Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Naomba Ushauri: Biashara ya Chumvi - Kusaga, Kupakia na Kusambaza

    Report Post
    Results 1 to 16 of 16
    1. #1
      Maruku Vanilla's Avatar
      Member Array
      Join Date : 14th June 2010
      Posts : 43
      Rep Power : 462
      Likes Received
      18
      Likes Given
      14

      Default Naomba Ushauri: Biashara ya Chumvi - Kusaga, Kupakia na Kusambaza

      Wana Jamii,

      Habarini ya mapumziko?

      Naomba msaada wenu kupata maelekezo juu ya Biashara ya Chumvi.

      Nataka kuwekeza kwenye usagaji na upakiaji wa chumvi ya baharini kwa matumizi ya binadamu na mifugo. Shughuli yangu itakuwa kununua chumvi toka kwa wamiliki wa mabirika ya chumvi halafu nitasaga, niweke Iodine na kupakia katika vifuko vya ujazo mbalimbali, kisha nitasambaza kwa wauzaji wa Jumla. Soko langu tarajiwa ni Kanda ya Ziwa

      Naomba msaada wa uzoefu toka kwa yeyote aliyewahi kufanya Biashara katika sekta hii. Na mambo ambayo sina ufahamu nayo ni pamoja na:

      • Nahitaji machine (mfano grinder) za aina gani, nitazipata wapi na vigezo gani nitumie kuzichagua?
      • Nahitaji leseni na vibali vya aina gani kufanya hii Biashara rasmi?
      • Mambo gani ni muhimu kuzingatia toka awali ili kuepuka hasara?


      Natanguliza shukrani kwa wale woote watakao nipa mwangaza.



      Maruk Vanilla Farming and Processing (MVFP) Ltd,
      P.O Box 1361, Bukoba
      Mob: 0717972957/0786972958
      E-mail: [email protected]

      mwambojoke likes this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Litvinienko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Posts : 313
      Rep Power : 552
      Likes Received
      105
      Likes Given
      88

      Default Re: Naomba Ushauri: Biashara ya Chumvi - Kusaga, Kupakia na Kusambaza

      Biashara hii inapoteza tija, koz wengi siku hizi wanatumia mbadala wa chumvi kama limao nk kutokana na ongezeko la ugonjwa wa BP
      Maruku Vanilla likes this.

    4. #3
      Zinjathropus's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2010
      Posts : 501
      Rep Power : 538
      Likes Received
      149
      Likes Given
      40

      Default Re: Naomba Ushauri: Biashara ya Chumvi - Kusaga, Kupakia na Kusambaza

      Quote By Maruku Vanilla
      Wana Jamii,

      Habarini ya mapumziko?

      Naomba msaada wenu kupata maelekezo juu ya Biashara ya Chumvi.

      Nataka kuwekeza kwenye usagaji na upakiaji wa chumvi ya baharini kwa matumizi ya binadamu na mifugo. Shughuli yangu itakuwa kununua chumvi toka kwa wamiliki wa mabirika ya chumvi halafu nitasaga, niweke Iodine na kupakia katika vifuko vya ujazo mbalimbali, kisha nitasambaza kwa wauzaji wa Jumla. Soko langu tarajiwa ni Kanda ya Ziwa

      Naomba msaada wa uzoefu toka kwa yeyote aliyewahi kufanya Biashara katika sekta hii. Na mambo ambayo sina ufahamu nayo ni pamoja na:

      • Nahitaji machine (mfano grinder) za aina gani, nitazipata wapi na vigezo gani nitumie kuzichagua?
      • Nahitaji leseni na vibali vya aina gani kufanya hii Biashara rasmi?
      • Mambo gani ni muhimu kuzingatia toka awali ili kuepuka hasara?


      Natanguliza shukrani kwa wale woote watakao nipa mwangaza.



      Maruk Vanilla Farming and Processing (MVFP) Ltd,
      P.O Box 1361, Bukoba
      Mob: 0717972957/0786972958
      E-mail: [email protected]

      Aren't you going the other way round na maswali yako especially hilo la tatu kabla ya kuuliza hasara utakayo ipata wewe kwanza ulitakiwa binafsi uwe umeshafanya risk assessment ya hilo soko kabla ujaingia kichwa kichwa kupoteza hela zako au kujipatia faida zako hiyo ndio ingekuwa sababu yako kuu ya kufanya hiyo biashara au la.

      Maana hayo maswali yamekaa kama mtu aliyeona tu chumvi akapata idea ya biashara, bila ya kujua kama soko lipo ama la, ya chumvi ya kusaga. Ungekuwa umefanya kazi yako tayari ungejua ni wapi target zako zipo kwa sana, kama kwa wanyama au binadamu na bei za soko zikoje na gharama zako za uzalishaji zipoje hapo kaka ndio unajua kama unafiada au hasara. Inaonekana auna hata business plan kutokana na maswali yako.

    5. #4
      Maruku Vanilla's Avatar
      Member Array
      Join Date : 14th June 2010
      Posts : 43
      Rep Power : 462
      Likes Received
      18
      Likes Given
      14

      Default Re: Naomba Ushauri: Biashara ya Chumvi - Kusaga, Kupakia na Kusambaza

      Quote By Zinjathropus
      Aren't you going the other way round na maswali yako especially hilo la tatu kabla ya kuuliza hasara utakayo ipata wewe kwanza ulitakiwa binafsi uwe umeshafanya risk assessment ya hilo soko kabla ujaingia kichwa kichwa kupoteza hela zako au kujipatia faida zako hiyo ndio ingekuwa sababu yako kuu ya kufanya hiyo biashara au la..
      Elewa vema ombi langu
      Quote By Maruku Vanilla

      Naomba
      msaada wa uzoefu toka kwa yeyote aliyewahi kufanya Biashara katika sekta hii.

      Pamoja na ukarimu wako kuchangia hapa, yawezekana hukuwa mlengwa. Maana mlengwa angetoa uzoefu na ushauri wa kisekta zaidi ambao hata academician angetambua kuwa hiyo ni sehemu ya vyanzo vya kufanya assessment na kisha kuchukua maamuzi. Nani akiisha chagua mchumba ndo anaenda kuomba ushauri kama mchumba anafaa au hafai?


      Quote By Zinjathropus
      Inaonekana hauna hata business plan kutokana na maswali yako
      Asante kwa mtazamo na ushauri. Nami nitakushauri kuwa uzoefu niliojifunza kwenye uwanja wa biashara, ni kwamba mtu aliye too academic hawezi biashara. Akijaribu ataishia kuandika huo mpango wa biashara na kila akifika kwenye mizania ya mahesabu anaona hasara tu au faida kiduchu. Na hatma yake ni kuja na hitimisho "hakuna bishara inayolipa"
      Kwa ushauri wako hii article itakufaa http://blogs.hbr.org/tjan/2012/05/gr...-start-wi.html
      Last edited by Maruku Vanilla; 23rd June 2012 at 15:31.

    6. #5
      Narubongo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Posts : 1,886
      Rep Power : 810
      Likes Received
      842
      Likes Given
      680

      Default Re: Naomba Ushauri: Biashara ya Chumvi - Kusaga, Kupakia na Kusambaza

      mkuu hii biashara sijawahi kuifanya lakini nafaamu mwambao wa bahari wa bagamoyo ukivuka mitaa ya majani mapana kuna wenyeji wanatengeneza chumvi ya bahari kwa njia za asili.. best way kwako ni kufanya nao mazungumzo ili ufahamu undani wa gharama from ground level, baada ya hapo utaweza kufahamu ile raw salt ipo ktk kiwango gani, inahitaji nini cha ziada kuwa chumvi kamili na hivyo itakuwezesha kufahamu na kuplan aina ya processing machine itakayohitajika.

      Chumvi pendwa asili huwa ina bei nzuri sokoni kuliko za wiwandani kwahiyo na wewe ni lazima ushirikishe mbinu asili kwa kuwatumia wenyeji ili uweze kumantain % kubwa ya uasili na mahitaji makubwa ya soko.

      Mkuu product dispaly yako imenivutia sana na zaidi ni hili zao la vannila wish tutajifunza kupitia kwako
      Maruku Vanilla likes this.
      "Chadema kinatumia alama ya vidole viwili kama manati, manati kamwe haiwezi kuua tembo" Livingstone Lusinde (2012)

    7. Miaka 50

    8. #6
      Maruku Vanilla's Avatar
      Member Array
      Join Date : 14th June 2010
      Posts : 43
      Rep Power : 462
      Likes Received
      18
      Likes Given
      14

      Default Re: Naomba Ushauri: Biashara ya Chumvi - Kusaga, Kupakia na Kusambaza

      Mkuu Narubongo

      Nakushukuru sana kwa mchango wako muluha. Nilifahamu fika kuwa ukija hapa utanipa mawili, matatu ya kuniongoza kwenda mbele. Ndo sababu ya kukaribisha kwa tag.

      Sijafanya mazungumzo na watu wa B'moyo bali niko katika majadiliano na wamiliki wa Mabirika ya chumvi pale Kilwa-Pwani. Na kila kitu kimeenda sawa katika hatua za awali. Nawategemea wao waniuzie chumvi ikiwa bado haijasagwa halafu mie nitasaga, nitapaki na kusambaza. Hivyo hitaji langu kubwa zaidi liko katika kujua aina za machine za kusaga na mambo mengine katika mlolongo wa biashara hii.

      Asante kwa kusifia display yangu na unakaribishwa kujiunga katika ukilima na usindikaji wa viungo vya vanilla.

      Quote By Narubongo
      mkuu hii biashara sijawahi kuifanya lakini nafaamu mwambao wa bahari wa bagamoyo ukivuka mitaa ya majani mapana kuna wenyeji wanatengeneza chumvi ya bahari kwa njia za asili.. best way kwako ni kufanya nao mazungumzo ili ufahamu undani wa gharama from ground level, baada ya hapo utaweza kufahamu ile raw salt ipo ktk kiwango gani, inahitaji nini cha ziada kuwa chumvi kamili na hivyo itakuwezesha kufahamu na kuplan aina ya processing machine itakayohitajika.

      Chumvi pendwa asili huwa ina bei nzuri sokoni kuliko za wiwandani kwahiyo na wewe ni lazima ushirikishe mbinu asili kwa kuwatumia wenyeji ili uweze kumantain % kubwa ya uasili na mahitaji makubwa ya soko.

      Mkuu product display yako imenivutia sana na zaidi ni hili zao la vannila wish tutajifunza kupitia kwako
      Narubongo likes this.

    9. #7
      Zinjathropus's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2010
      Posts : 501
      Rep Power : 538
      Likes Received
      149
      Likes Given
      40

      Default Re: Naomba Ushauri: Biashara ya Chumvi - Kusaga, Kupakia na Kusambaza

      Quote By Maruku Vanilla
      Elewa vema ombi langu

      Pamoja na ukarimu wako kuchangia hapa, yawezekana hukuwa mlengwa. Maana mlengwa angetoa uzoefu na ushauri wa kisekta zaidi ambao hata academician angetambua kuwa hiyo ni sehemu ya vyanzo vya kufanya assessment na kisha kuchukua maamuzi. Nani akiisha chagua mchumba ndo anaenda kuomba ushauri kama mchumba anafaa au hafai?




      Asante kwa mtazamo na ushauri. Nami nitakushauri kuwa uzoefu niliojifunza kwenye uwanja wa biashara, ni kwamba mtu aliye too academic hawezi biashara. Akijaribu ataishia kuandika huo mpango wa biashara na kila akifika kwenye mizania ya mahesabu anaona hasara tu au faida kiduchu. Na hatma yake ni kuja na hitimisho "hakuna bishara inayolipa"
      Kwa ushauri wako hii article itakufaa http://blogs.hbr.org/tjan/2012/05/gr...-start-wi.html
      kaka hiyo ni venture yako na wewe umekuja hapa kuomba ushauri ndio umeweka specifics za watu ambao ungeomba wachangie. Lakini kuna walakini kwenye msaada ulioutaka sasa kama kuna mtu hajui biashara zinaanzishwa vipi (kuna mambo mengi ya msingi umwemwachia). Mfano unaposema mashine, leseni na kuokoa hasara tayari kuna financial risks hapo. Huyo jamaa anaekwambia huhitaji business plan tayari anakuongopea.

      Wewe unaweza vipi jua hasara zako au faida zako kama una hata projection za quantity utazo zalisha, gharama zako za biashara na faida zako, maana source ya income inatoka wapi kama ni hela yako si tatizo na kama kuna loan then lazima ujue where your heading, especially when debt is called. Sasa kweli unaweza vipi kumuuliza mtu mambo gani ya kuzingatia hasara wakati mtu ajui hiyo bidhaa hipo aimed kwa nani na sokoni inategemewa kuuzwa kiasi gani na ushindani ukoje.

      Halafu unasema huitaji business plan, maana huto mshauri mzushi anasema hata huyo jamaa aliekuwa anataka kuuza sabuni alishalenga for 0.5% of chinese market na alikuwa anajuwa ukubwa wa soko lake na targeted consumers before that. Sasa sisi tutajuaje una aim wapi na gharama za bidhaa zako zikifika dukani ili watu wakushauri kama kwa bei hiyo utaumia unless uzalishe kiasi gani na mambo mengine meeengi katikati. Si ajabu hata huyo Mengi anashindwa kulipa madeni yake kwa kuvamia tu vitu.
      Maruku Vanilla likes this.

    10. #8
      Maruku Vanilla's Avatar
      Member Array
      Join Date : 14th June 2010
      Posts : 43
      Rep Power : 462
      Likes Received
      18
      Likes Given
      14

      Default Re: Naomba Ushauri: Biashara ya Chumvi - Kusaga, Kupakia na Kusambaza

      Zinjathropus,
      Asante kwa maoni yako mazuri.
      Naendelea kusoma na kusubiri ya wengine huku nikilinda dhima kuu ya uzi huu isiamishwe.

    11. #9
      engmtolera's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2010
      Posts : 3,605
      Rep Power : 1330
      Likes Received
      780
      Likes Given
      655

      Default Re: Naomba Ushauri: Biashara ya Chumvi - Kusaga, Kupakia na Kusambaza

      kama unahitaji mashine za kupaki na kugrind aina yeyote ya chumvi utakayo,basi unaweza ingia ktk link hii na kutype chochote kile utakacho
      http://www.alibaba.com/product-gs/53...r_machine.html
      "The person who says it cannot be done should not interrupt the person doing it."

    12. #10
      Maruku Vanilla's Avatar
      Member Array
      Join Date : 14th June 2010
      Posts : 43
      Rep Power : 462
      Likes Received
      18
      Likes Given
      14

      Default Re: Naomba Ushauri: Biashara ya Chumvi - Kusaga, Kupakia na Kusambaza

      Asante sana Mkuu.

      Nikufahamishe tu kuwa niko Alibaba na katika e-commerce sites nyinine kitamba kidogo. Tatizo katika technology sourcing ni jinsi ya ku- specify kwa usahihi machine au technology inayokufaa na ambayo si obsolete na wala haitakuwa na idle capacity kubwa au low capacity. Hapa lazima uhitaji ushauri wa mtu aliyebobea katika nyanja husika. Ni bahati mbaya sana katika Tanzania, Wajasiriamali tusio na elimu ndo tunazifundisha Taasisi kama SIDO, TIRDO, TATEMDO, CoET (Chemical Processing Eng) katika nyanja ya Teknolojia kujua ipi inastahili na kufaa katika mazingira yetu badala ya wao ndo watuongoze na kutufundisha sisi.


      Quote By engmtolera
      kama unahitaji mashine za kupaki na kugrind aina yeyote ya chumvi utakayo,basi unaweza ingia ktk link hii na kutype chochote kile utakacho
      http://www.alibaba.com/product-gs/53...r_machine.html

    13. #11
      Kibanga Ampiga Mkoloni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th August 2007
      Location : Here! here!
      Posts : 4,762
      Rep Power : 1627
      Likes Received
      1185
      Likes Given
      1701

      Default Re: Naomba Ushauri: Biashara ya Chumvi - Kusaga, Kupakia na Kusambaza

      Inasemkekan gharama kubwa ni kupata Madini joto IODINE amabayo unabidi uagize nje!
      Omutwale likes this.
      For the Holy Quran says in Sura 42, verse 41: 'All those who fight when oppressed incur no guilt, but Allah shall punish the oppressor, Come the day.

    14. #12
      KOMBAJR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2011
      Posts : 3,864
      Rep Power : 5951
      Likes Received
      800
      Likes Given
      227

      Default Re: Naomba Ushauri: Biashara ya Chumvi - Kusaga, Kupakia na Kusambaza

      Maruku Vanilla, Wazo zuri katika kujitafutia kipato na hali tuliyonayo inapotokea mtu anakuja na wazo kama hili ni vema tukamuunga mkono.Ningependa kukushauri kwenye yafuatayo:

      • Kuna delegation ya wa taiwan watakuwa Serena Hotel Leo kuna makampuni mengi yanayojihusisha na Mashine za kuprocess na packaging.Ukienda kwenye huo mkutano(B2B) unaweza pata vitu vizuri vitakavyo fanikisha wazo lako. Lakini pia kuna delegation kubwa sana ya wachina watakuwepo saba saba na katika group hiyo kuna watu wa Machines ambazo zinaweza kukufaa so please take you time tembelea saba saba kuanzia tarehe 1st June......
      • Kuhusu Vibali na Leseni unatakiwa kuwaona Brela,TBS,TFDA Pamoja na leseni ya uchimbaji wa hiyo wizara ya madini
      • Mambo gani ni muhimu kuzingatia: Jua Test ya soko kwanza kabla ujaanza kuzalisha ni vizuri kwanza ukafanya simple survey or Needs Asssement ilikuwajua nini hasa soko linataka angali chumvi zilizoko sokoni nini limepungua(Gap) then wewe product utakayoleta lazima iwe inatoa solution. lazima uwe na unique selling point ambayo ndiyo itakuwa inaitofautisha bidhaa yako na washindani.

      Kwasasa ngoja niishie hapo.

      Maruku Vanilla likes this.
      Face Reality As it Is, Not As it Was or As You Wish It To Be.

    15. #13
      Maruku Vanilla's Avatar
      Member Array
      Join Date : 14th June 2010
      Posts : 43
      Rep Power : 462
      Likes Received
      18
      Likes Given
      14

      Default Re: Naomba Ushauri: Biashara ya Chumvi - Kusaga, Kupakia na Kusambaza

      Ninakushukuru sana Ndugu KOMBAJR


      Quote By KOMBAJR
      Maruku Vanilla, Wazo zuri katika kujitafutia kipato na hali tuliyonayo inapotokea mtu anakuja na wazo kama hili ni vema tukamuunga mkono.Ningependa kukushauri kwenye yafuatayo:

      • Kuna delegation ya wa taiwan watakuwa Serena Hotel Leo kuna makampuni mengi yanayojihusisha na Mashine za kuprocess na packaging.Ukienda kwenye huo mkutano(B2B) unaweza pata vitu vizuri vitakavyo fanikisha wazo lako. Lakini pia kuna delegation kubwa sana ya wachina watakuwepo saba saba na katika group hiyo kuna watu wa Machines ambazo zinaweza kukufaa so please take you time tembelea saba saba kuanzia tarehe 1st June......
      • Kuhusu Vibali na Leseni unatakiwa kuwaona Brela,TBS,TFDA Pamoja na leseni ya uchimbaji wa hiyo wizara ya madini
      • Mambo gani ni muhimu kuzingatia: Jua Test ya soko kwanza kabla ujaanza kuzalisha ni vizuri kwanza ukafanya simple survey or Needs Asssement ilikuwajua nini hasa soko linataka angali chumvi zilizoko sokoni nini limepungua(Gap) then wewe product utakayoleta lazima iwe inatoa solution. lazima uwe na unique selling point ambayo ndiyo itakuwa inaitofautisha bidhaa yako na washindani.

      Kwasasa ngoja niishie hapo.


    16. #14
      Maruku Vanilla's Avatar
      Member Array
      Join Date : 14th June 2010
      Posts : 43
      Rep Power : 462
      Likes Received
      18
      Likes Given
      14

      Default Re: Naomba Ushauri: Biashara ya Chumvi - Kusaga, Kupakia na Kusambaza

      Kuna machine nimetumiwa picha zake na Wachina. Kwa faida ya Wajasiriamali wenzangu naziweka hapa:


    17. #15
      Narubongo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Posts : 1,886
      Rep Power : 810
      Likes Received
      842
      Likes Given
      680

      Default Re: Naomba Ushauri: Biashara ya Chumvi - Kusaga, Kupakia na Kusambaza

      Quote By Maruku Vanilla
      Mkuu Narubongo

      Nakushukuru sana kwa mchango wako muluha. Nilifahamu fika kuwa ukija hapa utanipa mawili, matatu ya kuniongoza kwenda mbele. Ndo sababu ya kukaribisha kwa tag.

      Sijafanya mazungumzo na watu wa B'moyo bali niko katika majadiliano na wamiliki wa Mabirika ya chumvi pale Kilwa-Pwani. Na kila kitu kimeenda sawa katika hatua za awali. Nawategemea wao waniuzie chumvi ikiwa bado haijasagwa halafu mie nitasaga, nitapaki na kusambaza. Hivyo hitaji langu kubwa zaidi liko katika kujua aina za machine za kusaga na mambo mengine katika mlolongo wa biashara hii.

      Asante kwa kusifia display yangu na unakaribishwa kujiunga katika ukilima na usindikaji wa viungo vya vanilla.
      Maruku Vanilla,
      kupata machine si tatizo kwa ulimwengu wa sasa, tatizo linakuja kwenye kuamua machine ipi ya kununua, Vigezo vya kuchagua machine nzuri ni hapo chini

      - machine yenye uwezo wa kutumia different sources of energy eg electrical power & kerosene & diesel & mechanical power. Hii kitu ni muhimu c'se umeme wa tz hautabiriki.. haipendezi ku_stop/ delay production kipindi cha mgao au hitilafu za umeme, ukiwa na machine ya namna hii utakuwa na uhakika wa kufanya kazi wakati wote. Pia itakusaidia kufanya kazi kipindi ambacho umeme hauna nguvu ya ku run machine [capable to move from one energy source to another]

      - power consumption, machine nzuri ni ile inayotumia nguvu ndogo ya umeme, machine ya namna hii itakusaidia kupunguza gharama za uendeshaji. Ukishafahamu machine inatumia nguvu kiasi gani ndio utaweza kujua gharama za uzalishaji na uendeshaji na mwisho utaweza kujua faida/hasara utakayoipata. [eg machine A --4600kwh, machine B ---4750kwh ukiaudit hizi machine 2 kwa mwaka utakuta "B" imepoteza kiasi kikubwa sana cha faida even though energy difference was only 150kwh]

      - efficiency nayo ni kitu muhimu, i.e unasaga kg ngapi kwa saa, granules rate etc

      - machine nzuri ile yenye yenye blocks 2/3 na isiyo na internal components nyingi(electrical components, connectors etc) c'se unapokuwa na components nyingi ndio unavyoongeza defect chances... & due to electrical instability of tz.. utakuwa unaunguza internal parts kila siku --> need to buy more spare parts & hence rise in maintenance costs. [too manual machine is better than auto ones].

      - upatikanaji wa spare parts, ukizingatia hapo juu halitakuwa tatizo kwako, usinunue complex machines itakuumiza kwa mazingira ya tz. Products za china si za kuamini sana, nakumbuka SIDO walikuwa na machine za namna hii zisizo na makolombwezo mengi
      Last edited by Narubongo; 25th June 2012 at 14:24.
      Maruku Vanilla likes this.
      "Chadema kinatumia alama ya vidole viwili kama manati, manati kamwe haiwezi kuua tembo" Livingstone Lusinde (2012)

    18. #16
      MIAMIA.'s Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd February 2011
      Location : TANZANIA.
      Posts : 77
      Rep Power : 435
      Likes Received
      15
      Likes Given
      22

      Default Re: Naomba Ushauri: Biashara ya Chumvi - Kusaga, Kupakia na Kusambaza

      ...it shows continuity!!!

      what naeza kunena kwa sasa,1stly sory for being late kuchangia hii kitu but nitakapo pata rasmi muda nitachangia kwa kina though sina kabisaaaaaa uzoefu katika biashara ya chumvi lakini nachoweza sema you did the right choice at right people ambao kwa jicho ama fikra ya biashara mimi siwaiti people nawaita potential buyers...
      go on...ata akitokea nani leo akakwambia he/she will pay you ones you stop or quit doing it coz u got potential sana...
      ningefunguka but muda kidogo i promise will be be back nikikumuka kwa thread hii,u may PM me...
      thanks...GO GO GO GO GO GO........................
      Maruku Vanilla likes this.
      ...It's not how much we GIVE...BUT how much LOVE we put into GIVING!!!


    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...