Duniani kuna kazi nyingi sana za mziki ambazo kutokana na culture barriers au kukosa promotion zinashindwa kutoboa but ndio nature ya muziki. Muziki mzuri huwa unakosa promo hivyo kufa kibudu na...
The Muzikifan "Congo in Kenya" page, with the help of a community of friends and contributors, has grown into a valuable resource for fans of East African music. Therefore I have decided to expand...
Kama kweli unakipaji basi usikate tamaa jitahidi tu utafika mbali,hebu angalia huyu kijana alikotokea mpaka leo hapo alipofika.
Nakumbuka hata wakina Jot na Mpoki walikotoka wakati ule...
Kuna ile Christmas Carol ikipigwa RTD zama zile mwenye kuwa nayo jamani.
Iyooo Christmas iyo iyoyoyo iyo!one,two three four!
Happy Christmas iyoooyoo
Happy new year iyoooyoo
Nimesikia BASATA wanaandaa orodha ya nyimbo zingine ambazo zitafungiwa kuonyeshwa kwenye vyombo vya habari.
Naomba kuwaonya kua mkifungia huu wimbo nawaburuza mahakamani. Nimewasiliana na...
“I want him dead,” (ninataka afe mara moja)
“Okey! Sir! Do you want us to kill his family too?” (Sawa! Mkuu! Unataka tuimalize na familia yake pia?)
“Yes! Just kill them all,” (ndiyo! Waue wote)...
Its true kwamba Alama ya rapa mzuri ni uwezo wa kughani mashairi ya kupendeza..,lakini Alama ya Rapa mkali ni uwasilishaji wake wa visa,matukio,adithi,katika njia ya kupendeza na kumvutia...
MAMA VANESSA
SEHEMU YA KWANZA
Muda ulikuwa umeenda sana macho ya Lucas Manyama yalianza kujifumba yenyewe ishara kuwa mwili wake ulikuwa umechoka na ulihitaji kupumzika. Saa yake ya ukutani...
Kutokana na hali ngumu sasa kuzidi hapa nchini Tanzania Watu wengine wenye Vipaji vingi kikiwemo cha Kuimba tumeona sasa tutumie ' Talanta ' zetu katika Kupambana na Ukazaji wa Vyuma kwa kuamua...
Unapenda wimbo gani? Karibu tushare na kuburudika pamoja.
NB: Wimbo wowote uupendao iwe Gospel, Hip-hop, Rnb, Trap songs, Slow jam, Jazz, Bongo fleva etc etc.
KARIBUNI[emoji4]
jakitoo
2018 Swahili Movie Latest African Tanzanian Full English Movies
MACHO MEKUNDU - Hii ni movie ya kiswahili inayoelezea maisha ya kijiji kimoja kilichotawaliwa na imani za kishirikina...
Wadau natafuta sana huu wimbo wa Viumbe wazito uliopigwa na East African Melody na kuimbwa na Mwanahawa Ali
youtube upo kipande haujaisha
tafadhali naomba link au upload hapa
thanks in advance
Mwokozi umeokoa………………… 1
Twamsifu Mungu………………… 2
Hata ndimi elfu………………… 3
Jina la Yesu, salamu!………………… 4
Jina lake Yesu tamu………………… 5
Baba, Mwana, Roho………………… 6
Ni tabibu wa karibu………………… 7
Taji...
SURA YA KWANZA:
Ray Shaba alikuwa kwenye kikao ambacho mjumbe wake alikuwa ni yeye peke yake. Mikono yake ikiendelea kurusha ngumi kwenye begi la mchanga lililokuwa linaning’inia kwenye...
NDOA YANGU
EPISODE -01
Baada ya kufuta meza ya chakula na kuosha vyombo, nilienda chumbani, sikujisumbua kusema usiku mwema kwa Antony ambae alikuwa sebuleni akiangalia fainali ya ligi ya mpira...
Wadau poleni kwa uchovu wa siku nzima me shida yangu kama kuna mtu anao wimbo wa dogo mmoja hivi simjui ameimba ivi"narudi nyumbani kuenyoj ,kuenyoj madikodiko naenyoma mamaaa,naenyoj...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.