Arthurtz
Senior Member
- Feb 10, 2017
- 151
- 121
Habari zenu wanaJAMII
Kwa wale ambao pengine wanamfahamu BENJAMIN FERNANDES ama umekuwa ukimfuatila katika kurasa zake za mitandao ya kijamii hasa Instagram na Facebook. utakuwa umekutana na startup yake kwa jina la NALA
Kama bado hujajua Nala App Ni nini hasa basi ungana nami katika Uzi huu. Ili niweze kukufahamisha machache katika mengi juu ya NALA
Ni nini NALA
NALA ni bank ya digital iliyotengenezwa mahususi kwaajili ya watanzania na waafrica hasa wale wale sub Saharan countries na inayoendana na matumizi na maendeleo ya mtanzania.
Imekuja hasa kutatua baadhi ya changamoto (sio zote) zilizopo katika mfumo wa Sasa wa malipo ya simu yaani mobile payments (m-pesa, Tigopesa, Airtel money etc)
Changamoto hizo ni nyingi naamini ninyi pia mnazifahamu. Hapa nitazitaji baadhi na kuona jinsi gani NALA imezitatua
1. Mlolongo mrefu wa USSD
Hili wote tunalishuhudia jinsi gani tumekuwa tunapitia mlolongo mrefu wa USSD tunapofanya miamala mbali mbali katika simu zetu kama vile kulipa bill, kutuma pesa, kutoa pesa, kununua muda wa maongezi na hata kulipia vingaamuzi vyetu.
Mfano.
Mtu anayetaka kununua umeme (luku) katika mtandao Fulani itabidi afuate hatua zifuatazo na kwa kila hatua akisubiri kwa sekunde. Baada ya kuBonyeza *150*XX# itabidi aendelee kupitia hatua hizi sita (6) Hadi kukamilisha muamala
Huo Ni mtandao wa kwanza mwingine huu
Si kwa mitandao hii miwili karibu mitandao yote hali ipo kama hivi. This is very poorly designed menu that requires you to enter string of numbers which introduce more possibility for errors. Hi ni changamoto ya kwanza
2. Orodha ya miamala/ Taarifa fupi
Mfumo uliokuwepo Sasa Ni vigumu Sana kupata historia ya matumizi yako ya pesa hasa miamala ulofanya ( na maanisha Taarifa fupi ). Na hata ukihitaji hiyo Taarifa fupi itakubidi ulipie 50 Tzs ama zaidi na bado huweza kuletewa miamala yote.
3. Kutumia muda
Hadi kukamilisha mualama itakuchukua muda kwa sababu mfumo ni mrefu na complex. Hizo ni baadhi tu.
Ok Sasa ngoja tuone NALA imekuja na nini hasa ama imetatua vipi changamoto tajwa hapo juu
2. Historia ya miamala uliyofanya
Nala inarekodi transactions zote uliyofanya na kuziweka sehemu moja. zaidi hasa utaweza kuback up na kurestore pale itakapo tokea ume re-install App. Hivyo basi kwa kutumia Nala huna haja ya kuomba Taarifa fupi Wala kulipia chochote. Kwa kutumia Nala utaweza kutrace na kutrack transactions zote
3. Kuangalia Salio
Ukiwa na Nala huna haja ya kuongalia Salio lilobaki kwenye account yako. Kwa sababu Nala hunyesha Salio lilobaki katika account yako mara baada ya kufanya transaction ya mara ya mwisho.
4. Ulinzi was hadhi ya kibenki
Miamala yote utakayofanya kwenye Nala hulindwa na ulinzi wa Hali ya juu yaani bank grade security.
5. Huduma zote zimewekwa mahali pamoja
Nala acts as one-stop-service center ambapo Huduma zote hitajika kama vile kutuma pesa, kulipia bill na Huduma nyingine hupatika sehemu mmoja kwa urahisi na uharaka
6. NALA haihitaji kuunganishwa na internet ili iweze kufanya kazi
Nala inaifanya kazi offline hii inaifanya iwe tofauti Zaidi na apps kama vile mpesa, Tigopesa na nyingine.ambazo huhitaji internet connection ili zifanye kazi
Hizo ni baadhi ya faida za NALA. Kuona na kujua uzuri wake zaidi download NALA kwa playstore na uanze kutumia
Kumbuka App hii ipo katika hatua za mwanzo za matumizi hivyo team ya NALA inapokea maoni na ushauri kuhusu Huduma hii ili iweze kufanya iwe Bora na nzuri. Kizuri zaidi NALA is built for the community and by the community. Team ya Nala Ni sikivu na inapenda kusikia nini watumiaji wa Nala wanahitaji. Hili tumeliona kwa wale ambao walichaguliwa kwenye beta version. Hivyo basi download Kisha Anza kutumia na kutoa maoni yako Hapa
Email
WhatsApp +255 735 737 475
Facebook
Kwa wale ambao pengine wanamfahamu BENJAMIN FERNANDES ama umekuwa ukimfuatila katika kurasa zake za mitandao ya kijamii hasa Instagram na Facebook. utakuwa umekutana na startup yake kwa jina la NALA
Kama bado hujajua Nala App Ni nini hasa basi ungana nami katika Uzi huu. Ili niweze kukufahamisha machache katika mengi juu ya NALA
Ni nini NALA
NALA ni bank ya digital iliyotengenezwa mahususi kwaajili ya watanzania na waafrica hasa wale wale sub Saharan countries na inayoendana na matumizi na maendeleo ya mtanzania.
Imekuja hasa kutatua baadhi ya changamoto (sio zote) zilizopo katika mfumo wa Sasa wa malipo ya simu yaani mobile payments (m-pesa, Tigopesa, Airtel money etc)
Changamoto hizo ni nyingi naamini ninyi pia mnazifahamu. Hapa nitazitaji baadhi na kuona jinsi gani NALA imezitatua
1. Mlolongo mrefu wa USSD
Hili wote tunalishuhudia jinsi gani tumekuwa tunapitia mlolongo mrefu wa USSD tunapofanya miamala mbali mbali katika simu zetu kama vile kulipa bill, kutuma pesa, kutoa pesa, kununua muda wa maongezi na hata kulipia vingaamuzi vyetu.
Mfano.
Mtu anayetaka kununua umeme (luku) katika mtandao Fulani itabidi afuate hatua zifuatazo na kwa kila hatua akisubiri kwa sekunde. Baada ya kuBonyeza *150*XX# itabidi aendelee kupitia hatua hizi sita (6) Hadi kukamilisha muamala
Huo Ni mtandao wa kwanza mwingine huu
Si kwa mitandao hii miwili karibu mitandao yote hali ipo kama hivi. This is very poorly designed menu that requires you to enter string of numbers which introduce more possibility for errors. Hi ni changamoto ya kwanza
2. Orodha ya miamala/ Taarifa fupi
Mfumo uliokuwepo Sasa Ni vigumu Sana kupata historia ya matumizi yako ya pesa hasa miamala ulofanya ( na maanisha Taarifa fupi ). Na hata ukihitaji hiyo Taarifa fupi itakubidi ulipie 50 Tzs ama zaidi na bado huweza kuletewa miamala yote.
3. Kutumia muda
Hadi kukamilisha mualama itakuchukua muda kwa sababu mfumo ni mrefu na complex. Hizo ni baadhi tu.
Ok Sasa ngoja tuone NALA imekuja na nini hasa ama imetatua vipi changamoto tajwa hapo juu
- Hakuna tena mlolongo mrefu wa USSD
2. Historia ya miamala uliyofanya
Nala inarekodi transactions zote uliyofanya na kuziweka sehemu moja. zaidi hasa utaweza kuback up na kurestore pale itakapo tokea ume re-install App. Hivyo basi kwa kutumia Nala huna haja ya kuomba Taarifa fupi Wala kulipia chochote. Kwa kutumia Nala utaweza kutrace na kutrack transactions zote
3. Kuangalia Salio
Ukiwa na Nala huna haja ya kuongalia Salio lilobaki kwenye account yako. Kwa sababu Nala hunyesha Salio lilobaki katika account yako mara baada ya kufanya transaction ya mara ya mwisho.
4. Ulinzi was hadhi ya kibenki
Miamala yote utakayofanya kwenye Nala hulindwa na ulinzi wa Hali ya juu yaani bank grade security.
5. Huduma zote zimewekwa mahali pamoja
Nala acts as one-stop-service center ambapo Huduma zote hitajika kama vile kutuma pesa, kulipia bill na Huduma nyingine hupatika sehemu mmoja kwa urahisi na uharaka
6. NALA haihitaji kuunganishwa na internet ili iweze kufanya kazi
Nala inaifanya kazi offline hii inaifanya iwe tofauti Zaidi na apps kama vile mpesa, Tigopesa na nyingine.ambazo huhitaji internet connection ili zifanye kazi
Hizo ni baadhi ya faida za NALA. Kuona na kujua uzuri wake zaidi download NALA kwa playstore na uanze kutumia
Kumbuka App hii ipo katika hatua za mwanzo za matumizi hivyo team ya NALA inapokea maoni na ushauri kuhusu Huduma hii ili iweze kufanya iwe Bora na nzuri. Kizuri zaidi NALA is built for the community and by the community. Team ya Nala Ni sikivu na inapenda kusikia nini watumiaji wa Nala wanahitaji. Hili tumeliona kwa wale ambao walichaguliwa kwenye beta version. Hivyo basi download Kisha Anza kutumia na kutoa maoni yako Hapa
WhatsApp +255 735 737 475