Aliyekuwa mke wa Manara inadaiwa alimuibia semaji la wananchi dola za kimarekani elfu kumi na saba karibu million arobaini hivi za kitanzania na kumpa bwana wake wa Kinigeria.
Inadaiwa huo...
Kumekuwa na makundi mengi kama Tmk wanaume, wakali kwanza, solid ground, gangwe mob, watu pori, n.k. lakini wasanii wengi waa hayo mkundi wameyumba kiuchumi hasa baada ya kuacha muziki.
Hii ni...
Wakuu mambo zenu.
Jana ili kuwa weekend inaisha napenda sana kuangaliaga filamu home au series ila sana sio za kwetu.
Ila jana nilibahatika kuangalia filamu zetu dah nikaona nisikae kimya niseme...
Habari za kushinda wakuu.
Uzi huu nataka tujuzane je, ni mkoa gani wenye wasanii wengi hapa Tanzania? Hapa naongelea wasanii wote kuanzia waigizaji, waimbaji na wachekeshaji. Je, itakuwa mkoa...
The sex Ring, how Janet Museveni infected Museveni with HIV/AIDS
Around 1988 or 1989, Janet Museveni got the shock of her life when she tested positive for HIV, which she got from her husband. In...
Kwenye nchi za Ulaya na Marekani ni ufahari mtu kununua kitu chochote kile kilichotumiwa au kumilikiwa na mtu maarufu ama mashuhuri kwa bei kubwa sana na kuhifadhi kwenye majumba yao.
Lakini ni...
Kwa kutambua thamani yake serikali ya afrika ya kusini kupitia kitengo cha utalii kimempatia kandarasi nono msanii diamond kutangaza maeneo yao ya utalii hayo diamond alifunguka baada ya shabiki...
Prodyuza wa muziki,ambaye pia ndio C.E.O wa studio za B-Hitz,Hermy B achukizwa na Joh Makini,atoa tamko lake kwenye ukurasa wake wa SuraKitabu(Facebook)..
"Joh Makini You Have Officially Pissed...
Katika pitapita zangu huko mjengoni insta nkaona habari inatrend sana ya mlimbwende Hamisa Mobeto kutumbuiza Ikulu hadi mkulu kumsifia "kusifiwa na mkulu si mchezo" alisikika mtu mmoja akisema...
Wakuu nipo Mombasa kikazi Sasa nyumba ya mwenyeji wangu niliyefikia n MZANZIBAR kwakuzaliwa ila n raia wa Kenya
Sikujua Kama mwenyeji wangu anaundugu wa karibu na bi Khadija kopa narud kwa...
Wakati watu wanasubiria msanii anaefatia kutambulishwa WCB ni Hanstone yule wa kwenye Iokote.
Muda sio mrefu ameachia EP yake bila kuwa chini ya management ya WCB Wasafi.
Maswali yamekuwa ni...
Msanii wa filamu tanzania (BONGO MOVIE), Munalove rafiki wa zamani wa wemasepetu, amesema kuwa anaumia sana kuwa na tattoo mwilini mwake zimekuwa maumivu makubwa sana na kupelekea kutokuelewana...
Aliekuwa mpiga picha mkuu wa Diamond kwa zaidi ya miaka 5 na baadae kutangaza kuacha kazi kwa staa huyo mkubwa wa Bongo Fleva (wengi wanadai alifukuzwa kwa kumshauri boss wake kuhusu zari)Hatimae...
Hii Bongo Movies siku hizi imekuwa kama laana kwa kizazi cha siku hizi nchini Tanzania. Ni jambo la kusikitisha kuwa kila siku kila wakati utasikia mwigizaji huyu ama yule amepiga picha za ufuska...
SAM LOCE EFE (1945 - 2011)
Actor na Comedian maarufu toka Nollywood nchini Nigeria,Sam Loco Efe,amefariki dunia....
Mzee Sam alikua na miaka 66,alifariki dunia akiwa chumbani kwenye...
Wakuu takashi amevunja rekodi iliyowekwa na rapa Eminem kwenye wimbo wake Kill Shot
NB:Nimefuhia ujio wa rainbow boy,na namuombea wabaya wake washindwe.
You Mad Coz Am Back...
Kaeleza hayo akihojiwa na mwanahabari wa ESPN, ndio maana akaamua kuwa the toughest in the world/ alifanya siri akihofia watu kum-judge. Baba huyo wa watoto 8 anasema it made him no less of a man...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.