Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ushauri - Mtaji wa Mradi wa Kufuga Kuku wa Kienyeji

    Report Post
    Results 1 to 11 of 11
    1. #1
      Riwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th October 2007
      Location : Dar es salaam
      Posts : 1,558
      Rep Power : 8228
      Likes Received
      1600
      Likes Given
      798

      Default Ushauri - Mtaji wa Mradi wa Kufuga Kuku wa Kienyeji

      Nina shamba la ukubwa wa hekari 4 katika kijiji cha Vikawe karibu na Mapinga Bagamoyo ambalo nimelisajili kwa hekari mbili mbili (yaani lina hati mbili), ambalo nataka kuanzisha mradi wa ufugaji kuku wa kienyeji (lakini kwa njia za kisasa). Nahitaji mtaji wa si chini ya Tshs 15m ikijumuisha kuweka mabanda na uzio.

      Swali: Je, ninaweza kutumia hati hizo za umiliki ardhi hiyo kama bond kuweza kupata mkopo benki kwa ajili ya mradi huo? Kama jibu ni ndio, basi ni benki ipi/zipi hizo?
      All things are DIFFICULT before they are EASY - Thomas Fuller

    2. Miaka 50

    3. #2
      platozoom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 3,942
      Rep Power : 8261
      Likes Received
      2654
      Likes Given
      3631

      Default Re: Ushauri - Mtaji wa Mradi wa Kufuga Kuku wa Kienyeji

      La mkopo sijui...........vipi kuhusu maarifa ya ufugaji hao kuku, kama wahitaji ujuzi tunaweza kushauriana.
      "Education is something that remain in your head after forgeting what you learn at school"

    4. #3
      Riwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th October 2007
      Location : Dar es salaam
      Posts : 1,558
      Rep Power : 8228
      Likes Received
      1600
      Likes Given
      798

      Default Re: Ushauri - Mtaji wa Mradi wa Kufuga Kuku wa Kienyeji

      Ninahitaji...nimeshaperuzi thread nyingi tu humu JF zinazozungumzia masuala ya ufugaji, nimepata elimu ya kutosha lakini pia nitahitaji msaada wa kitaalamu kudesign mradi mzima. Nimeona contacts za Consultants wanaotoa msaada huo, na naplan kuwasiliana nao iwapo nitapata uwezekano wa kusecure loan kwa ajili ya huo mradi.

      Naitahitaji ujuzi wako pia. PM.
      ABB likes this.
      All things are DIFFICULT before they are EASY - Thomas Fuller

    5. #4
      Omugurusi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 14th August 2012
      Posts : 29
      Rep Power : 345
      Likes Received
      8
      Likes Given
      53

      Default Re: Ushauri - Mtaji wa Mradi wa Kufuga Kuku wa Kienyeji

      Bank nyingi hazitoi mikopo ya ufugaji ila jaribu TIB kwenye dawati la Kilimo Kwanza. Majibu utakayopata tushirikishane kaka.

    6. #5
      ndenga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th December 2010
      Location : Kigamboni New City
      Posts : 1,049
      Rep Power : 635
      Likes Received
      269
      Likes Given
      84

      Default Re: Ushauri - Mtaji wa Mradi wa Kufuga Kuku wa Kienyeji

      Quote By Omugurusi
      Bank nyingi hazitoi mikopo ya ufugaji ila jaribu TIB kwenye dawati la Kilimo Kwanza. Majibu utakayopata tushirikishane kaka.
      Kama utaenda TIB ujiandae kuweka uvumilivu na stress.. maana inaweza ikakuchukua miaka 3 mpka 5 kufanikisha kupata loan pale. TIB sijui wapo kwa ajili ya nani ila wako wanaurasimu wa hali ya juu sana mpaka wakupatie loan..hata zile disbursements hawatoi kwa wakati, wakati miradi ya kilimo unatakiwa uwe makini sana kwenye timing..

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Gedeli's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th March 2012
      Posts : 187
      Rep Power : 399
      Likes Received
      47
      Likes Given
      114

      Default Re: Ushauri - Mtaji wa Mradi wa Kufuga Kuku wa Kienyeji

      Quote By Riwa
      Nina shamba la ukubwa wa hekari 4 katika kijiji cha Vikawe karibu na Mapinga Bagamoyo ambalo nimelisajili kwa hekari mbili mbili (yaani lina hati mbili), ambalo nataka kuanzisha mradi wa ufugaji kuku wa kienyeji (lakini kwa njia za kisasa). Nahitaji mtaji wa si chini ya Tshs 15m ikijumuisha kuweka mabanda na uzio.

      Swali: Je, ninaweza kutumia hati hizo za umiliki ardhi hiyo kama bond kuweza kupata mkopo benki kwa ajili ya mradi huo? Kama jibu ni ndio, basi ni benki ipi/zipi hizo?

      hebu jaribu kwenda offisi za sido wanatoa hi mikopo ya ujasilia mali wakati mwingine unapewa jumla si mkopo kuna wafadhili pale nusanusa upate the right personal
      Mkeshahoi and Paw like this.

    9. #7
      Mzee Mukaruka's Avatar
      Member Array
      Join Date : 18th June 2012
      Posts : 82
      Rep Power : 364
      Likes Received
      18
      Likes Given
      19

      Default Re: Ushauri - Mtaji wa Mradi wa Kufuga Kuku wa Kienyeji

      Re: Ushauri - Mtaji wa Kufuga Kuku wa Kienyeji.
      Hebu nenda pale kanisani Mikocheni B - Mama Lwakatare, wana programu ya kusaidia wajasiriamali kama wewe na wanatoa mafunzo na mikopo au wasikilize kila Jumamosi saa 3-4 asubuhi Praise Power Radio wana kipindi chao kinaweza kuwa enlightener kwenye issue hii. WAONE THEN GIVE US FEEDBACK!
      ALL THE BEST!

    10. #8
      Riwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th October 2007
      Location : Dar es salaam
      Posts : 1,558
      Rep Power : 8228
      Likes Received
      1600
      Likes Given
      798

      Default Re: Ushauri - Mtaji wa Mradi wa Kufuga Kuku wa Kienyeji

      Ahsante kwa michango yenu wandugu, nitaifanyia kazi. Sehemu nilizojaribu so far zinaonyesha kwamba si kazi rahisi kupata loan kwa ajili miradi ya kilimo na ufugaji, hata mradi wako uwe umechrwa perfect vipi.
      All things are DIFFICULT before they are EASY - Thomas Fuller

    11. #9
      andate's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2011
      Posts : 1,155
      Rep Power : 633
      Likes Received
      399
      Likes Given
      2137

      Default Re: Ushauri - Mtaji wa Mradi wa Kufuga Kuku wa Kienyeji

      I hope utapata right place kukopa. Ila epuka kukopa kwa watu kama wakina Papaa Msofe.
      Kila la heri kwenye biashara yako.

    12. Paw
      #10
      Paw's Avatar
      Super Moderator Array
      Join Date : 14th November 2010
      Posts : 1,546
      Rep Power : 2844
      Likes Received
      613
      Likes Given
      2049

      Default Re: Ushauri - Mtaji wa Mradi wa Kufuga Kuku wa Kienyeji

      Mkuu,
      ni wazo zuri sana la kijasiriamali. Andaadodoso lako kisha uende pale DSE (Dar Stock Exchange) nilimsikia mkurugenzi wao akiongea kwenye media kwamba wanatoa mikopo tena yenye riba nafuu kuliko bank. Na alit
      abainisha kwamba Bank nyingi zinakopa fedha ambazo zinakwenda kutumika kama mikopo kwa watu.

      Mkuu hii ilikuwa ni two yrs ago naamini policy haijabadilika na kibaya tunahofia sana kujaribu.
      (BADILIKA, bofya hapa ===> ####)

    13. #11
      Kunta Kinte's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th May 2009
      Posts : 2,565
      Rep Power : 2534
      Likes Received
      595
      Likes Given
      762

      Default Re: Ushauri - Mtaji wa Mradi wa Kufuga Kuku wa Kienyeji

      Mkuu Riwa vipi ulijaliwa kuanza mrdi huu? Tungefurahi kupata maujuzi!
      Have patience with all things, but chiefly have patience with yourself.- Saint Francis de Sales

    14. Study Abroad

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...