Sababu Kuu ya Ziwa hili Kuwa na Ndege wengi sana Aina ya Flamingo ni Kwasababu Katika Ziwa hili Kunapatikana Bakteria Wengi sana Wanaozaliana na Hii ni Kutokana na Ziwa Hilo kuwa na Chumvi Nyingi...
Ziwe bongo flava, ziwe rnb, ziwe funk, ziwe rap, iwe rhumba, ziwe soul muhimu tu isiwe gospel au Kaswida.
1. Asante ya Sugu na Sele, kutoka kwenye album yake ya Muziki na Maisha. 'Chorus' yake...
leo nimesikiliza nyimbo ya young killer ft banana zoro --badilika.
Nimetokea kuipenda sauti ya banana zoro. Dah huyu mchizi anasauti si mchezo nashangaaa sikumjua siku zote hizo.
So ilikua...
1.Mtazamo- Afande ft Jay na Solo
2.Mzee wa Busara - Nature na Inspekta
3.Sikiliza - Jide, Fa na Ngwea
4.Jana na leo - Msodoki ft Stamina
5.Dhahabu - Dully ft Blue na Joseline
Wewe kama mdau...
Mashabiki wa sanaa nchini na Afrika Mashariki leo Jumamosi ya Desemba 10 watapata kujua wasanii wa muziki na filamu watakaoibuka washindi wa tuzo kubwa kuwahi kufanyika nchini na Afrika Mashariki...
Kama kichwa cha habari kinavyouliza nani kakopi mwingine?.
Mnijuze wakuu maana mie nipo huku kijijini KALINZI nimesikia zote zinapigwa muda huu kwenye redio mbao,Nikashindwa kujua ya nani...
Nautafuta wimbo mmoja wa enzi hizo amabo una lyrics hizi "Waniwekea fitina ninyang'anywe gari langu, Fitina mbaya, wivu ni mbaya, acha fitina weee jirani we acha'.
Hili goma lilikuwa ni kali lilipendwa sana kanda ya ziwa na kwingineko nilisikia kuna tajili mmoja wa Kenya aliwatafuta waimbaji wote waliopo hai na kuimba nyimbo zote upya na kuziweka on video...
Kichwa cha habari chajieleza jamani hii kitu niliiona muda sana natamani nirudie tena kuiona. Naomba mwenye nayo anisaidie au mnijulishe wapi naweza kuipakua. Nipo Dsm
Asanteni.
Habari wana JF,
Leo sijui imekuwaje nimekumbuka sana vitu ambavyo viliniliwaza miaka ya 80 -90+ hivi;
Kabla ya ujio wa Tido muhando na kuibadili RTD, TVT na kuwa TBC taifa,FM na TBC kulikuwa na...
Wadau mambo Vipi?
Nawasalimu wote na Poleni kwa Pilika za hapa na pale za kuusaka utamu wa Ugali na maisha Ahueni. Imekua kitambo sana tangu niondoke hapa Jf (Kiukweli nilipakumbuka Jf).
Leo...
Sabalakheri waungwana...
Kuna dogo mmoja kaimba kawimbo kanaitwa "Zilipendwa"
Waweza kukuta hata hawa hajawahi kuwasikia....
Wahenga: Mtambuzi KakaKiiza Kaizer, Bigirita Dark City mshana jr...
Hakuna shaka kuwa nyimbo nyingi za miaka ya 70 mpaka 80 mwishoni zinaradha ya kipekee na kusisumua kwa hali ya juu. Hii ni kutokana na ustadi mkubwa wa wanamuziki wetu wa kipindi kile.
Hiki ni...
Muziki wa zamani ulikuwa na burudani ya aina yake. Mbali ya utunzi mahiri na uimbaji hodari, nyimbo nyingi zilitungwa kuelezea visa na mikasa iliyowahi kuwakuta wasanii husika.
Kupitia uzi huu...
Naomba mwenye huu wimbo aniwekee.Ni wimbo wa Zilipendwa lakini jina lake silijui ila baadhi ya mashairi yake ni kama ifuatavyo;
Kumbuka matesi uliyonipa kulala njaa na watoto mateso yako siwezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.