Arselona
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 643
- 153
lpool vs arsenal live at 3:45pm this afternoon on rdv at w4 36east.my go is 2-1 for arsenal.enjoy urself
RvPbrace has humbled liverfool.Gooners 4ever
lpool vs arsenal live at 3:45pm this afternoon on rdv at w4 36east.my go is 2-1 for arsenal.enjoy urself
tatizo channel za bure hazidumu hasa zinazoonyesha content nzuri,mara nyingi utaiona ya bure wanapokua wanaifanyia majaribio then baadae inakua scrambled ndio maana usishangae siku ume blind scan receiver yako ukapata channel kama z sports,tensports,supersport nk.na pia kama unapenda kuangalia mpira clear huwezi poteza muda kuangalia mpira kupitia free channel kwasababu quality ni mbovu mno mfano channel kama mbc2,rdv,drtv,rst ambazo zinapatikana w 3a 7 degree east zinaonyesha epl,champions lg lakini quality ni mbovu sana.na pia channel nyingi wanatangaza kwa kifaransa au kiarabu huo mpira,utaufurahia vp kama lugha hizo hazipandi?ukija kwenye movies hakuna channel ya bure unayoweza kuangalia movies mpyaa iliyotoka karibuni zaidi utaangaalia za kuanzia 2006 au 2007 kurudi nyuma...sasa jana nimepata chaneli nyingine ya mpira inaitwa SPORTS 24 imerusha mechi zote za jana.inapatikana IS906 at 64.5degree east pale inapopatikana chanels za bongo ilimradi una mpeg4 decoder.(AAL-003TING AND STRONG SRT4669X recommended) Just blindscan or weka no hizi 4136H7199.H inaweza kuwa V.Huu ni ushahidi kwamba angani kuna kila ki2 4 free.2mia hela zako kwa shughuli za maendeleo.
tatizo channel za bure hazidumu hasa zinazoonyesha content nzuri,mara nyingi utaiona ya bure wanapokua wanaifanyia majaribio then baadae inakua scrambled ndio maana usishangae siku ume blind scan receiver yako ukapata channel kama z sports,tensports,supersport nk.na pia kama unapenda kuangalia mpira clear huwezi poteza muda kuangalia mpira kupitia free channel kwasababu quality ni mbovu mno mfano channel kama mbc2,rdv,drtv,rst ambazo zinapatikana w 3a 7 degree east zinaonyesha epl,champions lg lakini quality ni mbovu sana.na pia channel nyingi wanatangaza kwa kifaransa au kiarabu huo mpira,utaufurahia vp kama lugha hizo hazipandi?ukija kwenye movies hakuna channel ya bure unayoweza kuangalia movies mpyaa iliyotoka karibuni zaidi utaangaalia za kuanzia 2006 au 2007 kurudi nyuma...