Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nahitaji msaada

    Report Post
    Results 1 to 20 of 20
    1. #1
      Zion Daughter's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 9th July 2009
      Location : Mlimani
      Posts : 7,607
      Rep Power : 13888
      Likes Received
      3270
      Likes Given
      1777

      Default Nahitaji msaada

      Habari zenu ndugu wapendwa,
      Ninafanya utafiti kuhusu biashara ya Vyakula vya nafaka kama mchele,maharage unga n.k
      Kama kuna yeyote mwenye idea na hii biashara nitakushukuru kama nikipata uzoefu.
      Utafiti ni wa kuanzisha duka la vyakula hapa Dar es Salaam na ningependa kujua hasa soko,location nzuri ,manunuzi n.k.
      Asante
      Last edited by Zion Daughter; 27th September 2012 at 21:20.
      Asprin likes this.

      The POWER of LOVE !!!!

      Its true that we don't know what we have got until we lose it and we don't know what we have been missing until it arrive.

    2. Miaka 50

    3. #2
      mdizi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th January 2011
      Posts : 1,106
      Rep Power : 798
      Likes Received
      309
      Likes Given
      66

      Default Re: Nahitaji msaada

      is your research for academic reasons or for a business plan
      Zion Daughter likes this.

    4. #3
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,188
      Rep Power : 2429
      Likes Received
      946
      Likes Given
      377

      Default

      Quote By mdizi
      is your research for academic reasons or for a business plan
      Kwa kweli umeikurupukia hii habari maana alichokieleza hapo juu kinajibu swali lako embu isome kisha uondoe swali lako!
      Zion Daughter likes this.

    5. #4
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,188
      Rep Power : 2429
      Likes Received
      946
      Likes Given
      377

      Default Re: Nahitaji msaada

      Mkuu kwa sehem za uswahilini inalipa sana na ndo shm bidhaa ya chakula inatoka kwa speed kubwa
      Zion Daughter and mdizi like this.

    6. #5
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,441
      Rep Power : 32076
      Likes Received
      14548
      Likes Given
      22033

      Default Re: Nahitaji msaada

      Quote By Zion Daughter
      Habari zenu ndugu wapendwa,
      Ninafanya utafiti kuhusu biashara ya Vyakula vya nafaka kama mchele,maharage unga n.k
      Kama kuna yeyote mwenye idea na hii biashara nitakushukuru kama nikipata uzoefu.
      Utafiti ni wa kuanzisha duka la vyakula hapa Dar es Salaam na ningependa kujua hasa soko,location nzuri ,manunuzi n.k.
      Asante
      Quote By mdizi
      is your research for academic reasons or for a business plan
      Mkuu hebu kasome kwenye red pale kwa sauti na urudie mara mbili kama utakuwa bado hujaelewa.

      Bibie Zion Daughter kwanza nikupongeze kwa kuwa na mkakati wa kuwa mjasiriamali. Biashara ya kusubiria vimshahara vya wakoloni samtaimz ni utumwa mwingine. Labda ungeweka wazi hasa unalenga kufanya biashara ya Jumla au rejareja ili wajuzi wamwage mapwenti ya kukusaidia zaidi.

      Mungu akutangulie katika mkakati wako (Siku hizi nimeshakuwa mtu mzima)
      Zion Daughter likes this.
      ....Shimo La Panya Halifunikwi Kwa Mkate.....

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      mdizi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th January 2011
      Posts : 1,106
      Rep Power : 798
      Likes Received
      309
      Likes Given
      66

      Default

      Quote By Shine
      Kwa kweli umeikurupukia hii habari maana alichokieleza hapo juu kinajibu swali lako embu isome kisha uondoe swali lako!
      unaweza kufanya utafiti wa kuanzisha duka la vyakula kwa ajili ya masters degree au hata first degree ..... ukaandika kitabu na kutoa recommendations

      ninachouliza hapa hujaelewa, je utafiti huu ni kwa kukidhi wazo la biashara au kwa ajili ya matakwa ya takwimu za kibiasashara
      Shine likes this.

    9. #7
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,188
      Rep Power : 2429
      Likes Received
      946
      Likes Given
      377

      Default Re: Nahitaji msaada

      Quote By mdizi
      unaweza kufanya utafiti wa kuanzisha duka la vyakula kwa ajili ya masters degree au hata first degree ..... ukaandika kitabu na kutoa recommendations

      ninachouliza hapa hujaelewa, je utafiti huu ni kwa kukidhi wazo la biashara au kwa ajili ya matakwa ya takwimu za kibiasashara
      Yeye anataka tu kufanya biashara na si vingine kwa nilivyomwelewa ama nae atuweke sawa
      Asprin, Zion Daughter and mdizi like this.

    10. #8
      Zion Daughter's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 9th July 2009
      Location : Mlimani
      Posts : 7,607
      Rep Power : 13888
      Likes Received
      3270
      Likes Given
      1777

      Default Re: Nahitaji msaada

      Quote By Asprin
      Mkuu hebu kasome kwenye red pale kwa sauti na urudie mara mbili kama utakuwa bado hujaelewa.

      Bibie Zion Daughter kwanza nikupongeze kwa kuwa na mkakati wa kuwa mjasiriamali. Biashara ya kusubiria vimshahara vya wakoloni samtaimz ni utumwa mwingine. Labda ungeweka wazi hasa unalenga kufanya biashara ya Jumla au rejareja ili wajuzi wamwage mapwenti ya kukusaidia zaidi.

      Mungu akutangulie katika mkakati wako (Siku hizi nimeshakuwa mtu mzima)
      Asante mpendwa wangu..Naona unakumbuka wajibu wako vema....
      Katika hili swali la nyongeza naomba nikujibu kuwa nataka nifanye biashara ya rejareja...Nasubiri mapweinti kwa hamu kubwa...
      Asprin likes this.

      The POWER of LOVE !!!!

      Its true that we don't know what we have got until we lose it and we don't know what we have been missing until it arrive.

    11. #9
      Zion Daughter's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 9th July 2009
      Location : Mlimani
      Posts : 7,607
      Rep Power : 13888
      Likes Received
      3270
      Likes Given
      1777

      Default Re: Nahitaji msaada

      mdizi...ninataka kufanya biashara Shine asante kwa uelewa wa haraka na wazo zuri la location...

      The POWER of LOVE !!!!

      Its true that we don't know what we have got until we lose it and we don't know what we have been missing until it arrive.

    12. #10
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,188
      Rep Power : 2429
      Likes Received
      946
      Likes Given
      377

      Default Re: Nahitaji msaada

      Quote By Zion Daughter
      mdizi...ninataka kufanya biashara Shine asante kwa uelewa wa haraka na wazo zuri la location...
      Pouwa mkuu pamoja
      Zion Daughter likes this.

    13. #11
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,441
      Rep Power : 32076
      Likes Received
      14548
      Likes Given
      22033

      Default Re: Nahitaji msaada

      Quote By Zion Daughter
      Asante mpendwa wangu..Naona unakumbuka wajibu wako vema....
      Katika hili swali la nyongeza naomba nikujibu kuwa nataka nifanye biashara ya rejareja...Nasubiri mapweinti kwa hamu kubwa...
      Pouwa.... wasipokupa mapwenti usisahau kunidipu nikupe mapwenti ya kimangimangi.
      Zion Daughter likes this.
      ....Shimo La Panya Halifunikwi Kwa Mkate.....

    14. #12
      Zion Daughter's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 9th July 2009
      Location : Mlimani
      Posts : 7,607
      Rep Power : 13888
      Likes Received
      3270
      Likes Given
      1777

      Default Re: Nahitaji msaada

      Quote By Asprin
      Pouwa.... wasipokupa mapwenti usisahau kunidipu nikupe mapwenti ya kimangimangi.
      Sawa.Lakn naogopa kuja huko maternity.......Hujambo lakn?
      Asprin likes this.

      The POWER of LOVE !!!!

      Its true that we don't know what we have got until we lose it and we don't know what we have been missing until it arrive.

    15. #13
      Mbimbinho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st August 2009
      Posts : 1,834
      Rep Power : 865
      Likes Received
      470
      Likes Given
      210

      Default Re: Nahitaji msaada

      Quote By mdizi
      is your research for academic reasons or for a business plan
      We ni kiazi for sure na sio ndizi tena..
      mdizi likes this.
      Mbwa ukimjua jina wala hakupi shida....

    16. #14
      mdizi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th January 2011
      Posts : 1,106
      Rep Power : 798
      Likes Received
      309
      Likes Given
      66

      Default

      Quote By Zion Daughter
      mdizi...ninataka kufanya biashara Shine asante kwa uelewa wa haraka na wazo zuri la location...
      respect mkuu ... crystal clear nashukuru umeelewa point yangu ..... tupo pamoja

      best location ni mahali ambapo pana influx ya residential premises with an average income earners .... pia jitahidi kuangalia eneo lililo na maduka ya reja reja mengi na uuzee bei kama za tandale ...tegeta can be very good
      Last edited by mdizi; 6th July 2012 at 23:37.
      Zion Daughter likes this.

    17. #15
      King'asti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Location : The Jungle
      Posts : 17,229
      Rep Power : 28911
      Likes Received
      11712
      Likes Given
      4819

      Default Re: Nahitaji msaada

      Quote By mdizi
      unaweza kufanya utafiti wa kuanzisha duka la vyakula kwa ajili ya masters degree au hata first degree ..... ukaandika kitabu na kutoa recommendations

      ninachouliza hapa hujaelewa, je utafiti huu ni kwa kukidhi wazo la biashara au kwa ajili ya matakwa ya takwimu za kibiasashara
      Yaani wewe nahisi ulipomaliza shule waalimu wako walishukuru Mungu!
      Huelewi na haujielewi pia!
      Asprin, Zion Daughter and mdizi like this.
      I can be changed by what happens to me. But I refuse to be reduced by it-Maya Angelou


    18. #16
      mdizi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th January 2011
      Posts : 1,106
      Rep Power : 798
      Likes Received
      309
      Likes Given
      66

      Default Re: Nahitaji msaada

      Quote By King'asti
      Yaani wewe nahisi ulipomaliza shule waalimu wako walishukuru Mungu!
      Huelewi na haujielewi pia!
      dah ... wewe ni mwerevu sana ... hongera sana ... soma reply ya mleta mada kwa swali langu ... amejibu sawia na yeye ni muelewa kuliko king'asti ... sijui nani hapa hajielewi

    19. #17
      King'asti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Location : The Jungle
      Posts : 17,229
      Rep Power : 28911
      Likes Received
      11712
      Likes Given
      4819

      Default Re: Nahitaji msaada

      Quote By mdizi
      dah ... wewe ni mwerevu sana ... hongera sana ... soma reply ya mleta mada kwa swali langu ... amejibu sawia na yeye ni muelewa kuliko king'asti ... sijui nani hapa hajielewi
      Take a hike,will ya?
      Asprin likes this.
      I can be changed by what happens to me. But I refuse to be reduced by it-Maya Angelou


    20. #18
      Zion Daughter's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 9th July 2009
      Location : Mlimani
      Posts : 7,607
      Rep Power : 13888
      Likes Received
      3270
      Likes Given
      1777

      Default Re: Nahitaji msaada

      Quote By King'asti
      Take a hike,will ya?
      King'asti..... nishauri basi.huna ideas na hivi vitu???
      Asprin likes this.

      The POWER of LOVE !!!!

      Its true that we don't know what we have got until we lose it and we don't know what we have been missing until it arrive.

    21. #19
      Malila's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd December 2007
      Posts : 2,605
      Rep Power : 10971
      Likes Received
      832
      Likes Given
      447

      Default Re: Nahitaji msaada

      Ktkvitongoji vipya kama Kinyerezi,segerea unaweza kupiga bao, niko mitaa hiyo,mara nyingi naona wengi wanakwenda Tandika kufuata mchele, unaweza fungua duka lako huko na ukavuna sana kabla watu hawaja-kopi na kupesti.
      Mtu mwema huacha urithi kwa wana wa wanawe.

    22. #20
      Himawari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Location : Somewhere in this world
      Posts : 669
      Rep Power : 682
      Likes Received
      75
      Likes Given
      56

      Default Re: Nahitaji msaada

      Nakushauri kuzingatia yafuatayo na utafanikiwa ktk biashara yako. Biashara ya nafaka ni nzuri kwa sababu kila mtu ni lazima apate angalau mlo mmoja kwa siku.
      1. Eneo utakalofantia biashara. Je lina idadi kubwa ya watu ambao unatarajia kuwa watakuwa wateja wako?
      2. Bei. Je bei ya bidhaa zako itakuwa na unafuu kidogo kulinganisha na competitors wengine. Zingatia kuwa uhitaji na upatikanaji wa bidhaa ndio unapanga bei ya bidhaa.., ila jaribu kuweka bei ya chini kidogo ili uuze kwa kasi zaidi.
      3. Ubora wa bidhaa. Inategemea na eneo utakalofanyia biashara yako. Kwa wale wanaojali ubora wa hali ya juu weka bidhaa zenye ubora. Pia ni vizuri kufikiria namna utakayofanya kuongeza ubora kama kuweka vifungashio vinavyovutia.
      4. Masoko. Unaweza kutafuta masoko kwenye mahoteli, hosptitali, mashule, mama ntilie kwa sababu wanaweza kununua kiasi kikubwa cha nafaka kwa wakati mmoja.
      Kwa ushauri zaidi unaweza ukani-PM

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...