saa 10:30
washaintroduce kuwa leo watakuwa na diamond. na inaonekana hii interview inasubiriwa sana kwa sababu wamesema wanaungana na clouds tv. sasa hivi zinapigwa ngoma katika kusogeza sogeza...
Blogger Mange Kimambi wa u-turn Blog ametiwa mbaroni na Jeshi la Polisi leo jijini Dar es Salaam.
Polisi wamemkamata wakati ameenda kuchukua fomu ya kutia nia kuomba ridhaa ya kugombea ubunge...
Ipo wazi kwamba these guys ndo wanaorun bongo kwa sasa kwa 'mijisong' yao matata ya malovee,ambapo kila dude linaloachiwa hewani kwao ni 'hit'.wote wanamashabiki lukuki bongo na Africa mashariki...
When it comes to money, Bongo music is one of the most lucrative but you'd never tell that listening to the artistes pour their hearts out for their loved ones. Bongo Flavour acts rake in the...
Msanii Roma Mkatoliki anadaiwa kupatikana na yupo Kituo cha Polisi Oysterbay jijini Dar.
Habari ya akina Roma kupatikana imethibitishwa na Mkurugenzi wa Tongwe Records J. Mada.
Bado hakuna...
Dada/mama huyu amekuwa maarufu Sana kwenye mitandao ya kijamii Kama mfanyabiashara maarufu wa chakula na vinywaji, pia vipodozi.
Wakati fulani alimkodishia Diamond Platnamz ghorofa lake zuri sana...
Ni nani anayemjua vyema huyu ndugu?
Nasikia ni “Nabii”
Je, huduma yake ipo wapi?
=============
Huyu ndugu jina lake halisi ni George David Kasambale. Ni mwenyeji wa Singida. Mimi nilianza...
Well done malecela jr aka le mutuz aka mutu ya watu aka mutu ya juu kabisa. Huyu jamaa anajua kucheza na akili za biashara.
How? Jamaa nyie mnavyozidi kulopoka mitandaoni basi yeye he is...
ALBERTO MSANDO GIGY MONEY
A to Z ya Video Chafu ya Gigy Money na Wakili Msando...Msando Adai Gigy Amelipiza Kisasi
Aibu! Siri nzito imevuja baada ya video chafu iliyomhusisha wakili maarufu hapa...
======
Sakata la Madawa ya Kulevya limechukua sura mpya kufuatia mwanadada mashuhuri Wema Sepetu, ambaye ni mmoja wa watuhumiwa, kutoa ya moyoni juu ya sakata zima la kukamatwa kwao na kuhusisha...
Leo ndo siku ya utoaji wa tuzo za MTV Mama mwaka 2016 , tuzo hizo zitatolewa nchini Afrika Kusini
Wasanii mbalimbali kutoka Africa wakiwania tuzo hizo.
Tanzania tuna wasanii wetu wakituwakilisha...
Haya haya jamani mji umechafuka kwa mara nyingine tena...
Wakati Kajala anaendelea kutrend kutokana na picha zake na Harmonize wakiwa Zanzibar ikidaiwa wawili hao ni wapenzi, leo hii yameibuka...
Msanii wa kizazi kipya Emanuel Elibarik alimaarufu kama NEY wa mitego amekamatwa asubuhi hii huko morogoro
Sehemu ya wimbo wa Ney wa Mitego:
Hivi Uhuru wa Kuongea bado upo? Siamini nchi...
Hili gazeti ni la kusoma kwa wiki nzima... Soma taratibu usije fukuzwa kazi huko. Nipo busy si update blog mpaka Friday au Saturday so hii topic iwa keep busy
Haya wadau mmedai kuwa nisijifanye...
Mwigizaji wa zamani wa filamu za watu wazima Mia Khalifa akizungumza na BBC HARDtalk, alisema kuwa familia yake haikuwa na wazo juu ya ushiriki wake katika tasnia ya ponografia hapo awali...
Imezoeleka watoto wa mabilionea kuwa na kashfa mbalimbali kama za kifisadi, madawa ya kulevya, wizi, umalaya nk but kwa watoto wa huyu mzee maarufu imekuwa tofauti sana kusikia kashfa zao.
Ni...
Safari ya Mwisho ya Albert Mangwea (RIP) katika picha
Rais wa Shirikisho la Muziki Tanzania, Addo Novemba kushoto akijadiliana jambo na viongozi wa Kamati ya Mazishi katika shughuli yaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.