Habari wana jf,kwanza kabsa naandika uzi huu nikiwa na imani kwamba jf ni sehemu ambapo naweza kupata majibu ya busara na hekima na sio dharau na mizaha.back 2 da point,nina sh.laki moja hapa nlpo,na nmemalza form six na sina kibarua,bt nategemea km nitachaguliwa nitaenda chuo bt nna hakika mkopo kwangu unaweza kuwa ndoto due to my points,so nilikuwa nataka nikazungushe haka ka hela ili kaongezeke.Natanguliza shukran...jf 4ever.

Reply With Quote


Follow Us Here