Habari zenu ndugu wapendwa,
Ninafanya utafiti kuhusu biashara ya Vyakula vya nafaka kama mchele,maharage unga n.k
Kama kuna yeyote mwenye idea na hii biashara nitakushukuru kama nikipata uzoefu.
Utafiti ni wa kuanzisha duka la vyakula hapa Dar es Salaam na ningependa kujua hasa soko,location nzuri ,manunuzi n.k.
Asante



Reply With Quote




Follow Us Here