Jamani tumevamiwa humu na vilaza hivi huyu nani kamleta? Sasa hiki ndo nini hivi umeushirikisha ubongo wako wakati unapost? MA..SA,BURI ni kwa kazi ya kukalia sio kufikiri.
Jamani tumevamiwa humu na vilaza hivi huyu nani kamleta? Sasa hiki ndo nini hivi umeushirikisha ubongo wako wakati unapost? MA..SA,BURI ni kwa kazi ya kukalia sio kufikiri.
Mimi nadhani sheria za jf zina haja ya kutafsiriwa kwa kiswahili na ikiwezekana nyingine ndogondogo ziweke za kuwakomesha watu kama hawa.
a u mad? ha2po hapa kulopoka sura
;we need serious issues here;
mods wamelala..
Hebu kwa pa1 tui report hii post
mi namrepoti apigwe LIFE BAN ku***vu..mi sielew hawa watu wametokea wap??? si wakajitambulishe huko kwenye jukwa la kujitambulisha!!!!
halafu shangaa yuko jukwaa la education!
Great spirits have always encountered violent opposition from mediocre minds
Albert Einstein
Hahahahaah!! Mods. wameshafanya kazi yao, kaletwa jukwaa la utambulisho.
Mmekosea njia
jamani,ugeni unamsumbua msameheni labda ni F6 wa mwaka huu kaja kuangalia section.
Duh, mtoto akinyea mkono hauukati jamani kuweni wapole na mumueleweshe endaikawa kakosea njia au hajui kabisa.
Karibu sana JF.
Follow Us Here