Sudi Brown, umbea unaoufanya kamwe usidhani unakujengea heshima. Unavyowaumbua watu kwa kuingilia mambo yao ya ndani usidhani ni jambo jema.
Time will come, utazaa, watoto wako sijui watakuwa...
Wakongwe
1. P-Funk Majani
2.Master Jay
3. Mika Mwamba
4.Complex (R.I.P)
5.Prof Ludigo
6...
7...
Wanaotamba kwa sasa
1. Marco Chali
2. Lamar
3. Hermy B
4. Man Walter
5. Q
6...
7...
Jana nilikua naangalia video fulani hivi za kina Chege na Temba ambazo kwa mtazamo wangu mdogo naona nyota ii upande wao!
Ghagla nikajikuta namkumbuka na sir nature enzi hizoo za TMK family...
Ni kwanini wasanii wakubwa kama Joh Makini, Nick ii, Lord Eyes, Ibrah da Hustler, G Nako, WCB, Dogo Janja n. k wote wanatokea Arusha na wanaimba mziki unaofanana.
Kwanini Arusha isiwe na waimba...
Habari ndugu;
Straight to the topic. Katika wake wa marais niliobahatika kuwaona hapa Tanzania. ..... first lady wa sasa...yaani mama Salma Kikwete kweli anajua kuvaa compared na hao waliopita...
Habari zenu wana jamvi? Ni miaka minne sasa tangu kuondokewa kwa nguli wra filamu Tanzania ndugu Steven Kanumba, lakini katika tasnia hii tangu kuondoka kwake sijaona maendeleo yoyote kwenye...
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza hapo juu nikiwa katika shuguli zangu hapa mkoani rukwa wilaya ya sumbawanga nakutana na hii stori kwamba huyu gwiji wafiramu Tanzania marehemu stivin kanumba...
Nipo Tabora, nasumbuka muda mrefu sana na madonda ya tumbo, nimekunywa dawa kila kona herbal Clinic mpaka hospital lakini sijapata nafuu.
Ombi langu naomba mnisaidie alie na namba ya Millard Ayo...
DIAMOND - PESA, TUZO, MASHABIKI WENGI NA STAGE PERFOMANCE:
halina ubishi hili hapa ni diamond platnumz, king of african pop ukipenda mwite simba, hakuna msanii anayeimba na kuvuta mkwanja mrefu...
kuanzia miaka ya 2010 bongo muvi imezidi kupoteza mvuto kwa kasi ya ajabu...hii ni kutokana na ubora mbovu wa kazi zao...lakini kwa kipindi chote hiki media mbalimbali zimekuwa zikiwabeba...
Haya ni maneno ya binti aliyelala NA Usain Bolt Jady Duarte mrembo wa Kibrazili.....
He played Rihanna Song Work.I Think He Likes To Listen To it When He Makes Love...
He Has The Body Of...
Lina sanga ameanza safari yake ya muziki na kutambulika Tanzania tangu mwaka 2010 mwezi august alipotoa wimbo wake wa kwanza “Atatamani” na ulimfanya apendwe mithili ya twiga mwenye maringo na...
Malkia wa filamu Wema Sepetu amelikimbia jiji la Dar es salaam na kuamua kuanzisha makazi mapya mkoani Arusha kama alivyodai yeye mwenyewe.
Mwigizaji huyo ambaye kwa sasa yupo mkoani Arusha...
yupo jijini Los Angeles, Marekani ambako tayari ameshoot video ya wimbo Marry You aliomshirikisha Ne-Yo, amekutana na mmoja wa mastaa maarufu sana Marekani. Amekutana na mchekeshaji na muigizaji...
Huyu bwana mdogo ni msanii mkubwa kabisa kibongo bongo na kiafrika but kitu kimoja tu ananiacha hoi ni vile kupenda kupiga picha na mastar wa mbele. Sijui anaonaga sifa?
Mimi kwangu naona kama...
Huwa napenda sana kuangalia kipindi cha FNL pale EATV ..but huwa nakereka sana na makele anayopiga huyu dj wanamuita dj OMMY CRAZY.bqdala ya kuacha watu wasikikize wimbo ..yeye kutwa anapiga...
Watalamu wa lugha na imani mtakuwa pamoja na miye
Jambo ambalo shilole analifanya kwa sasa inaonekana kama utani ila kwa mtu anayejifunza kingereza au aliyejifunza kingereza anaweza kuwa shahidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.