Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wana jf. Mtaji wa 5 million, nitaweza kuinuka kwa hii biashara

    Report Post
    Results 1 to 9 of 9
    1. #1
      kwamtoro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2010
      Posts : 912
      Rep Power : 614
      Likes Received
      256
      Likes Given
      126

      Default Wana jf. Mtaji wa 5 million, nitaweza kuinuka kwa hii biashara

      Sina kazi ya kuajiriwa kwa sasa, nimeamua kuacha kwa sababu ya kutovulia kufanya kazi na ndugu zetu wa Asia.

      Nina Million 5 katika account yangu. Nime plan kufungua Grocery pamoja na kibanda kama cha nusu jiko hivi maeneo ya Tabata.

      Je nitaweza kutoka kweli kwa biashara hii.

      Vitu vinavyo nichanganya ni gharama za uanzishaji

      1 Pango
      2 freezer
      3 ujenzi wa kibanda cha chips
      4 Viti & Meza
      5 Usajili wa jina la biashara, licence
      NK
      Naombeni ushauri, nitaweza wekeza katika biashara hii?

    2. Miaka 50

    3. #2
      abunura's Avatar
      Member Array
      Join Date : 12th August 2011
      Location : london
      Posts : 83
      Rep Power : 409
      Likes Received
      16
      Likes Given
      186

      Default Re: Wana jf. Mtaji wa 5 million, nitaweza kuinuka kwa hii biashara

      kwa nini usifanye research mwenyewe na kujua gharama za hivyo vitu, nadhani itakua vizuri zaidi kuliko hata ushauri tutakao kupa hapa.

    4. #3
      Ndibalema's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th April 2008
      Location : Mbagala
      Posts : 6,607
      Rep Power : 2002
      Likes Received
      1630
      Likes Given
      1612

      Default Re: Wana jf. Mtaji wa 5 million, nitaweza kuinuka kwa hii biashara

      Quote By abunura
      kwa nini usifanye research mwenyewe na kujua gharama za hivyo vitu, nadhani itakua vizuri zaidi kuliko hata ushauri tutakao kupa hapa.
      Nadhani hata kuleta hii topic humu ni sehemu ya research.
      kwamtoro likes this.
      "Makalio ya sufuria hayaogopi moto"

    5. #4
      kwamtoro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2010
      Posts : 912
      Rep Power : 614
      Likes Received
      256
      Likes Given
      126

      Default Re: Wana jf. Mtaji wa 5 million, nitaweza kuinuka kwa hii biashara

      Quote By abunura
      kwa nini usifanye research mwenyewe na kujua gharama za hivyo vitu, nadhani itakua vizuri zaidi kuliko hata ushauri tutakao kupa hapa.
      Ndugu yangu humu ndani ya JFkuna wajasiria mali walio bobea. Wanaweza wakanipa njia ya kupunguza gharama nikabakiwa na hiyo pesa pia. Au mitazamo mingine

    6. #5
      Chasha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th June 2011
      Posts : 2,455
      Rep Power : 953
      Likes Received
      1207
      Likes Given
      237

      Default Re: Wana jf. Mtaji wa 5 million, nitaweza kuinuka kwa hii biashara

      Mkuu unasikitisha jambo moja, tu, UNASHINDWA KABLA YA KUANZA, Mkuu hutakiwi kushindwa kabla ya kuanza na unatakiwa uamini kwamba utafanikiwa,

      Kwa sababu umeisha jua sababu za kushindwa huna budi kupambana nazo mapema kabisa na kuzishinda

      KUHUSU GHALAMA

      1. Mkuu si razima uanze na vyote hivyo, mfano freeza, unaweza tafuta za mitumba zinazo uzwa, ukaongea na mtu aliye karibu na ulipo mwenye freeza ukawa unatumia ya kwake kwa muda na kumlipa kiasi fulani mpaka utakapo sima

      2. Viti si razima ununue vipya, unaweza anza na mabenchi mkuu, kinacho waleta wateja si viti make hata nyumbani kwao vipo tena vikali sana na wameviacha, Mteja atakuwa mwenda wazimu kama atakuwa analetwa na viti, anza na mabenchi kwanza mkuu, kikubwa ni location nzuri na huduma nzuri

      3, Hizo za usajiri ninavyo jua ni bure

      Kwa hiyo mkuu hutakiwi kushindwa kabla ya kuanza, na ukianza ukiwa na mawazo ya kushindwa hakika utashindwa, ila unatakiwa kuwaza kufanikiwa daima,
      kwamtoro likes this.

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      imma.one's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th September 2011
      Posts : 332
      Rep Power : 455
      Likes Received
      19
      Likes Given
      3

      Default

      Quote By kwamtoro
      Sina kazi ya kuajiriwa kwa sasa, nimeamua kuacha kwa sababu ya kutovulia kufanya kazi na ndugu zetu wa Asia.

      Nina Million 5 katika account yangu. Nime plan kufungua Grocery pamoja na kibanda kama cha nusu jiko hivi maeneo ya Tabata.

      Je nitaweza kutoka kweli kwa biashara hii.

      Vitu vinavyo nichanganya ni gharama za uanzishaji

      1 Pango
      2 freezer
      3 ujenzi wa kibanda cha chips
      4 Viti & Meza
      5 Usajili wa jina la biashara, licence
      NK
      Naombeni ushauri, nitaweza wekeza katika biashara hii?

      ok ni wazo zuri mimi ni mjasiliamali wa miaka mitano sasa.
      Nina ofic nzuri na inayolipa kama uko tayari uje nikueleze ukiwa tayar na kama ni mchakalikaji unaingia then tunakupa ownership.
      Just nicheki kwenye
      [email protected]
      kama uko tayari tuongelee hili.

    9. #7
      LexAid's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th July 2011
      Posts : 994
      Rep Power : 597
      Likes Received
      288
      Likes Given
      598

      Default Re: Wana jf. Mtaji wa 5 million, nitaweza kuinuka kwa hii biashara

      Je wewe upepanga au unaishi/kula kwa wazazi bado? (kifupi huyo 5M yako inaunganisha na gharama zako binafsi)

    10. #8
      kwamtoro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2010
      Posts : 912
      Rep Power : 614
      Likes Received
      256
      Likes Given
      126

      Default Re: Wana jf. Mtaji wa 5 million, nitaweza kuinuka kwa hii biashara

      Quote By LexAid
      Je wewe upepanga au unaishi/kula kwa wazazi bado? (kifupi huyo 5M yako inaunganisha na gharama zako binafsi)
      Mimi nimepanga pia nimeshalipa kodi ya mwaka mzima toka last month, pesa ya matumizi kwa miezi mitano mbele ninayo bila kugusa mtaji wa 5M

    11. #9
      Chasha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th June 2011
      Posts : 2,455
      Rep Power : 953
      Likes Received
      1207
      Likes Given
      237

      Default Re: Wana jf. Mtaji wa 5 million, nitaweza kuinuka kwa hii biashara

      Quote By kwamtoro
      Mimi nimepanga pia nimeshalipa kodi ya mwaka mzima toka last month, pesa ya matumizi kwa miezi mitano mbele ninayo bila kugusa mtaji wa 5M
      Umekwisha anza mkuu? au bado unasikilizia, Ukiona hiyo aidea yako haijakaa vizuri unaweza piga china na kuja na aidea nyingine

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...