DSN
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 2,837
- 1,674
Kwa mara ya kwanza toka namsikia Mheshimiwa Zungu leo kaongea kama Mzalendo,UNYAMBILISI makampuni ya simu yanayowatendea watanzania.
Anasema Taifa limekuwa SHAMBA LA BIBI,kwenye REVENUE WATCH.
Tanzania inapoteza TRIONI MOJA NA BILLIONI MIA TANO kutokana na Kodi inayopotea kupitia makampuni haya kukwepa kodi.
Ni wapi Makampuni haya yamekwisha invest hata kimajengo hapa nchini [I stand to be corrected]
Asante Zungu kwa maono hayo,kumbe wewe kichwa.ulikuwa wapi siku zote.Jamani naomba kumjua Zungu kwani sikuzote nilikua naona kama ni watu walewale wa kulala bungeni.
Anasema Taifa limekuwa SHAMBA LA BIBI,kwenye REVENUE WATCH.
Tanzania inapoteza TRIONI MOJA NA BILLIONI MIA TANO kutokana na Kodi inayopotea kupitia makampuni haya kukwepa kodi.
Ni wapi Makampuni haya yamekwisha invest hata kimajengo hapa nchini [I stand to be corrected]
Asante Zungu kwa maono hayo,kumbe wewe kichwa.ulikuwa wapi siku zote.Jamani naomba kumjua Zungu kwani sikuzote nilikua naona kama ni watu walewale wa kulala bungeni.