Re: From zero to hero

By
Catherine
Ningependa kupata maoni ya wadau ambao wameanza from zero na wanaona they are succesful (sababu wameachive goals zao na wapo satisfied with their success).
mimi nilianza from zero kwa njia zinazo mpendeza mungu huku mtaji wangu ukiwa ni ubunifu wa kuyasoma na kuyatumia mazingira yanayonizunguka, kutopenda sifa (kufanya kazi ili kuwafurahisha watu).. how?.. ukifungua threads za nyuma za ujasiriamali utanielewa vizuri.
"wanaona they are succesful" hii kitu huwa haipo kwa mjasiriamali wa ukweli kutokana na sifa yake kuu ya kuwa innovative na kutaka vya juu zaidi, karibu kila wiki huwa napata mawazo mapya kuendeleza kilimo na ufugaji
"Chadema kinatumia alama ya vidole viwili kama manati, manati kamwe haiwezi kuua tembo" Livingstone Lusinde (2012)
Follow Us Here