minda
JF-Expert Member
- Oct 2, 2009
- 1,068
- 65
wakuu,
kwenye post inayopatikana hapa mwenzetu zyansiku ametoa mantiki ya ujio wa bashe huko nzega akidai ametumwa na mungu pale aliposema:
...nyuma ya bashe yupo mungu maana watu wa nzega tumetaabika vya kutosha , umeme wa Ndalla unasua sua kwa Mbunge wa jimbo kufanya kazi za kitaifa zaidi nyingine hazitusaidii sisi wa mwaka shahara. HONGERA SANA BASHE NYUMA YAKO YUPO MUNGU!
my take:
kama huyo bashe ni mtume wa mungu (yaani gabriel):
kwenye post inayopatikana hapa mwenzetu zyansiku ametoa mantiki ya ujio wa bashe huko nzega akidai ametumwa na mungu pale aliposema:
...nyuma ya bashe yupo mungu maana watu wa nzega tumetaabika vya kutosha , umeme wa Ndalla unasua sua kwa Mbunge wa jimbo kufanya kazi za kitaifa zaidi nyingine hazitusaidii sisi wa mwaka shahara. HONGERA SANA BASHE NYUMA YAKO YUPO MUNGU!
my take:
kama huyo bashe ni mtume wa mungu (yaani gabriel):
- :frusty: iweje achakachue uraia?
- :frusty: iweje apokwe uraia na chama chetu?
- :frusty: iweje huyo mungu asimlinde dhidi ya hiyo hujmat ya kisiasa?