Diamond amefunguka kuhusu jitihada zilizowahi kufanywa ili kumaliza bifu lake na Ommy Dimpoz. Ni muda mrefu wawili hao wamekuwa hawaelewani japo hakuna aliyewahi kuweka wazi chanzo cha ugomvi huo...
Diamond amefunguka kuhusu jitihada zilizowahi kufanywa ili kumaliza bifu lake na Ommy Dimpoz. Ni muda mrefu wawili hao wamekuwa hawaelewani japo hakuna aliyewahi kuweka wazi chanzo cha ugomvi huo...
Kwa akili ya kawaida ni wajinga tu wanaweza kuamini diamond ananunua views youtube
Twende na facts kuujua ukweli
>Diamond ana followers milioni 3 instagram ,
Youtube ana subscibers 422,320...
Waungwana Salaam,
Miezi kadhaa Ney wa Mitego alitoa nyimbo yake iitwayo "SHIKA ADABU YAKO" huku akiwachana baadhi ya Wasanii na watu maarufu humu nchini.
Baadhi ya watu waliochanwa na Ney wa...
Nimeangalia kipindi cha harakati cha kala pina kinachorushwa na television ya kilauzi (japo siipendi), nimekuta waungwana wanaangalia mahali nikajikuta na mm nimekodolea macho.
Alikuwa anamhoji...
Msanii diamond platnumz na lebal yake ya WCB wamelipwa dola milioni 1 sawa na Tsh.bilioni 2 na campany ya Universal Music Group ili kusambaza nyimbo zao kote duniani kote.
Diamond asema ndo...
Hivi haka ka jamaa mbona kaswahili sana,,Au hapo alipofika kimafanikio bado tu aamini. Anaongea pumba tu cloudz FM anatoa povu povu tu.
Et Tuanze show mkali nani ....mi najua we Alikiba haumuwezi...
kokoro vs kajiandae
piga kura ipi kali
.........................#KOKORO BY RICH MAVOUK FT DIAMOND PLATNUMZ............
........KAJIANDAE BY OMMY DIMPOZ FT ALI KIBA.......
Mambo,
Hapa katikati kumeibuka tuzo nyingi tu kwa wasanii wetu wa nyumbani kwa mfano InstAwards, sasa hawa wasaniii wamekuwa wakiomba kura kila siku wamesahau kuwa kazi nzuri ndo inafanya upigiwe...
Diamond kwa kwel umenisikitisha sana..alipokuja Neyo na ikasemekana kwamba mtatoa ngoma pamoja nilijua sasa kijana anaanza kuchomoza na kupasua anga kwa kasi..nikawa na hamu sana ya kuisikia ngoma...
Hebu wazee wa mujini warumi mnidadavulie huu ukaribu wa msanii Ommy Dimpoz na Boss mkuu wa GSM ni biashara ipi anayomtangazia....au kuna single inakuja tujiandae?
Mzee wa Shilawadu niPM basi...
haina haja ya mond kumjibu vile oomy coz mond naye ni kama ommy ila mondi ni mwiba yaan anafanya both..................................................................................means anaimba...
Baada ya rich mavoko kuachia wimbo aliomshirikisha diamond ,
Msanii alie karibu na alikiba ommy dimpoz amaamua kurusha dongo kwa WCB huku akiamini WCB wananunua viewers
Hata hivyo kama mnavyojua...
Habari zenu wakuu.
Kwa jinsi upepo unavyovuma sina budi kusema kwamba huyu kijanaa mwenzetu kutoka tandale anaelekea kuanguakia pua kama ilivyotokea kwa msanii mwenzake Mr nice( Lucas...
Jioni ya jumanne imetoka video mpya ya msanii mwingine wa WCB RICH MAVOKO akiwa amemshirikisha bosi wake Diamond Platinumz unaofahamika jina la KOKORO kimsingi mimi #kijanamzalendo sijaelewa Audio...
Kutoka ndani ya XXL leo November 22, 2016 U Heard imekuja na stori kuhusu picha inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii ikiwaonesha watoto wa mastaa wa Bongo Flava, Diamond Platnumz na Alikiba huku...
Diamond Platnumz ni mmoja wa wasanii wakubwa barani Afrika kwa sasa. Siku za hivi karibuni alipata nafasi ya kushiriki tamasha la muziki la Coke Studio Afrika kusini ambapo alitengeneza wimbo...
Niliposkia verse ya kwanza niliamini Ni ujio wa nyimbo ya taifa..
Dah,verse ya kwanza n balaa,huku pengine sijui wameimba nn Tu...
Nimependa menlod na lyrics za kwny verse iyo tu..
Nifundshen...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.