mpinga shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 3,236
- 954
Yule afisa wa polisi Zuberi Mwombeji anayesifika kwa kupambana na Chadema Arusha. jumapili iliyopita aliongoza maandamano ya CUF kutoka kisongo hadi Arusha mjini.
Mwombeji pia alibaki kwenye mkutano pale levolosi kama mlinzi mwaminifu.
Zamani nilidhani anapambana na upinzani kumbe anapenda CUF. Eh, hapana, sijazungumzia udini hapa. Teh!
Mwombeji pia alibaki kwenye mkutano pale levolosi kama mlinzi mwaminifu.
Zamani nilidhani anapambana na upinzani kumbe anapenda CUF. Eh, hapana, sijazungumzia udini hapa. Teh!