Wakuu mpaka muda huu kipindi cha shilawadu hakijaanza kuruka hewani.Badala yake kuna kipindi cha MUSIC MIX na muda unazidi kuyoyoma.Kuna tatizo gani? Tujuzane tufahamu ni nini kimesababisha...
Kichwa cha habari chajieleza
Leo kwenye whatsapp karibu magroup yote wameurusha wimbo mpya wa msanii wa bongo flava new wa mitego wa wapo akimtaja bashite ni jipu jipya kutoka koromije...
Kwa wadau wa mziki huyu Ney mnamchukuliaje? Sikiliza muziki wake mpya
Verse 1:
Unachokipanda leo ndicho
utachovuna kesho.
Imeandikwa Mwanaume kula kwa
jasho.
Najiuliza hivi ni nani kaiona...
There's a natural mystic
Blowing through the air
if you listen carefully now you will hear.
This could be the first trumpet
might as well be the last
Many more will have to suffer
many more will...
Salamu wana jamvi naomba kwa anae fahamu wasanii walio imba na jina LA Nyimbo original ambazo zpo kama remix kwenye
1.jemedari ya Nikki mbishi
2.marafiki wa uongo ya zaidi
Natanguliza shukran
Ni hivi katika pitapita zangu nikamkuta ndugu yetu wa kutuinspire kupambana bwana fursa mtu mzima Harmorapa katupia dubwasha moja youtube la ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la Shilingi...
MASHAIRI YAKO HIVI........(Unaweza kurekebisha though)........
Wanasiasa Bungeni wengine ni……yooh….yooh! tu
Haters wakikosa cha kuongea nao ni……. yooh….yooh! tu
Mwalimu wa madada zenu naye ana……...
wadau karibuni katika uzi wangu huu,
mimi ni mtunzi wa simulizi ninayemiliki blogi ya nasmgambo.blogspot. com
nawakaribisheni katika uzi huu kupata uhondo wa mastori yangu.
ambayo huwa...
Nimekumbuka baada ya kusiliza nyimbo mbili alizoimbaga zamani kidogo
..Kuna wimbo aliimba unaitwa ..Ndio Mzee..
Na ule sio mzee...nimezikumbuka sana naomba wadau msikilize hizo nyimbo ..nataka...
Habari zenu wakuu. Poleni sana na siasa za gonga kichwa za nchi hii.
Baada ya kumaliza simulizi yetu ile tamu ya BARADHULI MWENYE MIKONO YA CHUMA, sasa basi nawakaribisha kwenye kigongo kingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.