Jamaa kasema na hapa namnukuu "...boycott CLOUDS FM...boycott AIRTEL na huduma zao zote kama AIRTEL-MONEY kwa sababu watumishi wake kama Twisa wanashirikiana kwa hila na wanyonyaji hawa wa...
Mbunge ajaye wa Mbeya Mjini, Mfanyabiashara na Mwekezaji wa Nchi mbalimbali (kimataifa) , Bilionea Joseph Mbilinyi, leo ameshiriki ibada Maalum ya kuchangia Ujenzi wa Kanisa katika Parokia ya...
Salama!
Awali ya yote na declare interest kuwa hakika uyu Jamaa mimi binafsi namuona ni mfano bora. Ni bora hasa kwa kaya nyingi sana za kiTanzania,ambazo ni watafutaji wao sio waliokuta mali au...
Joseph Haule (born December 29, 1975), popularly known by his stage name Professor Jay, is a Tanzanian rapper, songwriter, politician and former member of the Tanzanian parliament for Mikumi...
Amesikika Mkurugenzi wa Clouds Media Group, ndugu Joseph Kusaga katika kipindi cha Leo Tena ninamnukuu "Clouds watangazaji hawaondoki kwa taarifa tu, Zamaradi atarejea kuanzia wiki ijayo "...
Joseph Kusaga: ukiona redio yoyote ya vijana mimi nimo kwa namna moja ama nyingine, aitaja pia jembe ni jembe ya Mwanza.
Nadhani Joseph Kusaga amefunga mjadala wa kipumbavu.
MKURUGENZI Mtendaji...
Mkurugenzi wa CMG Joseph Kusaga amesema yeye siyo mmiliki wala mwanzilishi wa Wasafi media.
Amezungumza hayo leo akihojiwa na XXL. Kauli hiyo imekuja kutokana na pongezi ya Adam Mchomvu nanukuu...
kesho asubuhi katika kipindi cha break fast Joseph Kusaga atakuwepo akijibu hoja na kwa wenye maswali ya aina yeyote ametoa namba ya simu 0786863716 hii ni kwa sms pamoja na e mail...
Mkurugenzi mtendaji wa Clouds Media bwana Joseph Kusaga kasema yeye ndo kawezesha vijana wengi wawe hapo walipo, so kashauli tuache malumbano tuchape kazi. amesema hayo katika pongezi za miaka 50...
Umofia Kwenu,
Wadau kuna habari Le grande mupao suvereee mwonkozi Joseph Kusaga amehamia Abu Dhabi kwenye makazi mapya,anataka kufungua radio station huko huko na kupeleka king'amuzi chake!
Big...
Nilibahatika kuusikia wimbo wa Joseline redioni jana. Japo ulikua unaishia ishia.
Bila shaka ni wimbo mpya. Jamaa hakika anajua na amerudi kikweli kweli, ni bonge la pini la RnB.
Bahati mbaya...
Mambo vipi?
Mara ya mwisho kupata taarifa za huyu Rapper ni kuwa alikuwa mgonjwa. Sijapata taarifa tena juu ya hali yake.
Mlioko Kigambonino mtupe taarifa.
Ni muda ss nimekuwa nikiwasikia hawa mtu na boss wake wakitangaza ktk kituo cha clouds fm. Je walisomea utangazaji au ni vipaji vyao tu, na ilikuwaje mpk wakaanza kutangaza hapo?
Huyu mwamba nilikuwa nafatilia sana baadhi ya majarida yakimtaja ndiye mtu tajiri barani Afrika, amewahi kuwa Rais wa Angola kwa muda mrefu sana. Mara tu baada ya kustaafu alianza kuumwa na hivi...
Msanii kutoka Uganda, Jose Chamelleone.
Msanii Jose Chameleone wa Uganda amekanusha habari zilizoandikwa mitandaoni kuwa amemuomba Diamond Platnumz kufanya collabo.
" Siko katika level ya kuomba...
Msanii na mkongwe wa muziki kutoka nchini Uganda 🇺🇬 @jchameleon ameeleza sababu za kutoka Uganda na kuja Tanzania kwa ajili ya kutoa pole na kumuaga hayati Rais Magufuli.
Akiongea na kituo cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.