Zuku tv kiboko

Ahsante kwa taharifa. Lakini je PRIMIE LIGUE,LA LIGA na BUNDESLIGGA wanaonyesha? Kama hawana football chanel'z basi hawana
inshu,sasa hivi mambo yote ni mpira. Binafsi nitaendelea kulipia DSTV PRIMIER kwa ajili ya mipira....no matter how much cash is costing me!
Du!. Kweli mna mapenzi na mpira. Niliamua kuachana nao baaada ya kuona utanipa presha badala ya burudani. Sijawahi kuingia uwanja wa taifa tangu ujengwe.
 
Kwa maelezo hayo bila kuongeza neno, Zoku ni janga lingine la kitaifa!
Mtazania anaelemewa na tsh 7000 ya Startimes leo useme unamsaidia kwa 40000??

DSTV wataendelea kuwajuu kwakuwa wanachaneli za mpira!

muda sio mrefu mtatupa hizo dekoda za makaburu na kununua zuku wana mipango mikari sana p
 
Dstv ili upate channel za sports super sport unalipia $ 48 kwa compact plus hapa unapata ss7,10,9 na select, na ESPN hizi zote zinaonyesha live sports kuanzia epl, la liga, bundasliga, serie A na league 1 sometime na ligi ya Brazil na international matches. Na mechi zote kali zinaonyeshwa. Kwa hiyo mimi tangu ninunue dstv nina mwaka sasa nalipia compact plus na naangalia mechi zote. Kama hela ipo waweza lipia premium ambayo ni $ 78 hapa utapata channel zote ambazo hutazitumia zote. Compact plus unapata channel zaidi ya 100 na redio channel 81. Kwa hiyo fanya uchaguzi sahihi.
 
Mleta mada tunaomba list na aina ya chaneli tafadhali
Mara nyingi watu wanalipia pesa nyingi kwa mwezi kwenye ving'amuzi kwaajili ya kuangalia live events za sports na hasa mpira wa miguu
sasa hawa zuku wamekuja na elf40 kwa mwezi je wananini cha ziada kuliko akina startimes na wenzake wanaolipisha elf9
?
 
Watu wengi wanadis dstv, bila kujua ukweli juu ya gharama zao. Kiukweli ukiondoa gharama (kubwa) ya installation, lakini jamaa wana packages za hadi tsh 16,000/=(kufuatana na bei ya $) kwa mwezi ukilinganisha na Startimes ya 18,000/=. Na kwa taarifa nilizonazo ni kwamba unaweza ukaongeza fta channels nyingine(ambazo unazilipia kwenye hivyo ving'amuzi vingine). So unaweza ukakuta hata huo unafuu tuanaodanganywa hapa ni hakuna kitu.

Kwa taarifa nilizonazo, ni easy tv tu ndio wanaojitahidi kuonyesha local channels(except Agape), lakini nao service yake ipo Dar tu. Zuku wanaonyesha TBC na ITV pekee tena kwa mazabe. Startime wote tunawajua, ni wezi tu. So tunapokuwa tunachangia tukumbuke wachangiaji wengine tupo mikoani, hakuna Easy tv huku wala Startimes. Kuna baadhi ya maeneo tunatumia Cables, na hii ndiyo nawezasema ni nafuu kuliko zote, ila unaweza ukawa unaishi maeneo ambayo hizi cable hazijafika. Tunahitaji kampuni ambayo itatoa service ya uhakika na bei nafuu.

DSTV: Ngalia hapa, kisha upime uone kama kweli dstv ni ghali kiasi hicho, ukilinganisha na Zuku ya tsh 40,000/= au 60,000/=
Pitieni packages tofauti tofauti, baadaye nitakuja kuwapa bei ya kila package, au kama kuna mwingine anajua bei zake anaweza kutusidia hapa.

​- Select Choose your product. Then bofya kwenye hicho kidirisha hapo, itakuletea let's say Dstv Premium, hapo chini watakuletea list ya channels za package hiyo na maelezo ya kila channel. Kwa kila package unayochagua, itakuonesha list ya channels ktk kifurushi hicho.
 
Nina furaha kua mimi ni mtanzania wa mwanzo kati ya 30 kufungiwa hiyo huduma..safi sanaaaaa hakuna cha dstv wala star times kwanza nilisha itupa zamani hicho king'amuzi
 
Dstv wezi tu, wanajidai wako juu kwa chanel za soka tu ila gharama yao kwa USD huo ni ufisadi na ni wizi. Huyo anayesema dstv wana package ya mpk 16,000/- kwa mwez ni kweli, ila unapewa channels zipi kama sio vikatuni na tbc? Dstv hawana jipya kwanza chanel zao za muvi hawana muvi mpya wanarudia rudia tu muvi zao. Wacha ving'amuzi vingne vije ushndani uwe mkali pengne watashusha bei
 
Dstv wezi tu, wanajidai wako juu kwa chanel za soka tu ila gharama yao kwa USD huo ni ufisadi na ni wizi. Huyo anayesema dstv wana package ya mpk 16,000/- kwa mwez ni kweli, ila unapewa channels zipi kama sio vikatuni na tbc? Dstv hawana jipya kwanza chanel zao za muvi hawana muvi mpya wanarudia rudia tu muvi zao. Wacha ving'amuzi vingne vije ushndani uwe mkali pengne watashusha bei

Ni mwendawazimu tu anayeweza kulinganisha huduma za Dstv na haya makampuni mengine. Kweli jamaa garama zao za kufunga dish na hiyo receiver yao ziko juu, ila ukishafunga wana vifurushi mbalimbali ambavyo unaweza kumudu kulipia. Hiyo 16,000/= (Access) ilikuwa mwaka jana,sijui sasa hivi itakuwa tsh.ngapi maana dola nayo imepanda. Kabla ya kucriticise ungingia kwenye link aliyotoa jamaa halafu uone chaneli zilizopo(hapo hata TBC haijaoneshwa) kwenye kifurushi cha access.

Tuwe wakweli, kama dstv wasingekuwa na garama kubwa, hawa jamaa hawana mpinzani. Tusisahau, zuku, startimes, easy tv nk. wote wanatuuzia chaneli nyingi ambazo ni za bure(free-to-air) ambazo ukipata dishi la mota na receiver za kisasa unaweza kuzipata karibu zote.
 
Zuku kwa muda mrefu haina local channel hata ITV na TBC hakuna pia kwa muda mrefu tangu zifungwe. Sijui tatizo na lini watazirudisha tena.
 
bei yao iko juu sana hakuna tofauti na DSTV ukilinganisha bei zao aisee
 
Nafikiri huyo ni employee wa hiyo kampuni, kaingia kiujanja hapa kwa great thinker
Kwani great thinkers ndio hawatumii ving'amuzi?Mbona naona tangazo la hiyo zuku kwenye home page ya JF,tafuta kingine cha kuongea!!!
 
Dah huyu atakua marketing Officer wa Zuku!

Ila nadhani hiyo itawafaa wale vijana wanaokula TUMBAKU sana Kama Reggae usiku kucha MH...

Wasiwasi wangu isije ikawafanya wale walioacha TUMBAKU wakarudia tu,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom