Zuchu anaenda kuachia project mpya ya 4-4-2.
Kama kawaida queen huyu wa bongofleva na msanii namba moja wa kike Africa mashariki na kati anaenda kuandika rekodi mpya kama kawaida yake.
Huyu...
Zuchu adai heshima imekosekana kwenye mahusiano yake na Diamond Platinumz, atangaza kuachana nae rasmi. Hii inakuja wiki kadhaa baada ya Diamond pia kutangaza kuwa yupo single na baadae kurudisha...
Msanii wa kizazi kipya Zuchu amekuwa akipata Mafanikio kwenye mziki tokea alivyotambulishwa kwenye industry ya Muziki na Jana amesaini kuwa balozi ya kampuni kubwa ya vipodozi ya nchini Tanzania...
Jamani nashangaa kuona hili hivi mnasema alikiba hajui kuimba kuliko zuchu?
nyimbo ya alikiba salute ya mwezi huu imekata vizuri tu.
na hii ya bibie inaitwa nyumba ndogo kazi kwenu nani mkali
Msanii Zuchu ametoa wimbo wake wa sukari akiwa yeye peke yake na ndani ya miezi sita una views milioni 47.9, huku sikomi Diamond ina views mil 51 miaka mitatu, Sasa hizi ndio nyimbo zenye views...
Leo ni siku ya valentine, kuna show ya Zuchu hapooo mlimani city.
Kwa kukumegea tu hii show ndio inaenda kuwa show kubwa zaidi ya msanii kuwahi kutokea kwenye muziki wa bongo.
Hii ndio show...
Ili msanii uwe superstar kuna vitu vitatu vya muhimu kuwa navyo.
1. Kipaji
2. Nyota
3. Connection
Ukikosa vyote basi walau uwe na viwili kati ya hivyo na kitu Nyota usikikose.
Msanii mpya...
Wapinzani wake wanasema kuwa anatumia juhudi nyingi sana za mazoezi na kujizuia kula ili asinenepe. Kweli ni mnene anayejikondesha ama ni kimbau mbau wa asili?
Msanii Zuchu aliamua kumtambia Shabiki yake kwenye mtandao wa instagram baada ya shabiki huyo kumwambia Zuchu kuwa alikuwa anamzidi uzuri na hadi sasa bado anamzidi uzuri...
Zuchu baada ya kuona...
Nimependa sana Zuchu alivyoswitch kama ana rap hiv kwenye ngoma ya Quarantine hii inathibitisha Diamond anapenda sana kumsign msanii anayeweza kuimba aina nyingi ya mziki.
Namnukuu "Binafsi...
Habarini Wana jamvi..?
natumai my wazima wa afya.
nimejaribu kufuatilia kwa makini sumu ambayo ana mezeshwa nandy, kwa official new queen wetu wa bongo flavor one and only Zuchu.
nimegundua kuwa...
Habari za hivi punde ni kwamba mwanamuziki namba moja wa kike East Africa, Zuchu aka Zuu amejitoa Instagram.
Amefanya hivyo kwa ajili ya kufanya ibada mwezi huu wa Ramadhan ambao Zuchu ni binti...
Msanii wa muziki kutoka WCB wasafi, Zuchu amefikisha followers million 1 ndani ya miezi minne tu tangu kutambulishwa rasmi katika label hiyo kubwa Afrika Mashariki na kati.
Zuchu pia ana...
Habari Wana JF,
Mimi ni shabiki na mpenzi wa mziki mzuri haijalishi kaimba nani na kwa lugha gani.
Kwangu Zuchu ni msanii mwenye kipaji na sauti nzuri, lakini Leo nataka tuongelee huu wimbo wake...
Naona nyota ya huyu binti Ni Kali si mchezo tangu atambulishwe kwenye game haizidi hata miezi 6 ngoma zake alizoachia zimempa nominees kwenye tuzo za Afrimma kuania kwenye vipengele viwili Cha...
Mmh Ila mbea mimi niliona tu hii movie kwa mbali , huyu domo amsainishe msanii wa kike kwenye label yake halafu amuache thubutu... nasikia bidada kutwa kushinda kwenye hekalu la Mbez beach, muda...
mod tunaomba ikae kwa muda,,huyu mhuni ameuwa ndugu zetu wacha mungu amwadhibu,kwema lakini??
Zombe ajitetea kwa muda wa saa tatu huku akimwaga machozi
Na James Magai
MSHTAKIWA wa kwanza...
Zlatan Ibrahimovic ameonekana mitaa ya Jiji la Milan akiwa kwenye gari lake aina ya Ferrari SF90 Stradale, ambalo thamani yake inatajwa kuwa ni £400,000.
Kiwango hicho cha fedha kwa thamani ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.