Yaani kwa leo video za ukweli hata audio anazoachia PHD kamwacha mbali,kuna watu walikuja kumfananisha humu mwaka uliopita,ila kwa sasa TID kafunikwa balaa.
sina upendeleo
Staa wa Bongo Fleva, Msami Baby, anayetamba na kibao chake kipya cha So Fine, alichomshirikisha rapa machachari, Chemical amefungukia taarifa zinazosambaa mitandaoni kuwa, Irene Uwoya...
Jamani ndugu zangu natamani kujua msanii marioo Ana umri gani maana Wikipedia hawajaandika kazaliwa mwaka gani...Kuna jamaa tunabishana naye anadai marioo Ana miaka 23 au 22 au 21..me nakataa...
Heshima zenu wadau wa Jf, niseme ukweli mm ni mmoja wa watu ambao tulikuwa tunabeza sana kitabu cha My American Experience kilichoandaliwa na kuandikwa na William Malecela.
Nilipata uthubutu wa...
It's hard to find a genuine friend in Hollywood. But there was no doubting the close relationship between Samuel L Jackson and Magic Johnson as they enjoyed a well earned vacation in Italy on...
Sio mpenzi sana wa mitandao ya kijamii lakini leo nimeamuwa kupita uko instagram kujionea nini kinaendelea kati ya SEDUCE ME ya kiba na ZILIPENDWA ya wcb, cha kustaajabu mpaka sasa tangu nyimbo...
Wimbo wa 'no woman no cry' wa hayati Bob Marley
Leo nilimtembelea rafiki yangu katika story huku tunakula muziki mzuri wa Bob Marley
Ghafla kikaja kibao matata cha no woman no cry akaniuliza...
Gazeti maarufu la nchini Kenya,
Daily Nation limetoa orodha ya
wasanii watano wa Bongo Flava
matajiri zaidi nchini. Hivi ndivyo
lilivyofanya uchambuzi huo.
NASEEB ABDUL (DIAMOND)
He stayed...
Najuwa wapo watu watakuja kunishambulia lakini Mimi kama nasimama kwenye ukweli huwa siogopi kushambuliwa hata kwa risasi.
Wote tunajuwa matumizi ya perfyumu na sidhani kama huwa kuna perfume...
Usishangae kukuta mtu kama wiz khalifa, snoop dogg, akina lil Wayne ma king katika kupuliza weed aka moshi au jani kitu cha AR wapo ktk kiti cha enzi mbinguni huku watu wema na walokole...
Mzee Abdul Juma amemtaka Diamond Platnumz abadili jina aache kutumia jina la Abdul Juma badala yake atumie jina la anayedaiwa kuwa baba yake yaani Nyange Salum.
Utaratibu wa kubadili jina upo...
Back in the day, The "New York king" Notorious Big, said some disrespekful about Bay-area's Emperor, E-40. Apparently, Big had an interview with this magazine, where he was asked to rate...
Michael Jackson mfalme wa muziki wa pop duniani, huyu mwamba kipindi cha uhai wake alisumbua sana duniani.
Baada ya kifo chake, huyu mwamba imekuwa rahisi sana kusahaulika, tofauti na mastaa...
Hii binafsi nimeitafsiri kama dharau.
Haiwezekani album yenye nyimbo 16. Usishirikishe hata msanii mmoja wa kibongo kwenye album. Album imejaa wa Nigeria, Wakenya, wa Ghana na wa South. Ndio...
Kwanza nianze kwa kusema kuwa Mimi si Fani wa DIAMOND Isipokua napenda Muziki Mzuri anaofanya, Pamoja na Jitihada, Bidii na Discipline aliyonayo katika kufanya kazi zake. Sitaki kuingia kwenye...
Cheryl Cole jets off on secret 'romantic holiday' with Derek Hough
Derek Hough is said to have surprised Cheryl Cole by whisking her off to Tanzania for a dream romantic holiday.
Cheryl Cole...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.