alaa kumbe hakuna cha kukaribishana hapa, ngoka niingie ndani mwenyewe nianze kurusha vitu hewani, mtanikoma
alaa kumbe hakuna cha kukaribishana hapa, ngoka niingie ndani mwenyewe nianze kurusha vitu hewani, mtanikoma
We mzee wa kijiwe litumie vizuri hili jukwaa la sivyo utakuta unapigwa ban si muda mrefu maana naona umeingia kwa mzuka sana waulize wenzio kwanza au kama wewe ni mwenyeji ila umeaamua kuja na id nyingine kuwa mstaarabu basi
Karibu sana JF mkuu.
Hahaha very soon atakaribishwa na ban
Sent from my NOKIA 3310 using Tapatalk HD
Karibu JF.
Pita ndani.
Follow Us Here