Msaada wenu waungwana, nikiwa hapa Dar naweza kuuza wapi
madini km Almasi, dhahabu n.k naomba msaada wenu tafadhali
kwani ni zaidi ya mwezi sasa sijajua nikauzie wapi mzigo wapu
Msaada wenu waungwana, nikiwa hapa Dar naweza kuuza wapi
madini km Almasi, dhahabu n.k naomba msaada wenu tafadhali
kwani ni zaidi ya mwezi sasa sijajua nikauzie wapi mzigo wapu
NI SISI TWAWEZA
We ni broker ama kama we ni mwenye mali niambie wapi upo nikupeleke Nairobi najua wapi pa kuuzia.Ila 10% itanihusu.
TO BE HURT ITS YOUR OWN WILLING
PM haraka
hebu muone steven sambali kwenye uzi huu
http://www.jamiiforums.com/business-...ml#post4248622
msinisahau basi
“Unless power is legitimate there can be no social order“
P. F. Drucker
Nawashukuruni, wiki hii nitakutanishwa na mnunuzi.
NI SISI TWAWEZA
"Chadema kinatumia alama ya vidole viwili kama manati, manati kamwe haiwezi kuua tembo" Livingstone Lusinde (2012)
Kuna mtu anaitwa Msuya yupo Knyama opp na soko, ni bonge ya expoter!!!!!!!!!! Afu anaaminika mpare yule!
******************KUBWA LA MAADUI!!!! (GET RICH OR DIE TRYING!!!!)******************
Follow Us Here