Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Tutengeze pesa...biashara ya kutengeneza viatu.mawazo

    Report Post
    Results 1 to 9 of 9
    1. #1
      gambagumu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 177
      Rep Power : 446
      Likes Received
      42
      Likes Given
      9

      Default Tutengeze pesa...biashara ya kutengeneza viatu.mawazo

      Wapendwa habari za jioni. NATAMANI sana kuanzisha biashara ya kutengeneza viatu kwa kutumia ngozi ya hapa nchini mwetu, kama mjuavyohi nchi yetu ina mifugo mingi sana.NAOMBENI kwa wale wenye information wanijuze ni mashine za aina gani rahisi zinahihatajika kwenye usindakaji ,ukataji na ushonaji wa ngozi ? ni wapi naweza kupata mashine hizo na pia ambopa naweza kuagiza sole za aina mbalimbali? je kuna chuo chochote hapa tanzania au east africa ambacho kinatoa kozi fupi ya utengenezaji wa viatu vya ngozi?
      NAIPENDA CHADEMA HATA KWA MAPUNGUFU YAKE, NAICHUKIA CCM HATA KWA MAZURI YAKE.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,189
      Rep Power : 13070
      Likes Received
      14112
      Likes Given
      14957

      Default Re: Tutengeze pesa...biashara ya kutengeneza viatu.mawazo

      tembelea Jaet (sina hakika na spelling) kule mwanza, wanatengeneza bidhaa za ngozi za quality nzuri sana though ni expensive kwa walaji wa kawaida.

      Kiwanda chao kiko Igoma au duka lao liko bara bara ya tanesko.

      Tena mwenye kiwanda hicho nadhani ndo mwenyekiti wa wenye viwanda vinavyoshughulika na bidhaa za ngozi.

    4. #3
      The Boss's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th August 2009
      Location : DARESALAAM
      Posts : 18,164
      Rep Power : 21615
      Likes Received
      13492
      Likes Given
      17791

      Default Re: Tutengeze pesa...biashara ya kutengeneza viatu.mawazo

      Quote By Kongosho
      tembelea Jaet (sina hakika na spelling) kule mwanza, wanatengeneza bidhaa za ngozi za quality nzuri sana though ni expensive kwa walaji wa kawaida.

      Kiwanda chao kiko Igoma au duka lao liko bara bara ya tanesko.

      Tena mwenye kiwanda hicho nadhani ndo mwenyekiti wa wenye viwanda vinavyoshughulika na bidhaa za ngozi.

      nitafutie Wallet huko uniletee
      Kongosho likes this.
      Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!

    5. #4
      Narubongo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Posts : 1,886
      Rep Power : 811
      Likes Received
      842
      Likes Given
      680

      Default Re: Tutengeze pesa...biashara ya kutengeneza viatu.mawazo

      kuna tarafa inaitwa Mlali [wilaya ya gairo/kongwa sina hakika sana baada ya mgawanyo mpya wa wilaya iliangukia wapi] kulikuwa na kiwanda kidogo kinatengeneza viatu vinaitwa safari boot made of pure animal products, ni viatu vizuri sana, vyepesi na imara halafu utengenezaji wake haupo complicated.. soli yake ilikuwa inanata kikikaa chini kwa muda mrefu au kulainika vikianikwa kwenye jua kali.
      Jaribu kuuliza kama bado wanaendelea kutengeneza c'se ni miaka imepita bila kuwafuatilia
      "Chadema kinatumia alama ya vidole viwili kama manati, manati kamwe haiwezi kuua tembo" Livingstone Lusinde (2012)

    6. #5
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,189
      Rep Power : 13070
      Likes Received
      14112
      Likes Given
      14957

      Default Re: Tutengeze pesa...biashara ya kutengeneza viatu.mawazo

      Ntakuletea waleti na mkanda.
      Unapenda ngozi ya samaki? Nyoka? Kenge au Mamba?
      Au unapenda ngozi kama ya zebra au ng'ombe inayoachwa na manyoya?

      Quote By The Boss
      nitafutie Wallet huko uniletee
      No matter how hot your anger is, it can not cook yams-Nigeria

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      The Boss's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th August 2009
      Location : DARESALAAM
      Posts : 18,164
      Rep Power : 21615
      Likes Received
      13492
      Likes Given
      17791

      Default Re: Tutengeze pesa...biashara ya kutengeneza viatu.mawazo

      Quote By Kongosho
      Ntakuletea waleti na mkanda.
      Unapenda ngozi ya samaki? Nyoka? Kenge au Mamba?
      Au unapenda ngozi kama ya zebra au ng'ombe inayoachwa na manyoya?
      ya nyoka please no...lol
      any ambayo itakuwa elegant na stylish
      Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!

    9. #7
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,189
      Rep Power : 13070
      Likes Received
      14112
      Likes Given
      14957

      Default Re: Tutengeze pesa...biashara ya kutengeneza viatu.mawazo

      Okay, ya binadamu itakufaa??

      Quote By The Boss
      ya nyoka please no...lol
      any ambayo itakuwa elegant na stylish
      No matter how hot your anger is, it can not cook yams-Nigeria

    10. #8
      The Boss's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th August 2009
      Location : DARESALAAM
      Posts : 18,164
      Rep Power : 21615
      Likes Received
      13492
      Likes Given
      17791

      Default Re: Tutengeze pesa...biashara ya kutengeneza viatu.mawazo

      Quote By Kongosho
      Okay, ya binadamu itakufaa??
      kama kuna za ngozi ya vitumbua haya lol
      Kongosho likes this.
      Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!

    11. #9
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,189
      Rep Power : 13070
      Likes Received
      14112
      Likes Given
      14957

      Default Re: Tutengeze pesa...biashara ya kutengeneza viatu.mawazo

      Ha ha ha ha ha, ipo ya maandazi na kalimati.
      Wee itakufaa ya vitumbua vya mhogo lol

      Quote By The Boss
      kama kuna za ngozi ya vitumbua haya lol
      No matter how hot your anger is, it can not cook yams-Nigeria

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...