Zuzu alikuwa anaumwa, akaamua kuiweka picha ya doctor kwenye ukuta wa chumba chake. Ghafla akatembelewa na ndugu zake kisha wakamuuliza hii picha ukutani ni yanani? Zuzu akajibu: ni doctor wangu Kisha akaulizwa sasa mbona umeiweka ukutani? Akajibu: doctor wangu kanambia kila ninapozidiwa nimuone....