MAPACHA WANAOFANANA
Kutana na mapacha Rukia na Rukaiya ambao tabia zao zinafanana, maumbo na sura kiasi kwamba mmoja kati yao anachumbiwa na kupata ugonjwa ghafla hivyo anakaa kwa muda mrefu kwa...
Tujikumbushe kidogo zile harakati za PIMBI na madem ambazo hajawahi kufanikiwa hata siku moja
Siku moja kachukua wanawake wawili (mijimama) akaenda kawapiga pombe vibaya sana na yeye piga pombe...
Kwema wadau?
Tuweke mambo mengine kando embu tuiangalie kama Tha carter V itamrudisha huyu jamaa level zile tena maana vijana wamekuwa moto sana
Japo namatumaini na ichi kichwa maana kuna track...
PENZI LA SHEMEJI
sehem ya 1
" Naomba umsindikize shemeji yako tafadhali Jun"
alinambia kaka
" Haina tatizo kaka" nikamjibu kaka
Niliingia chumbani na kuwaza sana namna nitakavyofanya
ili...
Habari wakuu!
Kwanza napenda Ku declare interest kwamba Mimi ni mlevi wa mziki mzuri wa bongo fleva na soka la ulaya tu.
Wafuatao ni maproducer wangu watano bora ambao haipiti siku sijasikia...
Diamond Platinum ameshinda tuzo moja ya best collaboration of year ambayo ni African beauty aliyoshirikiana na Omarion ..Ni Jambo zuri angalau tumesikika na sisi huko Dallas marekani.
Umofia kwenu wakuu.
Nipo hapa kusaka maarifa juu ya masuala ya music system,nimejaribu kuchimbua kila kona ili niwe na uelewa clear kabisa lakini nilichoambulia sijaridhika nacho nikaona nibishe...
Wadau nadhani kila mtu anazifaham hizi hadithi za abunuasi, leo hii nimeleta hii maada ili mnisaidie maana ya neno ambalo mheshimiwa alitamka siku zilizopita. Alisema halafu mtu atuletee afu ulela...
She calls me sweetie,I call her pretty girl
She calls me sweetie We gonna run this city!!We run this town!town!town!
We gonna run this city!!
Kafiga kananiita Nasikia raha kukashika
Usishoboke na...
Major Lazer wameachia wimbo mpya, ‘Loyal’ waliomshirikisha staa wa Jamaica, Kranium pamoja na hitmaker wa Nigeria, Kizz Daniel, Jumatano hii. Wimbo huu umekuja na video yake, ya nne katika...
Hizi nyimbo zinatoka mie ndo nilikuwa mgeni mgeni kwenye ajira. Mambo ya boyfriend girlfriend zone ndo yalikuwa yanabamba.
Siku ya siku nikamwambia I CAN MAKE YOU FEEL UNPRETTY TOO.... goosh he...
Mimi nilikuwa mpenzi sana wa miereka ya WWE lakini baada ya kuanza kuleta drama zao na maigizo kuanzia mwaka 2011 nikaacha kuifuatilia sababu ya maigizo kuwa mengi. WWE huwa hakuna mshindi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.