Jamani mimi ni mwana jami mwenzenu
Nimevutiwa na jukwa hili ndo maana nimeamuwa kujiunga
Ni pokeeni
Ila naomba kuwauliza Watanzania wenzangu: Hivi TANESCO ni shirika la kusambaza umeme
Nchini au Ni shirika la kusambaza giza Nchini maana hawaeleki na huu mgao wao kila siku??????

Reply With Quote
"It takes two to make a quarrel and the one in the wrong side does the most talking"
Follow Us Here