Habari za wakati huu mabibi na mabwana, waungwana wote kwa ujumla, wale tulio kwenye mfungo, hongereni kwa hilo na natanguliza kheri na salamu za sikukuu ya Idi.
Itakumbukwa kuwa Jumanne ya...
Habari wana JF,
Kama tulivyoahidi tarehe 19/11/2012 katika Jukwaa la Siasa (katika thread hii), leo tumemkaribisha Mhe. Mbunge wa Kigoma Kaskazini kupitia CHADEMA, Zitto Zuberi Kabwe kama mgeni...
CCM kumbomoa Mbowe
Wadai watatumia mbinu iliyommaliza Sumaye
Na Mwandishi Wetu
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeanza mkakati wa siri wa kubomoa upinzani, na sasa imedhihirka kwamba mlengwa...
Kuna baadhi ya watu ambao wanataka tuamini kuwa siku Tanzania ikichukuliwa na wapinzani basi matatizo yote ya Tanzania yatatoweka kama ukungu! Baadhi ya watu hawa, hawaishi kuonesha udhaifu wa...
Kesho ndio lile sekeseke la kumpata Rais Bora wa Afrika, wastaafu, linaanza rasmi. Index inatangazwa kesho 25th Sept.
Habari nilizo nazo za ndani kabisa ni kuwa ushindani mkali upo kati ya Rais...
Buzwagi saga
Minister Karamagi makes confession
By Sunday Citizen Team
Minister for Energy and Minerals Nazir Karamagi has officially admitted that he deleted from the proposed Buzwagi...
Was Zitto wrong?
By Sunday Citizen Team
The Income Tax of 1973, which was amended in 2002, bears the controversial Clause that Minister for Energy and Minerals, Nazir Karamagi told the...
Siku ya kufa nyani miti yote huteleza. Sikuulewa kwa kina maana ya msemo huu wa wahenga kwa muda mrefu, kwani nilitatizwa na ukweli kuwa nyani ni mnyama aliyebobea katika sayansi na sanaa ya...
Our annual revenues out of mining sector (Diamond, Gold, Tanzanite, etc) which contibutes to national GDPis 1.9%!
This was declared recently to Taifa.
So I wonder when Ashanti, Barrick...
Yeah, hata mimi nina imani na kudumu kwa kijiwe hiki cha udaku na rumours. Lakini let us be honest with ourselves, this is just a frickin' message board let us not make it like some Lenin Square...
Baada ya kupitia kanuni za Bunge letu kama nilivyoambatanisha, mimi kama Mtanzania naomba kutoa tamko na ombi kwa Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa wawasilishe muswaada...
Pamoja na juhudi zetu kubwa za kuking'oa CCM, ukweli ni kuwa vyama vya Upinzani havijajiandaa vizuri kuliongoza Taifa letu.
Hili linatokana na ukweli kuwa havina watu wa kutosha ambao wanaweza...
Je Utabiri wa hali ya hewa ulipotamka mwaka 2002 kuwa kutakuwa na uhaba wa mvua, kwa nini Serikali ilipuuzia au ilifanya mambo yanayoonekana kana kwamba walipuuzia ushauri huo?
Wakati tunapata...
Naam, kila lisemwalo lahifadhiwa kwa kumbukumbu. Ikiwa mtazamo na msimamo wa Maalim Sefu ni kuvunja Muungano pindi akiwa Rais wa Zanzibar, je CUF ya Lipumba na haya ya Muafaka yana maana gani...
Baada ya kashfa ya Richmond tulishuhudia vitu kama Richmod Towers n.k, katika pitapita yangu huku na kuko nimekutana na JK Towers. Je, JK ina simama badala ya nini? Je, ina uhusiano wowote na Rais...
Katika vitu ambavyo bado naishangaa leo hii, ni Serikali yetu kuwa na Sheria ya Habari ambayo inalazimisha kuwepo kwa Waziri wa habari.
Nimejiuliza, kwa nini tunaendelea kuwa na Waziri Kamili...
Nimekaa chini na kujiuliza tena, ni jinsi gani kawaida yetu Watanzania kuangalia bajeti yetu kwa kuangalia kuongeza mishahara na kupanda bei kwa bidhaa. Lakini nafikiri mara nyingi huwa tunakaa...
How in the shag can a minister who is responsible for good governance and indirectly supervision of TISS utter such childish, nusery school responses?
How can our government be sound asleep when...
Wakati wa Azimio tulisema ili tuendelee tunahitaji Watu, Ardhi, Siasa Safi na Uongozi Bora.
Hali halisi ya sasa hivi ya Tanzania inatubidi turudi tena na kujiuliza ili tuende tunahitaji nini...
This article created a debate in one of forums in 2006. It is worthy to be added here at JF where we have two strong camps that have different perspective on whole Ujamaa and Ujamaa Vijijini...
Katika hiki Kitab Alf Layla wa Layla, napenda kutoa shukrani kwa Mwenyezi Mungu, Subhana Wataala kwa kutupa Jakaya Mirisho Kikwete kuwa Raisi wetu.
We need to thank God for so much blessings to...
Enough is enough! Kila siku unasikia vioja kila kona, Serikali kuu, Bungeni, mahakamani na mwishowe kwa jamii.
It's about time we find wabia, foreign investors to completely run our country. If...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.