Habari wanajambo, mimi ni mpenzi kiasi wa kuangalia movie lakini kutokana na majukumu ya hapa na pale sikuwa na muda wa kuangalia.
Kipindi hiki ni cha kukaa nyumbani kutokana na hali halisi ya...
Ndugu wadau wa jf wimbo wa "the freedom is coming tommorow" nimetokea kuupenda kwa mara ya kwanza nilipobahatika kuingalia filam ya sarafina. Mwanadada sarafina namkumba sana na hata kifochake...
Mimi huwa nasikiliza miziki ya Kicongo lakini sio mjuvi sana wa kudadavua mziki huo.
Sasa nimekuwa nikipata mkanganyiko kuhusu Wenge BCBG na Wenge Musica.
Naombeni mnijuze, haya makundi yana...
Wakuu wa JF, nina swali na naomba niliwasilishe kwenu.
Kila wakati nikicheki majukwaa makubwa ya burudani husasani ya muziki huwa kuna ule moshi unapitapita sa nauliza uwa una maana gani?
"swali...
Habari zenu wote
Kwa ufahamu wangu naelewa "music director"(sina kiswahili chake) anadeal na muziki lakini bado nataka kujua zaidi ;
Ni nani?
Majukumu yake ni yapi?
Kuna umuhimu wa kuwa na...
“Nina Idea kadhaa nilikua nataka nziipeleke kwenye vituo vya TV, Naomba kujuzwa mambo haya..
-Nifanyeje ili niwafikie wahusika wanaohusika na kupokea Ideas(labda content managers, production...
Naomba kufahamu wimbo unaohit kwa sasa wa Chibu Dangote.
Sababu za kuuliza swali langu ni huu mfululizo anaoufanya kuachia nyimbo kama fungu la.mchicha.
Itakuwa vyema kuwa na chati ya TopHit kwa...
Habari za wikiendi wanaforum.
Kwa wenzangu tunaopenda kwenye kurelax night club wikiendi.Naomba kufahamishwa nightclub zenye strippers ( Hottest sex dancing babies kwenye box).
Please let me...
Wakuu,
Ni muda mrefu sasa nimekuwa nikisikia hii show maarufu ya Big Brother, inayowachukua watu tofauti tofauti kutoka nchi za Afrika kuingia katika mjengo mmoja na mwisho wa siku mtu kuibuka na...
Tafadhalini sana wakongwe kuna wimbo uliimbwa sikumbuki kama msondo ngoma au band gani ila KIITIKIO jamaa kwa sauti kali yenye kipaji cha hali ya juu aliimba
"Hili ndilo fundisho kwa wengine...
Kuna maswali najiuliza kwenye hii professional wrestling ambayo wanasema sio ya kweli bali ni show kwa ajili ya entertainment hivi wa nafanya katika haya:
-zile ngumi, mateka vinavyopigwa...
Hivi karibuni kumekuwa na mambo yanayonipa shida kidogo. Utakuta bendi ya muziki inatangaza kuwa itapiga shoo mahali fulani na shoo hiyo itakuwa mpaka majogoo (karibu na asubuhi). Cha kushangaza...
Wakuu hope mko poa.
Mimi ni mfuatiliaji kiasi wa movies za wenzetu hasa Hollywood & the like. Kinachonishangaza ni kuhusu budget zao, how comes mtu ana Invest up to $1.2 billions then faida...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.