Wana JF nataka kujaribu Kilimo cha Mpunga cha umwagiliaji Dakawa Naomba kujua taarifa zaidi kuhusu kilimo hicho katika yafuatayo,
1.Matatizo yanayokumba kilimo hicho
2.Soko la mpunga kwa sasa likoje
3.Faida zake na ekari moja unaweza kuproduce gunia ngani.
wanajamii nahitaji msaada wenu ndio niko kwenye utafiti wa kujua zaidi ili nisiingie kichwa kichwa.

Reply With Quote

Follow Us Here