Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mtaji wa laki moja naweza kufanya biashara gani...!

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 41
    1. #1
      kdany's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th July 2012
      Posts : 92
      Rep Power : 366
      Likes Received
      6
      Likes Given
      1

      Default Mtaji wa laki moja naweza kufanya biashara gani...!

      Habari wana jf,kwanza kabsa naandika uzi huu nikiwa na imani kwamba jf ni sehemu ambapo naweza kupata majibu ya busara na hekima na sio dharau na mizaha.back 2 da point,nina sh.laki moja hapa nlpo,na nmemalza form six na sina kibarua,bt nategemea km nitachaguliwa nitaenda chuo bt nna hakika mkopo kwangu unaweza kuwa ndoto due to my points,so nilikuwa nataka nikazungushe haka ka hela ili kaongezeke.Natanguliza shukran...jf 4ever.


    2. #2
      Mgombezi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd March 2009
      Posts : 628
      Rep Power : 647
      Likes Received
      132
      Likes Given
      139

      Default Re: Mtaji wa laki moja naweza kufanya biashara gani...!

      Swali la namna hii limekuwa likiulizwa na wengi, kwani watu wengi wanashindwa kubaini fursa ya biashara; hata hapa unaweza usipate majibu sahihi kwa biashara ya kufanya kutokana na vigezo vya fursa ya biashara. Fursa yeyote ya biashara inategemea na mahali ulipo na uhitaji katika eneo husika. Kwa kufuata vigezo vya fursa ya biashara; unatakiwa kuangalia mahitaji yanayokuzunguka katika eneo ulilopo kutokana na kiasi cha mtaji ulionao.

      Kama upo Dar, unaweza kufanya biashara kuuza samaki wabichi au kukaanga katika eneo ulilopo au eneo ambalo hakuna biashara hiyo. Hii unaweza kufanya nyakati za asubuhi na jioni unaweza kuuza supu ya pweza. Hii ya supu ya pweza ndio iwe biashara kuu kwa kukuza mtaji wako. Utahitaji meza, jiko na vyombo; unaweza kufanya uchambuzi yakinifu juu ya hili kwa kwenda feri.
      Ebenezer

    3. #3
      Catherine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2012
      Location : Dar
      Posts : 1,241
      Rep Power : 599
      Likes Received
      739
      Likes Given
      208

      Default Re: Mtaji wa laki moja naweza kufanya biashara gani...!

      Unaweza pia Kulima bustani za mboga mboga.

    4. #4
      Apolonary's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Location : SAN DIEGO COMMUNITY
      Posts : 1,535
      Rep Power : 702
      Likes Received
      273
      Likes Given
      30

      Default Re: Mtaji wa laki moja naweza kufanya biashara gani...!

      tumia matatizo ya eneo ulilo sasa hivi kama fursa ya biashara.
      Mboko and Prime Dynamics like this.

    5. #5
      sithole's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 13th March 2012
      Posts : 171
      Rep Power : 401
      Likes Received
      50
      Likes Given
      30

      Default Re: Mtaji wa laki moja naweza kufanya biashara gani...!

      unaweza pia kuuza maji baridi barabarani,au kukaanga vitumbua kwenye stend za daladala mida ya jioni,na tangawizi.mtaji unatosha huo


    6. #6
      kdany's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th July 2012
      Posts : 92
      Rep Power : 366
      Likes Received
      6
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Mgombezi View Post
      Swali la namna hii limekuwa likiulizwa na wengi, kwani watu wengi wanashindwa kubaini fursa ya biashara; hata hapa unaweza usipate majibu sahihi kwa biashara ya kufanya kutokana na vigezo vya fursa ya biashara. Fursa yeyote ya biashara inategemea na mahali ulipo na uhitaji katika eneo husika. Kwa kufuata vigezo vya fursa ya biashara; unatakiwa kuangalia mahitaji yanayokuzunguka katika eneo ulilopo kutokana na kiasi cha mtaji ulionao.

      Kama upo Dar, unaweza kufanya biashara kuuza samaki wabichi au kukaanga katika eneo ulilopo au eneo ambalo hakuna biashara hiyo. Hii unaweza kufanya nyakati za asubuhi na jioni unaweza kuuza supu ya pweza. Hii ya supu ya pweza ndio iwe biashara kuu kwa kukuza mtaji wako. Utahitaji meza, jiko na vyombo; unaweza kufanya uchambuzi yakinifu juu ya hili kwa kwenda feri.
      nashukuru kwa ushauri wako ndugu yangu,by nw npo geita na ndio nataka kuizungusha hii pesa.

    7. #7
      The Boss's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th August 2009
      Location : DARESALAAM
      Posts : 18,507
      Rep Power : 21688
      Likes Received
      13814
      Likes Given
      18061

      Default Re: Mtaji wa laki moja naweza kufanya biashara gani...!

      Quote By kdany View Post
      nashukuru kwa ushauri wako ndugu yangu,by nw npo geita na ndio nataka kuizungusha hii pesa.
      kwa nini usilimishe shamba huko?
      Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!

    8. #8
      WA-UKENYENGE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2011
      Location : Inside a Smart Grid
      Posts : 2,491
      Rep Power : 5057
      Likes Received
      806
      Likes Given
      1903

      Default Re: Mtaji wa laki moja naweza kufanya biashara gani...!

      Kama wadau walitangulia kusema hapo juu, jaribu kuangalia sehemu ulipo nini kitu gani kinahitajika au huduma gani ambayo iko katika kiwango kibovu! Mfano kuuza vocha za simu, kukaanga karanga bila aibu unatoka; Lakini lazima ujiamini uache uoga, jaribu kuwa mbunifu weka majonjo ya hapa na pale. Kwa geita unaweza kuwa na kijiwe chako cha kuuzia hizo karanga au vocha au kitu kingine ambacho kitakuwa kinakuweka busy nyakati za asubuhi tu na jioni pia. Mchana unajipanga kikamilifu kwa ajili ya mashambulizi.
      Mboko likes this.
      "The usual conclusion is that you can't put a price on a human life. But you can if you must".

    9. #9
      kdany's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th July 2012
      Posts : 92
      Rep Power : 366
      Likes Received
      6
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By The Boss View Post
      kwa nini usilimishe shamba huko?
      how..?

    10. #10
      The Boss's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th August 2009
      Location : DARESALAAM
      Posts : 18,507
      Rep Power : 21688
      Likes Received
      13814
      Likes Given
      18061

      Default Re: Mtaji wa laki moja naweza kufanya biashara gani...!

      Quote By kdany View Post
      how..?
      kodisha shamba
      lipa watu walime
      Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!

    11. #11
      Kwetunikwetu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd December 2007
      Location : Kwetu uswahilini
      Posts : 1,239
      Rep Power : 834
      Likes Received
      99
      Likes Given
      3

      Default Re: Mtaji wa laki moja naweza kufanya biashara gani...!

      Quote By kdany View Post
      Habari wana jf,kwanza kabsa naandika uzi huu nikiwa na imani kwamba jf ni sehemu ambapo naweza kupata majibu ya busara na hekima na sio dharau na mizaha.back 2 da point,nina sh.laki moja hapa nlpo,na nmemalza form six na sina kibarua,bt nategemea km nitachaguliwa nitaenda chuo bt nna hakika mkopo kwangu unaweza kuwa ndoto due to my points,so nilikuwa nataka nikazungushe haka ka hela ili kaongezeke.Natanguliza shukran...jf 4ever.
      Biashara ya tumbo (chakula) ndio rahisi na inalipa chapchap.......mwisho wa siku jua linapozama unakuwa umejua mzunguko wako. Kwa kuanzia badala ya kuanza ku-invest kwenye capital expenditure, nakushauri tafuta mtu ambaye tayari anafanya biashara then ongea nae kama unaweza kuchangia mtaji halafu faida mgawane pasu kwa kipindi fulani cha mpito. Mfano cheki hawa jamaa wauza mihogo, maji, madafu, samaki, karanga, vitumbua, chapati, miwa, mahindi ya kuchoma nk mtaji wao kwa siku wengi huwa hauziki elfu hamsini. Kuwa mjanja kudadisi wanavyofanya biashara then ingiza wazo la kuongeza mtaji, then atakayekubali hapo utakuwa mwanzo wa kuzungusha hiyo laki kabla hujaimaliza kwa mama ntilie
      Hardly a shoemaker goes barefoot..!

    12. #12
      kdany's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th July 2012
      Posts : 92
      Rep Power : 366
      Likes Received
      6
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Kwetunikwetu View Post
      Biashara ya tumbo (chakula) ndio rahisi na inalipa chapchap.......mwisho wa siku jua linapozama unakuwa umejua mzunguko wako. Kwa kuanzia badala ya kuanza ku-invest kwenye capital expenditure, nakushauri tafuta mtu ambaye tayari anafanya biashara then ongea nae kama unaweza kuchangia mtaji halafu faida mgawane pasu kwa kipindi fulani cha mpito. Mfano cheki hawa jamaa wauza mihogo, maji, madafu, samaki, karanga, vitumbua, chapati, miwa, mahindi ya kuchoma nk mtaji wao kwa siku wengi huwa hauziki elfu hamsini. Kuwa mjanja kudadisi wanavyofanya biashara then ingiza wazo la kuongeza mtaji, then atakayekubali hapo utakuwa mwanzo wa kuzungusha hiyo laki kabla hujaimaliza kwa mama ntilie
      ntalifanyia kazi mkuu

    13. #13
      Kwetunikwetu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd December 2007
      Location : Kwetu uswahilini
      Posts : 1,239
      Rep Power : 834
      Likes Received
      99
      Likes Given
      3

      Default Re: Mtaji wa laki moja naweza kufanya biashara gani...!

      Quote By kdany View Post
      ntalifanyia kazi mkuu
      Ubarikiwe...! Sometimes huwa nikipata chai-maharage kwenye vibanda vya mama ntilie huwa nadadisi na kujifunza mengi sana kuhusu hizi biashara ndogondogo
      Hardly a shoemaker goes barefoot..!

    14. #14
      Elizabeth Dominic's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 7th December 2007
      Posts : 2,790
      Rep Power : 5478
      Likes Received
      1988
      Likes Given
      2658

      Default Re: Mtaji wa laki moja naweza kufanya biashara gani...!

      Tafuta eneo la sokoni au kwenye mkusanyiko wa watu wengi uuze supu..................jaribu kuwa mbunifu lakini
      BE RESPECTED............DEMAND RESPECT

    15. #15
      Mchaka Mchaka's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 20th July 2010
      Location : Ashmore and Cartier Islands
      Posts : 3,703
      Rep Power : 1218
      Likes Received
      930
      Likes Given
      470

      Default Re: Mtaji wa laki moja naweza kufanya biashara gani...!

      sema upo sehemu gani na jiografia ya eneo ulilopo nikushauri chamaa!
      Miili ya waliokufa katika ajali ya Meli ya Spice Islander ipimwe DNA ili kutambua Ndugu zao - Dk. Jakaya .M. Kikwete,, September 2011.

    16. #16
      King2's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2011
      Posts : 1,280
      Rep Power : 640
      Likes Received
      160
      Likes Given
      0

      Default Re: Mtaji wa laki moja naweza kufanya biashara gani...!

      Kuuza vocha.

    17. UKI is offline
      UKI
      #17
      UKI's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 12th June 2012
      Location : Mali
      Posts : 688
      Rep Power : 491
      Likes Received
      153
      Likes Given
      178

      Default Re: Mtaji wa laki moja naweza kufanya biashara gani...!

      Quote By sithole View Post
      unaweza pia kuuza maji baridi barabarani,au kukaanga vitumbua kwenye stend za daladala mida ya jioni,na tangawizi.mtaji unatosha huo

      mkuu kuhusu suala la maji nakubaliana na wewe kama yupo dar nakumbuka nilikuwa nasoma chuo cha fedha wakati naingia mwaka wa kwanza kuna kijana alikuwa anauza maji katokea kijijini pande za kilimanjaro alipewa mtaji wa sh 10000 huwezi amini vijana tulikuwa tunamuona kila siku jioni anauza maji na sigara tunaona mzaha tu ila wakati nakaribia kumaliza mwaka wa tatu jamaa alikuwa ameshanunua boda boda mbili na mtaji wa maji umeongezeka na alikuwa ameshawaleta vijana wengine kutoka moshi wamsaidie kazi zake na nyumba alikuwa ameanza kujenga huko kijijini na mpka sasa nafikiri bado yupo na ameweka msimamizi ana biashara nyingine pande za tegeta ila ina hitaji nidhamu kubwa ya kutunza pesa na matumizi yako lazima uyaheshimu huyu ana laki moja kama yupo serious akiamua kuanzisha biashara ya maji na wala sio kutembeza atafute tu eneo ambalo watu wengi wanapendelea kukusanyika hakika atatoka mbaya

    18. #18
      Prime Dynamics's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th December 2010
      Location : Kamachumu
      Posts : 292
      Rep Power : 488
      Likes Received
      119
      Likes Given
      21

      Default Re: Mtaji wa laki moja naweza kufanya biashara gani...!

      Quote By Apolonary View Post
      tumia matatizo ya eneo ulilo sasa hivi kama fursa ya biashara.
      Huu ndio ushauri sahihi kwa mjasiliamali.
      Our regrets in life are not those decisions we took and they turned out wrong, but rather those we did not take.

    19. #19
      Maundumula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 5,520
      Rep Power : 3220
      Likes Received
      1552
      Likes Given
      6775

      Default Re: Mtaji wa laki moja naweza kufanya biashara gani...!

      Kwanini usiwe middle man unaenda kuwaletea wadau bidhaa.

      Kama ni nyanya,vitunguu nk kwa utakavyoweza halafu you start from there.

    20. #20
      Maundumula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 5,520
      Rep Power : 3220
      Likes Received
      1552
      Likes Given
      6775

      Default Re: Mtaji wa laki moja naweza kufanya biashara gani...!

      Quote By Prime Dynamics View Post
      Our regrets in life are not those decisions we took and they turned out wrong, but rather those we did not take.
      Hii nimeikubali sana...

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...