Linapokuja swala la mpira wa miguu EpL inakuwa ya kwanza kabisa zingine zinafuatiaFafanua ligi ipi kama epl hawana ila mechi za ligi zingine baazi wanaonyesha we unataka ligi hipi ?
Mkuu unaweza ukanipa cost za kuweka hivi ving'amuzi vya Startimes/Zuku na gharama za package zao kwa mwezi(maana nona kwenye website inakuwa mgogoro)...!Zuku huonyesha EPL siku ya Jumamosi kupitia UBC ,halafu wana Zuku sport na Setanta Africa,Startimes wamewazidi Zuku kwenye kuonyesha ligi ya Italia,Zuku hawaonyeshi ligi ya Italia ilihali ST huonyesha ligi ya Italia live,hapo ndio utata nimeacha ST kwenda Zuku na matokeo yake nakosa kipute cha Italia ambacho kwa maoni yangu kwa sasa ndio kipute bora Ulaya kuliko hata EPL
mkuu unaweza kunisaidia hicho nilichouliza hapo juu? najari kucheki www.[B]startimes[/B].co.tz lakini ngoma haifungukiHiv gharama za startime zimeshuka kutoka sh 9000-sh.3000 na kutoka sh.18000-sh.5000?
Hiv gharama za startime zimeshuka kutoka sh 9000-sh.3000 na kutoka sh.18000-sh.5000?
nani huyo kakudanganya!