Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

JF Prefixes:

A rhinestone-encrusted glove worn by Michael Jackson the first time he performed the Moonwalk has been sold at auction for $350,000 (£212,000). The glove, among 70 items belonging to the late...
0 Reactions
0 Replies
727 Views
Tazama huu wimbo ! Kisha comment kuhusiana na matumizi ya jukwaa kwa wasanii wa nje , ukilinganisha na wasanii wetu hapa nyumbani. Kwenye huu wimbo kuna mengi ya kujifunza kuhusiana na matumizi ya...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Ngoma gani ilikufanya useme Michael Jackson ni moja kati Msanii bora kuwahi kutokea. Mimi---Thriller🙌🙌🙌 Vipi kuhusu ww mdau. #forgive Me
6 Reactions
37 Replies
3K Views
Kupitia mahojiano na Jarida la Complex, mwigizaji Michael B. Jordan ameweka wazi kuwa nyota huyo mwenye asili ya Canada anapaswa kupewa heshima ya juu zaidi ya wakongwe wa #HipHop kama 2Pac na...
0 Reactions
2 Replies
896 Views
Enzi hizo ilikuwa ukienda Kinondoni kuanzia ijumaa hadi jumapili maeneo mengi yalikuwa yakitawaliwa na ngoma ya sindimba, ambayo inasemekana asili yake ni huko mkoani Mtwara na wenyeji wa ngoma...
0 Reactions
0 Replies
322 Views
Tarehe 29-03-2006 alifariki mwanamuziki mahiri wa dansi SHABANI KISHIWA ambae alijulikana kama TX MOSHI WILLIAM mwaka huu ikifika 29-03-2013, Marehemu TX MOSHI WILLIAM atatimiza miaka 7 tokea...
1 Reactions
6 Replies
4K Views
Leo ni miaka miwili tangu kutokea kwa kifo cha mmoja wa Wanamuziki bora zaidi kuwahi kutokea katika Bongo Fleva, Albert Mangwea. Mengi yamezungumzwa kuhusu kifo chake, na hakika ameacha pengo...
1 Reactions
14 Replies
5K Views
Nimekaa sehem napata flash back za congo. Nawasikiliza kabasele, mabelee, boziana, defao, wenge n.k. Ni nyimbo tamu sana ambazo ziko kwenye collection. Najiuliza, zile enzi zimeenda wapi? Sasa...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
"...ni wapi tuna kwenda?' Ni wapi tunakwenda? Shule namaliza nabaki najiuliza nitafanya kazi gani? kwenye kila kampuni kazi hazipatikani heri kwa watoto wa wakuu wanaopata kazi kupitia wazazi hii...
5 Reactions
11 Replies
2K Views
sisi ambao tumekuwepo miaka ya nyuma mika ile muzik wa zaile umetapakaa nchi na kwa ujumla bara zima la africa nadhan mnakumbuka kulivyokuwa na mpambano wa kukata na shoka kat ya kanda bongoman na...
3 Reactions
43 Replies
13K Views
From the balcony to the balcony..:)
0 Reactions
1 Replies
659 Views
1948-2008 2008 The Future:
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Mchekeshaji na mwigizaji nguli nchini, Amri Athumani maarufu King Majuto KWA UFUPI Majuto licha ya uigizaji ni askari aliyepitia mafunzo baada ya kujiunga na JKT mwaka 1967. Dar es Salaam...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
0 Reactions
1 Replies
625 Views
Moses Nakintije Ssekibogo, maarufu kama Mowzey Radio, alikuwa Mwanamuziki wa Kundi la GoodlyfeCrew, pamoja na Weasel Manizo, waliotamba na nyimbo nyingi ikiwemo Breadandbutter Mowzey Radio...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Miaka minne ya Daraja letu Ungana na Simon Mkina akikwambia na kukueleza nini maana alisi ya Daraja letu na wanafanya nini na wamefanyanini siku hii ya leo pale sabasaba blakukosa, bila kumsahau...
0 Reactions
0 Replies
907 Views
Dunia leo inaadhimisha miaka 19 toka gwiji wa HipHop Tupac Shakur alipopigwa risasi na Kufariki Dunia September 13 mwaka 1996. Mengi yamezungumzwa kuhusiana na kifo chake, na kuna wengine...
7 Reactions
146 Replies
17K Views
Mwaka 2006 tarehe kama ya leo ilikuwa ya majonzi saana kwa wanafamilia na wapenzi wa utamaduni wa hip-hop na mziki wake jijini arusha, Tanzania na dunia kwa ujumla. Father nelly au Nelson...
22 Reactions
142 Replies
30K Views
2008 to 2019 Asante mungu wangu kwa mafanikio ulio tupa familia yangu leo baba angu ni mwalimu mkuu mama anamiliki kituo cha kulea watoto a.k.a DAY CARE yani kwa life ya kiafrica sikuzan kama...
4 Reactions
68 Replies
5K Views
Back
Top Bottom