Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
  • Closed
  • Sticky
SHERIA NA KANUNI ZA JAMII FORUMS Tafadhali jiepushe na mambo yafuatayo: 1. Kumvunjia heshima, kumkejeli, kumtukana, mjumbe yeyote. 2. Kuleta katika JAMII FORUMS maelezo yenye maudhui...
24 Reactions
2 Replies
23K Views
Bila kupoteza wasaaa, Mimi Heyyouyoungman ni mgeni hapa jamii forum, japo nakili kuifahan JamiiForums toka mwaka 2010 nikiwa kidato cha pili katika shule moja wapo huko Rukwa. Nimekuwa nikisoma...
0 Reactions
0 Replies
11 Views
Naomba mnipokee Mimi ni mtanzania mwenzenu.
1 Reactions
10 Replies
223 Views
Hodi mim mgen
5 Reactions
22 Replies
456 Views
Wakuu mjukuu wenu apa naomba mnipokee
1 Reactions
7 Replies
116 Views
Hii
Hii
2 Reactions
6 Replies
92 Views
Habari JamiiForums, Mimi ni mgeni, naomba kupokelewa humu.
3 Reactions
7 Replies
155 Views
Niaje wakuu JamiiForums mitano tena nimelipenda hili chama limenifurahisha nimeamua kujiunga nalo sina mengi.
5 Reactions
10 Replies
183 Views
Hello group, I am a new entrant!
4 Reactions
14 Replies
318 Views
Habari JF members, naomba mnipokee.
2 Reactions
10 Replies
339 Views
Nawasalimu kwa Jina la Mungu mwenye Rehema na upendo mkubwa! Wana JF nimeingia Hapa kwenu leo nikigonga hodi Katika milango ya Mawazo yenu. Nipokeeni kwa Moyo mkunjufu na Upendo kamili!
2 Reactions
9 Replies
170 Views
Hellow naitwa linyimuka ni mtaalamu wa masuala ya mahusiano na ukaguzi
2 Reactions
8 Replies
145 Views
Mimi Mgeni humu, naomba kupokelewa. Nina asili ya uandishi, utafiti na uanasiasa. Nitakuwa nanyi katika mambo yote yanayohusiana na haya. Ahsanteni.
5 Reactions
7 Replies
224 Views
Hello guys, Nashukuru kupata nafasi ya kujiunga pamoja nanyi katika jukwaa hili, nimatumaini yangu nitajifunza mengi mazuri kutoka kwenu hasa kwenye Siasa, ushauri, urembo na mengine mengi. Shukrani
3 Reactions
10 Replies
180 Views
Mimi ni mgeni humu kutokea maeneo ya Mo Arena Bunju. Namtafuta mgonjwa wangu muhimu sana tulipotezana uwanja wa taifa baada ya goli la pili kufungwa baina ya Simba na Yanga. Sijui yu hali gani...
2 Reactions
9 Replies
369 Views
Am new member
1 Reactions
13 Replies
413 Views
Hatimae nami nimefika humu ndani mpo jamani nimetokea Facebook, napatikana mlandizi Kijiji Cha Masangu kata ya magagura Mkoa Ruvuma
4 Reactions
39 Replies
752 Views
Habari wadau kwa majina kamili naitwa Hussein Mohamedi Bendera natumia Nyanda Banka kama nickname
2 Reactions
5 Replies
351 Views
Hakuna jipya
0 Reactions
6 Replies
294 Views
Habari za wakati huu? Ninatumai wewe unaesoma ujumbe huu ni mzm wa afya ila kama una changamoto ya kiafya pole sana Mwenyezi Mungu akupe wepesi, mie ni mgeni humu na ni Mwanasheria...
1 Reactions
5 Replies
544 Views
Habari zenu wakuu mimi ni fundi friji, nafurahi kujiunga nanyi. Natumaini kujifunza mengi.
1 Reactions
4 Replies
204 Views
Back
Top Bottom