Hodi wanaJF naomba ukaribisho.
Hodi wanaJF naomba ukaribisho.
Umeshajikaribisha!
'I could have annihilated all the Jews in the World,but I left some of them so you will know why I was killing them'-Adolf Hitler;Mien Kampf
Kitendo tuu cha kuregister na kuweza ku log in ndio ukaribisho wenyewe. Hii ni freedom of expression forum hivyo kuwa huru kuchangia chochote kwa mujibu wa mawazo yako. Kuwa tayari kupokea pongezi na asante nyingi pale unapochangia mambo ya maana na uwe tayari pia kupokea criticism na matusi ya rejareja pale baadhi ya member watakapoona umemwaga pumba. The only one good thing you are sure 100% is, no one can touch you.
Waheshimiwa hayo ni ya kweli nandio sawa,napendekeza tu yale matusi ya rejareja yawe ya Kidiplomasia, yasifike nguoni na kuvuka mipaka.
Karibu sana jamvini kwetu. Usiwe na wasiwasi wa matusi ya nguoni hayaruhusiwi kabisa hapa na wahusika hufungiwa pindi wanapofanya hivyo. Hii ndiyo sababu kubwa ya jamvi hili kupata umaarufu mkubwa ndani na nje ya nchi yetu. Hakuna aliyekuja hapa kutafuta maadui au ugomvi, wengi tuko hapa kujadili yanayoendelea ndani ya nchi yetu ili kuinusuru toka mikononi mwa mafisadi ambao walianza kuwa na nguvu kuliko hata serikali iliyopo madarakani.
Pia tunajenga undugu, urafiki na pia kujiburudisha kwa namna mbali mbali na wakati huo huo kuyadili mengine yanayoendelea katika kona mbali mbali za Ulimwengu wetu.
Karibu jamvini.
Merry X-mas.
Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action
Hi! Fellas of JF adje adje pande hz! m' I welcomed.
Pita ndani.
Karibu sana JF kuna vichwa vya kila aina vumilia
"Kuna kontena la futi 40 lilobeba karatasi za kupigia kura limekamatwa Tunduma" Dk W. Slaa
Pita ndani.
Duh!! Huyu sio mgeni Wakubwa. Ana mwaka wa nne ndani ya JF.
welcome you..
don't be evil
Pita ndani.
Humu kuna mpaka vidudu mtu! Unahitaji kuwa na busara zako ili maisha yako yaende. Karibu mkuu
There is no such a thing as part freedom- Nelson Mandela
e-mail: [email protected]
Follow Us Here