, hongereni kwa hilo na natanguliza kheri na salamu za sikukuu ya Idi.
Itakumbukwa kuwa Jumanne ya...
Dr Kitila Mkumbo anakula matapishi yake
ACT kuvuruga juhudi za katiba ya Wananchi
CCM yapumua, ujio wa ACTkupunguza nguvu za upinzani
Wanajamvi,
Siku za karibuni chama kipya cha ACT(Alliance...
Wanajamvi
Uchaguzi wa US umekamilika jana baada ya D.J Trump kuwa Rais wa 45
Leo ilikuwa siku ya kwanza kamili ya Trump kama Rais wa US
Uzi utakuwa utaangalia serikali mpya na mwelekeo wa siasa...
Sehemu ya I
MABADILIKO YA MWENENDO WA SIASA ZA NCHI
CCM WATUA, CDM/UKAWA WABEBA. LOWASSA 'FACTOR'
Mchakato wa wagombea Urais ndani ya CCM umebadili mwenendo wa siasa nchini
Kukatwa kwa jina la...
Uchaguzi Marekani
UCHAGUZI MKUU WA MAREKANI
Baada ya kumalizika chaguzi za ndani ya vyama, kilichopo ni uchaguzi mkuu wa Marekani
Wagombea ni Donald Trump wa Republican na Hillary Clinton wa...
COVID-19 is historical in Tanzania: Why don't USA, UK, EU and others copy from TZ how to fight against Coronavirus?
Basically the title: Here in Tanzania, COVID-19 is spoken about by using...
Kuna baadhi ya watu ambao wanataka tuamini kuwa siku Tanzania ikichukuliwa na wapinzani basi matatizo yote ya Tanzania yatatoweka kama ukungu! Baadhi ya watu hawa, hawaishi kuonesha udhaifu wa...
MBINU ZIMEKWISHA, SASA NI UPOTOSHAJI
WALENGWA NI VIJANA NA WANANCHI WA KAWAIDA MITAANI NA VIJIJINI
Bunge la katiba linaendelea Dodoma kukiwa na msuguano mkubwa ndani ya CCM.
Nje ya CCM kuna...
ELECTION NIGHT IN AMERICA
Ref: Duru za siasa: Uchaguzi Mkuu USA
H.CLINTON (DEM) VS D.TRUMP (GOP)
Wanajamvi
Miaka , miezi, siku na ni masaa machache tu uchaguzi wa Marekani utakamilika...
Waungwana,
Ni nani na ni misingi gani ya utashi iliyojijenga kwenye akili za Julius Kambarage wa Nyerere kutuletea Ujamaa na Kujitegemea na hata Azimio la Arusha?
Wengi tunadhania kuwa ni...
Well, heshima mbele sana JF,
- Ninaomba kusema tena na tena, we were Dead wrong na idea za Azimio La Arusha, infact ndilo limetufikisha hapa tulipo yaani tumekwama hili taifa, hatujui...
MWANZO
HAPA KAZI, MATARAJIO NA MATUMAINI YA WANANCHI
DHANA YA 'MABADILIKO' DHIDI YA KIU YA WANANCHI
Awamu ya 5 na miezi 2. Ni muda mfupi kutathmini utendaji/ufanisi ikizingatiwa changamoto...
HISIA ZAJITOKEZA, UTAIFA WATAWALA ''WATANGANYIKA WAKITOA YA MOYONI HAPAKALIKI' WAZANZIBAR WATAWANYIKA, HAWANA KAULI, SASA NGUMI MKONONI
SEHEMU YA I
Ndugu wanaduru Bunge la katiba la CCM au...
YALIYOJADILIWA
CCM na waraka wa rasimu ya katiba #2 86Uzao wa mtoto familia ya Malkia #26
Lipumba akutana na rais JK #255
Uvamizi nyumbani kwa Mbowe #241
Kilichomsibu Morsi na somo kwa...
MKAKATI WA MABADILIKO 2013
UTANGULIZI:
Taasisi tunayoizungumzia ilisajiliwa rasmi mwezi January 1993 na tokea wakati huo imeongozwa na wakuu wa taasisi wapatao wawili na aliyepo kwa sasa ni wa...
CCM MAJI YA SHINGO,AIBU YATAWALA, BUNGE LAVUNJIKA KIAINA
WAGAWE UWATAWALE, MBINU INAYOPIKWA DHIDI YA UKAWA
UKAWA KUREJEA MAKOSA YA SIKU ZA NYUMA (JUISI NA CHAI IKULU)
Sehemu ya I
Ndugu wana...
DHANA YA 'DAMAGE CONTROL'
Kwa mara ya mwisho tuligusia namna ambayo siku 14 zilipita bila uongozi wa Chadema kutoa ufafanuzi , maelezo au majibu sakata la AR.
Siku 14 ni nyingi sana kuachia...
Nikirejea mahojino kati ya Rais Kikwete na mwandishi wa BBC majuzi kuhusiana nasuala la umeme, hisia kadhaa zinakuja akilini mwangu, masikitiko, kicheko na hasira!
Kama nilitarajia majibu yenye...
UTANGULIZI
Joto la uchaguzi 2015 linapanda kwa kasi.
Tofauti na nyuma,mwaka huu kutakuwa na mitazamo tofauti baina ya vyama na ndani ya vyama
CCM ikitaka kuendeleza utawala wa miaka 50...
Hakuna kitu sikipendi kama Unafiki na sintaweza kuvumilia hata ikiwa kipenzi changu ndiye mkisiwa..Mh.Zitto naomba sana maelezo yako... habari ndio hii:-
From foes to partners: Tales of Zitto...
Katika hiki Kitab Alf Layla wa Layla, napenda kutoa shukrani kwa Mwenyezi Mungu, Subhana Wataala kwa kutupa Jakaya Mirisho Kikwete kuwa Raisi wetu.
We need to thank God for so much blessings to...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.