Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Utafiti juu ya Kilimo cha Mpunga - Dakawa

    Report Post
    Results 1 to 6 of 6
    1. zar
      #1
      zar's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 13th June 2012
      Posts : 7
      Rep Power : 351
      Likes Received
      2
      Likes Given
      2

      Default Utafiti juu ya Kilimo cha Mpunga - Dakawa

      Wana JF nataka kujaribu Kilimo cha Mpunga cha umwagiliaji Dakawa Naomba kujua taarifa zaidi kuhusu kilimo hicho katika yafuatayo,

      1.Matatizo yanayokumba kilimo hicho
      2.Soko la mpunga kwa sasa likoje
      3.Faida zake na ekari moja unaweza kuproduce gunia ngani.
      wanajamii nahitaji msaada wenu ndio niko kwenye utafiti wa kujua zaidi ili nisiingie kichwa kichwa.

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Maundumula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 4,969
      Rep Power : 3105
      Likes Received
      1354
      Likes Given
      5709

      Default Re: Utafiti juu ya Kilimo cha Mpunga - Dakawa

      Zar,

      Habari yako ndugu yangu.

      Mimi sijalima huko lakini ninaye mtu wangu wa karibu ambaye alikuwa analima huko na bado anaendelea lakini anakatishwa tamaa sana na mambo yanayotokea pale. Kwanza wenyeji wenyewe ni choka mbaya hawana uwezo wa kulima pale kwakuwa kilimo cha Pale ni cha umwagiliaji na kinahitaji pesa ili kuweza kuchangia mafuta ndio Pump ifanye kazi ya ku push maji kutoka mtoni yaingia mashambani. Sasa wenyeji hawapendi sana kuona watu kutoka Dsm na sehemu nyingine wanalima pale. So kama unaenda ulifahamu hili swala lipo.Nadhani wenyeji wana wish ile sehemu ikae pori kama ilivyoachwa na wachina kuliko kuona wageni wanakuja kulima.

      Huyu jamaa alipoanza kulima alipewa sehemu pori na uongozi (kamati ambayo imeteuliwa pale kusimamia) akalima visiki akaanza kulima mpunga kwenye hivyo vi Plot vyake. Lakini jambo la ajabu baadae wakamnyang'anya wakamgawia mtu mwengine. Kwa kisingizio eti amechukua sehemu kubwa so wakampunguzia na hakupewa compensation yeyote.

      Sometimes maji nayo yanakuwa changamoto kwakuwa si wakati wote mpunga unahitaji maji. Ili uweze kuvuna mpunga inabidi shamba liwe kavu kabisa. Sasa hapo lazima wote muende sawa wakati wa kumwagia pampu ikiwashwa inabidi wote muwe kwenye stage ya kuhitaji maji shambani.

      Kuna changamoto nyingi za ki menejimenti pale mahala , hilo lazima ulifahamu.
      SMU and zar like this.

    4. zar
      #3
      zar's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 13th June 2012
      Posts : 7
      Rep Power : 351
      Likes Received
      2
      Likes Given
      2

      Default Re: Utafiti juu ya Kilimo cha Mpunga - Dakawa

      Nashukuru mdau kwa ushauri mzuri coz hilo pia ni jambo la msingi na pia ni tatizo kubwa kwa maendeleo ya nchi hii just imagine watu hawana uwezo wa kulima eneo hilo lakini pia hawataki wanaoweza kulima walime.Ila nashukuru kwa kunijulisha ilo mapema ili nisijeingia kichwa kichwa nikijua kila kitu kipo ok

    5. #4
      Maundumula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 4,969
      Rep Power : 3105
      Likes Received
      1354
      Likes Given
      5709

      Default Re: Utafiti juu ya Kilimo cha Mpunga - Dakawa

      Quote By zar
      Nashukuru mdau kwa ushauri mzuri coz hilo pia ni jambo la msingi na pia ni tatizo kubwa kwa maendeleo ya nchi hii just imagine watu hawana uwezo wa kulima eneo hilo lakini pia hawataki wanaoweza kulima walime.Ila nashukuru kwa kunijulisha ilo mapema ili nisijeingia kichwa kichwa nikijua kila kitu kipo ok
      Zar,

      Nisikukatishe tamaa bandugu. Nimewasiliana na huyu bwana hivi karibuni amenieleza kwamba kuna menejimenti mpya pale ambayo inafanya kazi kwa bidii na mambo yana improve. Sema bado wananchi wa pale wana machungu sana na wale wanaowaita wageni ambao wanalima pale, wao wanajifanya na wao wana haki ya kulima pale lakini wakipewa eneo linawashinda bado wanakodisha kwa mtu wa mjini.

      All the best bro...

    6. #5
      Sabayi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th December 2010
      Posts : 1,305
      Rep Power : 690
      Likes Received
      423
      Likes Given
      923

      Default Re: Utafiti juu ya Kilimo cha Mpunga - Dakawa

      Na vp upatikanaji wa mashamba?

    7. Miaka 50

    8. zar
      #6
      zar's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 13th June 2012
      Posts : 7
      Rep Power : 351
      Likes Received
      2
      Likes Given
      2

      Default Re: Utafiti juu ya Kilimo cha Mpunga - Dakawa

      kuhusu mashamba sijajua coz mostly wanaongelea mashamba ya kukodi labda tuulize wadau wengine wanasemaje

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...