Jina langu M-mbabe (mtumishi; adui numero uno wa fisadi's; sihitaji udiwani, ubunge wa uraisi). Nafurahi kujumuika na wanajamii kwenye wanja hili. Wanja hili liko juu!
Jina langu M-mbabe (mtumishi; adui numero uno wa fisadi's; sihitaji udiwani, ubunge wa uraisi). Nafurahi kujumuika na wanajamii kwenye wanja hili. Wanja hili liko juu!
Kwaniaba ya VIGOGO WA JAMVI, naomba nikuulize, we ni mdada au mkaka?...Ni muhimu sana!
Lakini vinginevyo karibu sana na tunategemea michango yako ya hali na mali!
"The only thing that walks back from the tomb with the mourners and refuses to be buried is the character of a man.
What a man is, survives him... it can never be buried"
(GENEKAI-Jamiiforums, 4th November 2010 07:32PM).
[email protected]
"VIGOGO WA JAMVI" PakaJimmy na Himawari. Nashukuru kwa ukarimu wenu kunikaribisha humu ndani kwa mikono miwili. Nina-prefer kutojitambulisha "ukaka" au "udada" kwa sasa. Tutaendelea kufahamiana kadri siku ziendavyo mbele
Follow Us Here